data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Hili hata mimi nililita hapa ila sikupata majibu ya kuridhisha..
Kufunga kunaletaje afya njema... Naomba kufaham.
Kufunga kunaletaje afya njema... Naomba kufaham.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
On top of the listMmmh vitu vingine sio vya ku-complicate mkuu
Kuna jingle(wimbo umekaa kama tangazo hivi) unatangazwa sana na kituo kimoja maarufu cha redio cha hapa jijini Dar es salaam....wenyewe wanajiita redio ya watu.. Lile tangazo kwa upande wangu nadhani linapotosha maudhui na dhumuni kubwa la mfungo wetu mtakatifu wa Ramadhan.. Tangazo linasema hivi kwa kifupi "........waislamu fungeni mpate afya njema...." kwa upande wangu dhumuni kubwa la mfungo sio kupata afya njema ya mwili, nadhani bora ingekua "kupata afya njema ya Roho".. Na kama kuna mwislamu anafunga ili kupata afya njema ya mwili atakua kakose japo hilo laweza kua ni lengo moja wapo lakini dhumuni kubwa ni Afya ya Roho, kwa kutenda mema, kusali sana na kuomba toba kwa Allah..
In short tangazo hilo lina boa na kubadili dhumuni kwa watu wanao lisikia hasa wale wa madhehebu mengine na waislamu kwa ujumla... Wadau mnasemaje..
Siyo hata afya ya kulaYaah! Wanapata afya njema kwa kula mapochopocho usiku kucha!