Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,650
- 6,015
Ndio. Hata ratiba ya matendo inabadilika. Walevi wanapungua, uzinzi unapungua. Sioni tatizo ndivyo ilivyosemwa. Tule usiku tusile mchana. We unakwazika na nini?Wazee wakubadili ratiba ya menu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio. Hata ratiba ya matendo inabadilika. Walevi wanapungua, uzinzi unapungua. Sioni tatizo ndivyo ilivyosemwa. Tule usiku tusile mchana. We unakwazika na nini?Wazee wakubadili ratiba ya menu
A million thank yousUsijali ndugu yangu
Allah amwongozeHuyo jamaa hayupo hapa kwa ajili ya kujifunza mkuu bali kufanya mzaha na kuharibu maudhui ya mjadala.
Huu ni uzi maalum kwa ajili ya mfungo wa Ramadhani lakini yeye analeta habari za kitimoto tena akijinisabu kwamba yeye ni Muislam na bado anajiuliza ima afunge au la maana atamisi hicho kitimoto chake!!.
Ndugu zangu iko hivi
Kilugha kusema Ramadhan Kareem haileti maana sahihi.
Neno Ramadhan Mubaarakah.....yaani Ramadhan yenye barka....inaendana na neno Ramadhan Mukarramah....yaani ramadhan yenye upole/unyenyekevu na mfanowe
Kwahiyo ni kheri Kusema Ramadhan Mukaramah na sio Ramadhan Kareem.
Kama una hoja njoo.
Kufuatia hiyo fatawa ya sheikh uthaymiiin rahima hu allah
Je kusema ramadan mubarak ndo kusema ramadan inaleta baraka??
Ikiwa kusema ramadhan kareem kuwa ramadhan ndio inayoleta ukareem
Neno Kareem كريم
limekuja katika uzani wa فعيل ambayo ina maana ya صيغة المبالغة na inaweza ikawa na maana ya صفة مشبهة
ama neno مبارك MUBAARAK
Limekuja katika uzani wa اسم المفعول
kwamaana ya Mtendwa( Iliyobarikiwa)
Kwamaana imefanyiwa kitendo cha Baraka
Allah anajua zaidi
Nikuonyeshe namna ya kuswali swala tano hakika imenishangaza comment yako nimekuuliza swali lengine unajibu tofauti mbaya zaidi unataka kuingiza topic nyingine. Mkuu wew Kusimamisha swala hujui.
Mkuu, basi hata suruali tusivae. Kwa maana hiyo. Uislam sio mgumu kiasi hicho.
Mkuu unamjua mtu ambaye anakimbia mpaka anaweza kupita kwao?
Hahahhaha basi ni bwana Zurri
Utachoka kwa mistari yake.[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Mkuu usipate tabu k[andika,potezea kimya kimya tu upite.....Utumwa tu, hopeless kabisa
SawaaHivi ndivyo nilivyo mimi.
Hamna kitu,kesho tumalizie shabani mkuuVipi Saudia hawajatangaza mwezi Leo masheikh na mashekhati
INSHA ALLAHHamna kitu,kesho tumalizie shabani mkuu
Mwezi bado mkuuVipi Saudia hawajatangaza mwezi Leo masheikh na mashekhati