Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Mie ni Muslim safi kabisa. [emoji120]Ila nakushauri hii avatar yako ungeibadilisha, sio nzuri kwa maadili ya kiislam. Ila kma wewe ni Muslim
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie ni Muslim safi kabisa. [emoji120]Ila nakushauri hii avatar yako ungeibadilisha, sio nzuri kwa maadili ya kiislam. Ila kma wewe ni Muslim
Na ndie mwenye uzi huyoKumbe na wewe Hance ni Muislamu?
Sasa mbona unatumia jina la Kikafiri
[emoji1787]Wanao vunja jungu hukumu yao kiamaa
Ameen thumma AmeenAllah atujaalie uzima
Kumbe na wewe black sniper ni Muislamu? Nilikua nakutukana bure Jana, sorry!Ramadhan Mubarak kwa Waislam wote
Allah atukubalie swaumu zetu In Shaa Allah
Kumbe na wewe black sniper ni Muislamu? Nilikua nakutukana bure Jana, sorry!
Sema una hulka fulani hivi hufananii kabisa na Muislamu muungwana, sijui wewe ndo wale 'waislamu jina'
Kama ulienda Hijja 1987 basi wewe ni sawa na Faza...unastahili heshma kubwa nawe uishi kwa kujiheshimu kwa kuwa una darja kubwa kuliko watu wengi allah akuongoze insha allah.Unaona unavyotafuta dhambi kwa nguvu
Unawezaje kumjua mtu kwa comments zake? Na kumhukumu juu
Hivi hapo unaona makosa yako halafu unaniita tena Muslim jina eti sifanani na muungwana duu
Kwa taarifa yako nimeenda Hijja 1987 na Umra x2
Nikupe darsa dogo don’t judge the book by its cover
Pia humu nimefanya Uungwana sana tu kwa wanaohitaji
Hayo uliyonihukumu jitafakari sana wewe
Je unazo sifa njema?
Ftari njema mwanangu
Kama ulienda Hijja 1987 basi wewe ni sawa na Faza...unastahili heshma kubwa nawe uishi kwa kujiheshimu kwa kuwa una darja kubwa kuliko watu wengi allah akuongoze insha allah.
[emoji23][emoji23]Wanao vunja jungu hukumu yao kiamaa
Kutokana Na maelezo ya yule kijana mlolongo eti alikuwa anakutukana nikahisi ulikuwa unamfanyia mizaha...ila samahani sheikh Kama nimekukosea.Sijamkosea mtu humu najujua sana
Rejea comments zangu na michango yangu humu
Hasha siwezi kumvunjia mtu heshima kwani nina wajukuu humu
Una maana gani niishi kwa kujiheshimu
Kutokana Na maelezo ya yule kijana mlolongo eti alikuwa anakutukana nikahisi ulikuwa unamfanyia mizaha...ila samahani sheikh Kama nimekukosea.
Nilichangia hoja nae akaandika mawazo yake that’s all
Hakunitukana ila anahisi hivyo
Nawaombea mfungo mwema nyote