Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Ameen ya rabil aalameen..![emoji120][emoji120]ALLAH atusimamie sote InshAAllah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameen ya rabil aalameen..![emoji120][emoji120]ALLAH atusimamie sote InshAAllah
Usikosi kwenye Tarawehe2 weeks to go
Aamin ,huu mwezi una Rehema , Maghfira na baraka tele niliweka nia ya kuswali Seriazi karibu na mwezi huu miaka ya nyuma na mwezi ulipoingia nikakithirisha dua na Mwenyezi Mungu akajaalia tokea hapo nina miaka kibao nimefanikiwa kudumishwa swala yangu na kuiboreshaAllah twakuomba utufikishe Ramadhan
Kabisa na hii inasadifu hikma ya swaumu kama alivyobainisha Allah subhaanahu wataa'la aliposema (لعلكم تتقون) - ili mpate kuwa wachamungu.Aamin ,huu mwezi una Rehema , Maghfira na baraka tele niliweka nia ya kuswali Seriazi karibu na mwezi huu miaka ya nyuma na mwezi ulipoingia nikakithirisha dua na Mwenyezi Mungu akajaalia tokea hapo nina miaka kibao nimefanikiwa kudumishwa swala yangu na kuiboresha
Na kila mwezi unapoisha najiona kama kuna upya fulani Ktk dini(chanya) umeongozeka kama siyo Ktk kuacha mazoea au kuongezea na kuboresha 'amali zangu njema
Nb:Tufunge kikweli kweli na tutumie fursa hii vizuri Ktk kuzidisha dua , kutubu , kuomba Maghfira na ibada mbalimbali kikubwa zaidi na dua na uhakika mabadiliko makubwa(chanya)yatajitokeza na kupanda daraja za kiimani inshaAllah.
Usikosi kwenye Tarawehe
Siku moja Imamu wetu Alison's Surat baqarah,ulikua mtihani sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tatizo mnasoma sura ndefu mpaka watu tunachoka kusimama
Aaante sana mpendwa, mfungo kwa mwaka huu unaanza lini na mimi nijiandaeAsalaam Aleykum ndugu zangu wote katika imani,
Kuelekea mfungo mtukufu wa mwezi wa Ramadhan, waislamu wote ninawaomba tukutane humu ili tuelimishane mawili matatu kuhusu mwezi huu.
Lengo kuu ni kuweza kufahamu yale yote aliyotufunza kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.W kuhusu mwezi huu.
Vitu gani tukifanya vitaharibu swaumu zetu, vitu gani tukifanya vitaongeza thawabu zinazopatikana katika kufunga, ipi hukumu kwa wale wasiofunga na yapi malipo anayopewa mja ambaye anafunga swaumu kikamilifu.
Pia tuweze kujifunza neema zinazopatikana kwenye usiku wa lailatul qadr, usiku ambao umebarikiwa kuliko siku elfu moja.
Kwa haya machache ninapenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa muumba wa mbingu na ardhi ambaye si mwingine bali ni Allah S.W. T na kipenzi chake, Mtume Muhammad S.A.W.
Karibuni.
Siku moja Imamu wetu Alison's Surat baqarah,ulikua mtihani sana
Pia tuziandae nafsi zetu, kwa kudhamiria kukithirisha kufanya ibada na kukithirisha kuomba maghfira(msamaha).Ramadhani iko njiani inakuja wakurungwa tujiandae kwa kununua mabox ya tambi na sukari
Kabisa, inaleta ukakasi mkubwa.
Hakika Mkuu.Leo Ijumaa ya mwisho ndani ya mwezi wa Sha'ban Mwenyezi akijaalia ijumaa ijayo itakuwa ndani ya Ramadan.
Aamin Kwa dua zako dadaHakika Mkuu.
Insha Allah M'Mungu atujaalie tuwe ni wenye kuuanza na kuumaliza Mwezi salama pia tusisahau kusoma Q'uran kwa wingi pale nafasi inapopatikana.
Insha Allah ndugu yangu.Aamin Kwa dua zako dada