Nikuonyeshe namna ya kuswali swala tano hakika imenishangaza comment yako nimekuuliza swali lengine unajibu tofauti mbaya zaidi unataka kuingiza topic nyingine. Mkuu wew Kusimamisha swala hujui.Sawa, sababu mimi nimeanza kukuuliza swali,naomba unijibu kwanza kisha nikujibu swali lako.
Ila ngoja nikujibu kwa mtindo huu. Naomba unionyeshe kwenye Qur'aan namna ya kuswali sala tano kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Nipo ...
Swali lako limejibiwa na Abuu DharrHembu nieleweshe hili neno kwa undani kidogo ingawa mimi sio Ustadh
Neno Karim au Kerim ni moja na limetumika kama jina katika majina ya watu na maana yake ni generous (ukarimu)
Lakini pia lisiandikwe Al Kareem au Al Karim kwani hili ni jina mojawapo katika majina 99 ya Allah
Mbona sikuuliza swali?Swali lako limejibiwa na Abuu Dharr
Sawa nduguMbona sikuuliza swali?
Nimerekebisha neno la kuulizaSawa ndugu
Usijali ndugu yanguNimerekebisha neno la kuuliza
Sorry sikuwa na kusudia hivyo
Hakuna haja ya elimu ya mwaka. Demiss alipaswa kumuuliza huyo bwanake. Kimsingi hakuwa na sababu zozote za maana.Wew inabidi upewe elimu ya mwaka mzima njoo pm
Nakataa. Halina asili kisheria lakini lina maana. Na jambo haliwi haraam mpaka likatazwe au liende kinyume na mafundisho. Haya wewe maalim tuambie kwanini Ramadhan Kareem haifai?Sema "Ramadhan Mubaraak" au "Ramadhan Sharif" au "Ramadhan Adhwiim" usiseme "Ramadhan Kareem" tamko hili halina asili.
Hata Ramadhan Mubaarak ni majina mkuu. Umesoma wapi lugha mkuu.?Hayo ni majina mawili yaliyo unganishwa. Haileti maana aliyo kamili achilia mbali haina asili.
Mkuu, basi hata suruali tusivae. Kwa maana hiyo. Uislam sio mgumu kiasi hicho.Rejea hadithi ya mtume amani ya Allah iwe juu yake isemayo "Mwenye kujifananiza na kaumu fulani,basi na yeye ni miongoni mwao"
Umefasiri Kiswahili. Lete hapa istilahi ya Kiarabu. Inaonekana huijui lugha wewe.Karimu ni jina lenye asili ya kiarabu,ambalo kwa Kiswahili,hutafasiriwa kwa tamko "Ukarimu", lenye maana :
ukarimu
NOMINO wingi ukarimu
- 1
utoaji vitu au mali kwa kukaribisha watu au kuwasaidia wanaohitaji msaada bila ya malipo.
Visawe
fadhila, hisani
Maana hiyo kilugha haikai sambamba na mwezi ikaleta maana.
Haikuhisu ndugu pita kushoto uende kwa bi mkubwa wenuWazee wakubadili ratiba ya menu
Innamal muuminuuna ikhwaa lakini.Nawatakia mfungo mwema ndugu zangu Waislam
RelaxHaikuhisu ndugu pita kushoto uende kwa bi mkubwa wenu
Mkuu unamjua mtu ambaye anakimbia mpaka anaweza kupita kwao?Nikuonyeshe namna ya kuswali swala tano hakika imenishangaza comment yako nimekuuliza swali lengine unajibu tofauti mbaya zaidi unataka kuingiza topic nyingine. Mkuu wew Kusimamisha swala hujui.
Kwani lazima tuwe na Kiswahili?Huoni kwamba tamko Karimu limeabatana na tamko Ramadhan ?
Hivi kusema "Kitabu Changu" ni sawa nakusema "Kitabu" au "Changu" ?
Unatakiwa ujue kabisa kwanza hakuna Kiswahili cha "Ramadhan Kareem" sababu tamko hili limechukuliwa moja kwa moja kwa kiarabu ila kwa maandishi ya Kiswahili.
Kwahiyo yafaa kusemaNeno Kareem كريم
limekuja katika uzani wa فعيل ambayo ina maana ya صيغة المبالغة na inaweza ikawa na maana ya صفة مشبهة
ama neno مبارك MUBAARAK
Limekuja katika uzani wa اسم المفعول
kwamaana ya Mtendwa( Iliyobarikiwa)
Kwamaana imefanyiwa kitendo cha Baraka
Allah anajua zaidi