Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

Asalaam Aleikum
Hii kwa dada zangu wote wa kiislamu, mwezi ndo huo taratibu unaondoka, nawaomba tabia na mavazi mazuri mnayoyavaa kipindi hiki,iwe hivyo miezi yote
2a56f202f1860b39b9714dff973894c2.jpg
african-muslim-women-at-prayer-after-indian-muslim-woman-at-prayer.jpg
eren-ramadan-1.jpg
Hijab quote 23.jpg
 
*JEE WAIJUA NI IPI TOFAUTI KATI YA MAGHFIRAH (مغفرة ) NA A'FUW (عفو )?*

*MAGHFIRAH*: Ni vile Allah (s.w) kukusamehe dhambi zako juu ya makosa fulani ila bado makosa hayo yatabaki kuoredheshwa katika buku la matendo yako.
Na siku ya hukumu yatakuwemo katika rikodi yako na Allah atakuuliza juu ya makosa hayo.
-Lakini hatakuadhibu kwa sababu ya makosa hayo uliyokwisha yaombea *MAGHFIRAH*.

*A'FUW*: Ni vile Allah (s.w) kukusamehe dhambi za makosa Yako na kisha kufutwa kabisa makosa hayo katika buku la matendo yako kama vile hayo makosa hayakuwahi kutokea.
-Yatafutwa kabisa katika rikodi yako na Allah hatakuuliza kuhusu makosa hayo siku ya hukumu.

*Na kwa sababu hiyo ndio maana mtume (s.a.w) amesema, "Dua hii ni bora zaidi kuisoma siku ya Laylatul Qadr:*
Nayo ni :

*"Allahumma innaka a'fuwwun tuhibbul a'fwa faa'fu 'anniy"*
(Ahmad, Ibn Majah, na Tirmidhiy)
Maana ya maneno hayo ni:

*(Ya Allah hakika yako ni msamehevu na unapenda kusamehe na mimi nisamehe .)*

Msamaha unaoutaka hapo ni ule wa kufutiwa kabisa dhambi na makosa yako katika rikodi ya matendo yako.

-Kwa hiyo hakikisha unaisoma dua hiyo kila muda na ifanye ni miongoni mwa nyiradi zako.

*ZAWADI NYENGINE MUHIMU YA KUCHUKUA*

[emoji835] Hebu Jaalia katika fikra zako imefika siku ya hukumu na imefika zamu yako ya kuhisabiwa wala huna uhakika ya kuwa utaipata pepo ya Allah (s.w).

*Mara unakuta katika rikodi yako Ya matendo kuna milima kwa milima ya Wema (uliyozawadiwa)*
Unadhani itakuaje hapo.

Jee unajua zawadi hizo zinatoka wapi?

Ni kwa sababu katika duniya ulikithirisha kusema: *”SubhanAllah wa bihamdihi SubhanAllah al ‘Adhim”*

Mtume Muhammad (s.a.w) amesema *"Maneno mawili ni mepesi katika ulimi ila ni mazito katika mizani na anayapenda sana Al Rahman,:*
Maneno hayo ni:

سُبْحَانَ اللّهِ وَ بِحَمْدِهِ ، سُبْحَانَ
اللّهِ الْعَظِيمِ -

*SubhanAllahi wa biHamdihi, Subhan-Allahi 'l-`adhwiym.

*Ametakasika Allah na sifa njema zote ni zake. Ametakasika Allah alie mtukufu (mkubwa)*
(Bukhari &Muslim)

Je wajua ni kiasi gani cha wema utalipwa ikiwa utasambaza taarifa hii yenye ukumbusho mzuri kwa ndugu na marafiki zako na wao wakakithirisha kusema haya maneno. *(SubhanAllah wa bihamdihi SubhanAllah Al Adhwiym)*

Utalipwa sana kwa sababu umewahimiza watu kutenda wema.

*NA WEWE KUWA NI MIONGONI MWA WENYE KUHIMIZA WATU KHERI.*
 
*JEE WAIJUA NI IPI TOFAUTI KATI YA MAGHFIRAH (مغفرة ) NA A'FUW (عفو )?*

*MAGHFIRAH*: Ni vile Allah (s.w) kukusamehe dhambi zako juu ya makosa fulani ila bado makosa hayo yatabaki kuoredheshwa katika buku la matendo yako.
Na siku ya hukumu yatakuwemo katika rikodi yako na Allah atakuuliza juu ya makosa hayo.
-Lakini hatakuadhibu kwa sababu ya makosa hayo uliyokwisha yaombea *MAGHFIRAH*.

*A'FUW*: Ni vile Allah (s.w) kukusamehe dhambi za makosa Yako na kisha kufutwa kabisa makosa hayo katika buku la matendo yako kama vile hayo makosa hayakuwahi kutokea.
-Yatafutwa kabisa katika rikodi yako na Allah hatakuuliza kuhusu makosa hayo siku ya hukumu.

*Na kwa sababu hiyo ndio maana mtume (s.a.w) amesema, "Dua hii ni bora zaidi kuisoma siku ya Laylatul Qadr:*
Nayo ni :

*"Allahumma innaka a'fuwwun tuhibbul a'fwa faa'fu 'anniy"*
(Ahmad, Ibn Majah, na Tirmidhiy)
Maana ya maneno hayo ni:

*(Ya Allah hakika yako ni msamehevu na unapenda kusamehe na mimi nisamehe .)*

Msamaha unaoutaka hapo ni ule wa kufutiwa kabisa dhambi na makosa yako katika rikodi ya matendo yako.

-Kwa hiyo hakikisha unaisoma dua hiyo kila muda na ifanye ni miongoni mwa nyiradi zako.

*ZAWADI NYENGINE MUHIMU YA KUCHUKUA*

[emoji835] Hebu Jaalia katika fikra zako imefika siku ya hukumu na imefika zamu yako ya kuhisabiwa wala huna uhakika ya kuwa utaipata pepo ya Allah (s.w).

*Mara unakuta katika rikodi yako Ya matendo kuna milima kwa milima ya Wema (uliyozawadiwa)*
Unadhani itakuaje hapo.

Jee unajua zawadi hizo zinatoka wapi?

Ni kwa sababu katika duniya ulikithirisha kusema: *”SubhanAllah wa bihamdihi SubhanAllah al ‘Adhim”*

Mtume Muhammad (s.a.w) amesema *"Maneno mawili ni mepesi katika ulimi ila ni mazito katika mizani na anayapenda sana Al Rahman,:*
Maneno hayo ni:

سُبْحَانَ اللّهِ وَ بِحَمْدِهِ ، سُبْحَانَ
اللّهِ الْعَظِيمِ -

*SubhanAllahi wa biHamdihi, Subhan-Allahi 'l-`adhwiym.

*Ametakasika Allah na sifa njema zote ni zake. Ametakasika Allah alie mtukufu (mkubwa)*
(Bukhari &Muslim)

Je wajua ni kiasi gani cha wema utalipwa ikiwa utasambaza taarifa hii yenye ukumbusho mzuri kwa ndugu na marafiki zako na wao wakakithirisha kusema haya maneno. *(SubhanAllah wa bihamdihi SubhanAllah Al Adhwiym)*

Utalipwa sana kwa sababu umewahimiza watu kutenda wema.

*NA WEWE KUWA NI MIONGONI MWA WENYE KUHIMIZA WATU KHERI.*
Mungu akulipe kheri
Umetuwekea ujumbe mzito,InshaAllah tutaufanyia kazi
 
Tujiadhari na moto ee ndugu zangu waislam
Mungu atulinde mkuu, motoni si sehemu nzuri cha muhimu tudumishe amali njema ili Mungu atuepushe na hayo?
Jehanamu ipo ni haki tusidanganyike, Mungu ni mwenye rehema sana lakini ni mkali wa kuadhibu ,ndiyo maana katika quran ipo aya anawauliza waovu
"Je wana ujasiri gani wa kuvumilia moto?"

M/Mungu (sw) atuweke mbali na moto waumini wote tulioamini aya zake ( ameen )
 
Naomba kuuliza kidogo,mm nasafili na kipando nilichopanda ni buss na niabilia wengi na niendapo panatumia siku nzima njiani, sasa je ni lazima nifunge na kama ntafunga funga yangu itakua salama pasipo kuswali?
Wailahuna yaqfee
 
KUIONA RAMADHAN IJAYO NI MAJALIWA

Hebu jaribu kukumbuka mwaka 1997.1998,1999,2000,2001,2002,2003.........2017
Toka 1997-2017 ni mwongo mmoja.Unalikumbuka hilo? Kaa chini ndugu yangu ujiulize 1997 ulikuwa wapi/una miaka mingapii?2017 uko wapi/una miaka mingapi?

Nikupe siri moja ambayo labda umeisahau kuhusu hii dunia, hizi kalenda zimewekwa tu na wanadamu , Kiukweli miaka( ya kalenda) wala haiendi dunia iko vilevile ila tunaokwenda ni sisi wanadamu, kama ulikuwa na miaka 20 basi una 30 kama 30 una 40,dunia haiendi sisi ndiyo tunayaendea mauti

Ramadhani ijayo mimi/wewe hatujui kama itatuka dunian/kaburini tuache kibri na kubabaika na anasa za dunia tumche Mungu ( s.w), dunia tunapita huko tuendako tutabaki sisi na matendo yetu
891377_318575598307078_14093859_n.jpg
 
asalaam alyekum

ndugu zangu waislam katika iman

wale wenye ving`amuzi vya Azam TV channel namba 208 inayoitwa MBC power kuna tamthilia ya maisha ya UMAR iliyotafsiriwa kwa kiswahili kila siku SAA 4 kamili
 
*(ZINGA LA ZINGATIO)*

Mara Nyingi Watu Wanapokuzungumza, *(WANAKUTETA/WANAKUSENGENYA)*

Katika Hali Tatu:

*1. [emoji117]Wanapokuwa hawamiliki unachokimiliki.*

*2. [emoji117]Wanaposhindwa kuwa kama wewe.*

*3[emoji117]Wanapokuwa hawawezi kukufikia.*

_Allah Mtukufu Anasema;_
*Na wale wanao waudhi Waumini wanaume na wanawake pasina wao kufanya kosa lolote, bila ya shaka wamebeba dhulma kubwa na dhambi zilio dhaahiri.33:58*

*(MKONO KWA MKONO HADI PEPONI)*
 
Naomba kuuliza kidogo,mm nasafili na kipando nilichopanda ni buss na niabilia wengi na niendapo panatumia siku nzima njiani, sasa je ni lazima nifunge na kama ntafunga funga yangu itakua salama pasipo kuswali?
Wailahuna yaqfee
Kufunga sio lazima, kama sjakosea unaruhusiwa kutofunga ukiwa safarini kama safari ni ndefu, ila pia unapokuwa safari hakuna excuse ya kutoswali, kuna swala za safari unaswali ukiwa hapo kwenye kiti chako, kama ni adhuhuri unachanganya na Alasiri.
 
Naomba kuuliza kidogo,mm nasafili na kipando nilichopanda ni buss na niabilia wengi na niendapo panatumia siku nzima njiani, sasa je ni lazima nifunge na kama ntafunga funga yangu itakua salama pasipo kuswali?
Wailahuna yaqfee
Assalamualaik,
Kuna aya ktk Surat Al baqrah inaeleza juu ya watu walioko ktk Safari na wagonjwa, kwamba wao watafunga ktk cku zitazofuata.
Ktk suala la swala unatakiwa kuswali swala ya safari, kwani swala haina excuse hata kwa wagonjwa inawapasa kuswali.
Wallah aalam.
 
Back
Top Bottom