Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
.....Asalaam Aleykum ndugu zangu wote katika imani,
Kuelekea mfungo mtukufu wa mwezi wa Ramadhan, waislamu wote nawaomba tukutane humu ili tuelimishane mawili matatu kuhusu mwezi huu.
Lengo kuu ni kuweza kufahamu yale yote aliyotufunza kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.W kuhusu mwezi huu.
Vitu gani tukifanya vitaharibu swaumu zetu, vitu gani tukifanya vitaongeza thawabu zinazopatikana katika kufunga, ipi hukumu kwa wale wasiofunga na yapi malipo anayopewa mja ambaye anafunga swaumu kikamilifu
Pia tuweze kujifunza neema zinazopatikana kwenye usiku wa lailatul qadr, usiku ambao umebarikiwa kuliko siku elfu moja.
Kwa haya machache napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa muumba wa mbingu na ardhi ambaye si mwingine bali ni Allah S.W. na kipenzi chake, Mtume Muhammad S.A.W.
Karibuni.
We have indeed revealed this (Message) in the Night of Power:
And what will explain to thee what the night of power is?
The Night of Power is better than a thousand months. (laylatu al-qadri khayrun min alfi shahrin)
Therein come down the angels and the Spirit by Allah's permission, on every errand:
Peace!...This until the rise of dawn!
— Sura 97 (Al-Qadr), āyāt 1-5[19]