Ramadhan Kayoko ndiye mwamuzi mbovu katika NBC Premier League! Freekick uliyowazawadia Yanga imeigharimu Simba

Ramadhan Kayoko ndiye mwamuzi mbovu katika NBC Premier League! Freekick uliyowazawadia Yanga imeigharimu Simba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 3130347
 
Ningekua karibu na kayoko saiz nna kesi ya mahuaji kudadeki faulo mbili ndani ya boks wanacheza mwili badala ya mpira anatoa macho tu kayoko sasa faulo ya fernandez faulo gan ile
Rudi shule ukajifunze kuandika ndio uje hapa
 
Mimi ni Simba ila nashangazwa na hizi shutuma kwa refa, Mimi nadhani refa na wasaidizi wake walikuwa na game nzuri tu. Ni lazima tuwe tunakubali matokeo na kama kuchambua basi tuangalie madhaifu ya team zetu. Mpira kipindi cha kwanza quality haikuwa nzuri mechi ya kawaida kipindi cha pili kilikuwa kizuri,

Simba alianza vizuri na chance mwanzoni tu tukapoteza ilikuwa goal wazi kabisa Yanga wamekuja kuamka kipindi cha pili kidogo kidogo wakawa hatari unaziona lakini tukija kwenye goal nikosa la goal keeper, makipa bora mipira kama ile wanaisukuma nje tu, Kamara kanikumbusha mipira ya miaka ya 90 kipa kama hujaruka kama nyani unaonekana sio kipa, ukitema sio kipa siku hizi kipa haruki hovyo na akiruka anasukuma mpira nje tu, Kamara ni kipa mzuri wajibu wa kocha wa makipa kuondoa udhaifu huo. Simba na Yanga wamepambana na goal kosa moja tu ila tusikimbilie refa huko hapana, waamuzi wamejitahidi sana ukichukua hakuna VAR.
 
SIMBA KILA SIKU MTAKUWA MNAFUNGWA NA YANGA...MPAKA MKUBALI KUWA MLIFUNGWA KWA KUZIDIWA UWEZO...MAANA HAKUNA SIKU MMEFUNGWA NA YANGA MKAKOSA KISINGIZIO...
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
Basiii sawa poleni sana.....next time mje na mwamuzi kutoka kenya
 
Yanga mnafaida ya kushinda mechi za hivi karibuni na hii haimanishi hamtakiwi kushinda mnaweza mkaendelea kushinda dhidi ya Simba na si kila mkishinda mseme mnaquality Sana zaidi ya Simba hizi mechi za derby zinachezwa Sana nje ya uwanja na zinaamuriwa na makosa ya maamuzi pia kwa hiyo furahini mnapopata furaha siku akiba yenu hii ndo itakuwa inawafariji. Hongereni Sana watani
Mpira ni namba na sio maneno, leta hizo namba za Simba zilizokuwa zinakufanya uamini kwamba Simba anaenda kupata matokeo dhidi ya yanga, yanga mpaka anakwenda kwenye derby alikuwa ajaruhusu goli lolote, kacheza mechi 4 na kafunga goli 9, Simba alikuwa ameruhusu goli 2, kacheza mechi 5 na kafunga goli 12, iyo tu ilikuwa inakuonyesha kwamba yanga wako vizuri kwenye defence line kuliko Simba, ivyo Simba walitakiwa wafanye kazi ya ziada kuifungua defence ya yanga!
Ukiangalia pia kiufundi namna Simba alivyopata matokeo yake ktk mechi izo 5 alizokuwa amecheza kuanzia mechi ya Azam kule Zanzibar, ukaja Dodoma Jiji, aikuhitaji darubini Wala elimu ya chuo kikuu kupata majibu kwamba wasingeweza kwa namna yoyote Ile kupata matokeo dhidi ya yanga!
 
Mpira umeanza fatilia lini kwanza 2015/16 simba anasawqzish zid ya yanga wakiwa wana ongoza 1 goli la msuva penati simba wapo punguf mavugo na kichuya anatupia la 2 la ushndi red card alipata bukungu simba wakiwa nyuma 1 bila
mzunguko wa kwanza tena figisu tu mkude anakula red kipnd cha kwanza goli la mkono tambwe yanga wana ongoza full vurugu simba wanabaki pungufu na wanasawazsha kichuya kwaiyo pungufu sio shda redcard toa penat toa sio kubalanc matukio
Hao unaowataja bado wanacheza mpira? Yaani mambo ya miaka 10 nyuma unatolea mfano leo
 
Mimi ni Simba ila nashangazwa na hizi shutuma kwa refa, Mimi nadhani refa na wasaidizi wake walikuwa na game nzuri tu. Ni lazima tuwe tunakubali matokeo na kama kuchambua basi tuangalie madhaifu ya team zetu. Mpira kipindi cha kwanza quality haikuwa nzuri mechi ya kawaida kipindi cha pili kilikuwa kizuri,

Simba alianza vizuri na chance mwanzoni tu tukapoteza ilikuwa goal wazi kabisa Yanga wamekuja kuamka kipindi cha pili kidogo kidogo wakawa hatari unaziona lakini tukija kwenye goal nikosa la goal keeper, makipa bora mipira kama ile wanaisukuma nje tu, Kamara kanikumbusha mipira ya miaka ya 90 kipa kama hujaruka kama nyani unaonekana sio kipa, ukitema sio kipa siku hizi kipa haruki hovyo na akiruka anasukuma mpira nje tu, Kamara ni kipa mzuri wajibu wa kocha wa makipa kuondoa udhaifu huo. Simba na Yanga wamepambana na goal kosa moja tu ila tusikimbilie refa huko hapana, waamuzi wamejitahidi sana ukichukua hakuna VAR.
wewe ni mtu wa mpira [emoji2935]
 
Tukiachana na utani refa mechi ya leo imemshinda.
Simba amenyimwa penality mbili ambazo hazihitaji nguvu wala VAR kuzitambua.
Ameshindwa kutoa kadi nyekundu kwa Razaki baada ya kumchezea rafu Dube wakati alikuwa mtu wa mwisho.

Faulu iliyo zaa goli haikuwa halali.
Kwani tangu mwanzo tulipowaambia huyu dogo hana uwezo wa kuchezesha mechi kubwa, si mlitukejeli na kutuambia tunatafuta visingizio!!
 
Mpira umeanza fatilia lini kwanza 2015/16 simba anasawqzish zid ya yanga wakiwa wana ongoza 1 goli la msuva penati simba wapo punguf mavugo na kichuya anatupia la 2 la ushndi red card alipata bukungu simba wakiwa nyuma 1 bila
mzunguko wa kwanza tena figisu tu mkude anakula red kipnd cha kwanza goli la mkono tambwe yanga wana ongoza full vurugu simba wanabaki pungufu na wanasawazsha kichuya kwaiyo pungufu sio shda redcard toa penat toa sio kubalanc matukio
Sio Yanga hii ya misimu mitatu iliyopita, katika kumbukumbu za yanga hii,timu zilizokuwa pungufu zilikula kuanzia goli nne na kuendelea. Kipindi cha pili mlipoteana kabisa ndio maana mkaingiziwa Mastriker wawili, maanake kwenye kiungo hamkuwa na madhara,sasa pata picha mngekuwa pungufu....... mpira mchezo wa wazi sana tatizo lako hauoni.
 
red card ni sawa, ila ile ya ateba sio offside hujui mpira wewe maandazi ya kuchoma.
Wewe ni kolo og, huwa tunawajua kwa matusi mazito na una povu zito usipuuzwe, hakika umeumia sana kudungwa kidude mara nne mfululizo inauma sana, tena kimoko mara mbili acha tu, pole sana na unahitaji panadol ,

Kiufupi ile ni offside, tuliza jazba mtani itakuwa hukuona ilipofika half time Azam TV walirudia tukio, walichora mstari kuonesha Ateba yuko offside na wachambuzi wakasema ni offside na ikaonekana wazi mguu mmoja wa Ateba uko mbele na huku mshika kibendera yuko mbele ya Ateba tayari katangulia kwenda kufunga iwapo Ateba asingekuwa mbinafsi na kumpasia !! Ateba alifikiri golini kuna shuka tu!!

Naamini kabisa Mkuu unahitaji kuvaa miwani na kama wewe ni muha badili kabila si kwa ubishi huo!!

Jaribu kujitazama kwenye kioo, ukibisha kuwa si wewe basi ujue kuna tatizo lishughulikie haraka!!
 
Back
Top Bottom