Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

Kuna jingle(wimbo umekaa kama tangazo hivi) unatangazwa sana na kituo kimoja maarufu cha redio cha hapa jijini Dar es salaam....wenyewe wanajiita redio ya watu.. Lile tangazo kwa upande wangu nadhani linapotosha maudhui na dhumuni kubwa la mfungo wetu mtakatifu wa Ramadhan.. Tangazo linasema hivi kwa kifupi "........waislamu fungeni mpate afya njema...." kwa upande wangu dhumuni kubwa la mfungo sio kupata afya njema ya mwili, nadhani bora ingekua "kupata afya njema ya Roho".. Na kama kuna mwislamu anafunga ili kupata afya njema ya mwili atakua kakose japo hilo laweza kua ni lengo moja wapo lakini dhumuni kubwa ni Afya ya Roho, kwa kutenda mema, kusali sana na kuomba toba kwa Allah..

In short tangazo hilo lina boa na kubadili dhumuni kwa watu wanao lisikia hasa wale wa madhehebu mengine na waislamu kwa ujumla... Wadau mnasemaje..

Wewe waache waislam na kufunga kwao angalia ustaarabu wako
 
Tuna mengi ya kuwaza mkuu haya mengine ni kuyaacha yapite
 
Siku hizi JF haipiti siku kutawekwa uzi kuhusu Uislam au Waislam kisha watokee vijana kuja kukashifu . . . . Utadhani kuna vijana waliopangwa kwa mkakati maalum...
 
Afya ya roho kwa hawa waislam au ninaowaona ni watakafifu kidogo sana mwez huu acha wafungue mtaani ni noma
 
Kuna jingle(wimbo umekaa kama tangazo hivi) unatangazwa sana na kituo kimoja maarufu cha redio cha hapa jijini Dar es salaam....wenyewe wanajiita redio ya watu.. Lile tangazo kwa upande wangu nadhani linapotosha maudhui na dhumuni kubwa la mfungo wetu mtakatifu wa Ramadhan.. Tangazo linasema hivi kwa kifupi "........waislamu fungeni mpate afya njema...." kwa upande wangu dhumuni kubwa la mfungo sio kupata afya njema ya mwili, nadhani bora ingekua "kupata afya njema ya Roho".. Na kama kuna mwislamu anafunga ili kupata afya njema ya mwili atakua kakose japo hilo laweza kua ni lengo moja wapo lakini dhumuni kubwa ni Afya ya Roho, kwa kutenda mema, kusali sana na kuomba toba kwa Allah..

In short tangazo hilo lina boa na kubadili dhumuni kwa watu wanao lisikia hasa wale wa madhehebu mengine na waislamu kwa ujumla... Wadau mnasemaje..

Yawezekana mtunga tangazo hilo kuna mambo mengi amezingatia katika kupachika maudhui hayo katika tangazo husika.Atakuwa pengine amerejea historia ya mifungo kama hiyo kwa miongo kadhaa.Atakuwa ametalii maandalizi yanayofanywa kabla ya mfungo wenyewe.Atakuwa amezingatia hali ya watu kuanza ku-save pesa miezi michache kabla ya mfungo kuanza.Atakuwa ameona jinsi waumini husika wanavyonunua vyombo vipya kwa ajili ya chakula wakati wa mfungo.Amezingatia jinsi waumini husika wanavyonunua mazulia mapya kwa ajili ya kuketi wakati wa kufuturu na mambo kedekede.

Kwa maandalizi kama hayo niliyoyataja bila shaka mtu hawezi kukosa afya njema.
 
Yawezekana mtunga tangazo hilo kuna mambo mengi amezingatia katika kupachika maudhui hayo katika tangazo husika.Atakuwa pengine amerejea historia ya mifungo kama hiyo kwa miongo kadhaa.Atakuwa ametalii maandalizi yanayofanywa kabla ya mfungo wenyewe.Atakuwa amezingatia hali ya watu kuanza ku-save pesa miezi michache kabla ya mfungo kuanza.Atakuwa ameona jinsi waumini husika wanavyonunua vyombo vipya kwa ajili ya chakula wakati wa mfungo.Amezingatia jinsi waumini husika wanavyonunua mazulia mapya kwa ajili ya kuketi wakati wa kufuturu na mambo kedekede.

Kwa maandalizi kama hayo niliyoyataja bila shaka mtu hawezi kukosa afya njema.
We jamaa wewe... Kwa point hizo kweli ni kwa afya njema.
 
Maandishi ya Kiarabu hapo chini yanasema, usishangae hii ni futari inayoandaliwa si jijini Jeddah bali ni Hanover Ujerumani:

IMG-20170618-WA0005.jpg
 
Kama hujui uliza acha kukurupuka kutoa tafsiri yako! Ebo! Hiyo wala hawakosei ni kweli kufunga ni kupata afya njema kwa mujibu wa Quran na hata kisayansi, Quran yote ni maisha ya mwanaadamu na imejaa sayansi ndani.
 
Tangazo liko sahihi.Mtoa mada umeongeza na mengine. Yote ni sahihi
 
Kuna jingle(wimbo umekaa kama tangazo hivi) unatangazwa sana na kituo kimoja maarufu cha redio cha hapa jijini Dar es salaam....wenyewe wanajiita redio ya watu.. Lile tangazo kwa upande wangu nadhani linapotosha maudhui na dhumuni kubwa la mfungo wetu mtakatifu wa Ramadhan.. Tangazo linasema hivi kwa kifupi "........waislamu fungeni mpate afya njema...." kwa upande wangu dhumuni kubwa la mfungo sio kupata afya njema ya mwili, nadhani bora ingekua "kupata afya njema ya Roho".. Na kama kuna mwislamu anafunga ili kupata afya njema ya mwili atakua kakose japo hilo laweza kua ni lengo moja wapo lakini dhumuni kubwa ni Afya ya Roho, kwa kutenda mema, kusali sana na kuomba toba kwa Allah..

In short tangazo hilo lina boa na kubadili dhumuni kwa watu wanao lisikia hasa wale wa madhehebu mengine na waislamu kwa ujumla... Wadau mnasemaje..
Kwa suala la afya kweli wanapata afya.. Usishangae watu wakanenepa kipindincha mfungo.. Maana si kwa misos.. Mm jana nilikaribishwa futari.. Ofcoz na mm jana nilifunga. Nnikapiga futari... Nikawa full nikajua siku imeisha.. Wakanambia hapana shekhe kina daku.. Yani kuna pilau jingine linapikwa.. Kwabkweli nilishindwa kula tena.. But wazoefu wa mtanange walihudhuria paper two..
 
Siku hizi JF haipiti siku kutawekwa uzi kuhusu Uislam au Waislam kisha watokee vijana kuja kukashifu . . . . Utadhani kuna vijana waliopangwa kwa mkakati maalum...
Ata nyuzi za wakristu zipo... Inawezekana concentration yako ipo kwenye nyuzibza kiislamu peke yake..na mtu kuuliza ni kutaka fahamu wala si kashfa..
 
Back
Top Bottom