Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mwezi wa Ramadhan ni moja kati ya nguzo kuu za Uislamu. Kama ilivyo idhinishwa katika Kitabu kiukufu {QUR-AN 2 : 185}cha Waislamu. Siku za kufumga kati ya 29 mpaka 30 pia inategemea muandamo wa Mwezi.
AFYA NA FAIDA YA SWAUMU
1. Ni kutekeleza mojawapo ya amri za Mwenyezi Mungu alizotuteremshia na faida ya utekelezaji huu ni kuingia peponi siku ya mwisho.
2. Faida ya pili ya mfungaji wa swaumu ni kujizoesha kuwa na subira, yaani katika mwezi Mtukufu wa Ramadhan, mtu anajifunza jinsi ya kuwa mvumilivu na kustahamili njaa, kiu na matamanio ya kimwili.
3. Faida nyingine ni kuwa muadilifu na kujifundisha usawa baina ya masikini na tajiri.
4. Pia funga hutusaidia kiafya kwani huifanya mifumo kadhaa ya mwili nayo kupata wasaa wa kupumzika kwa mda fulani.
NAWATAKIENI SWAUMU NJEMA YA MWEZI WA RAMADHAN
AFYA NA FAIDA YA SWAUMU
1. Ni kutekeleza mojawapo ya amri za Mwenyezi Mungu alizotuteremshia na faida ya utekelezaji huu ni kuingia peponi siku ya mwisho.
2. Faida ya pili ya mfungaji wa swaumu ni kujizoesha kuwa na subira, yaani katika mwezi Mtukufu wa Ramadhan, mtu anajifunza jinsi ya kuwa mvumilivu na kustahamili njaa, kiu na matamanio ya kimwili.
3. Faida nyingine ni kuwa muadilifu na kujifundisha usawa baina ya masikini na tajiri.
4. Pia funga hutusaidia kiafya kwani huifanya mifumo kadhaa ya mwili nayo kupata wasaa wa kupumzika kwa mda fulani.
NAWATAKIENI SWAUMU NJEMA YA MWEZI WA RAMADHAN