Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

UJUMBE WA ASUBUHI
~~~~~~~~~~~~~
LEO KTK UJUMBE WA ASUBUHI:

Enyi VIJANA!
Simamisheni SWALA!
Simamisheni SWALA!

EBRAHIM ALAYHI SSALAM🙁Mola wetu Mlezi! Hakika mimi nimewaweka baadhi ya dhuriya zangu katika bonde lisilo kuwa na mimea, kwenye Nyumba yako Takatifu, ewe Mola wetu Mlezi, ili WASHIKE SWALA. Basi zijaalie nyoyo za watu zielekee kwao, na waruzuku matunda, ili wapata kushukuru)
Surat Ebrahim:37

ESSA ALAYHI SSALAM🙁Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na AMENIUSIA SWALA na Zaka maadamu ni hai,)
Surat Maryam:31

MUSA ALAYHI SSALAM🙁Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na USIMAMISHE SWALA kwa ajili ya kunikumbuka Mimi)
Surat Taha:14

ZAKARIYA ALAYHI SSALAM; (Alipo kuwa KASIMAMA CHUMBANI AKISALI, Malaika kamnadia: Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria Yahya, ataye kuwa mwenye kusadikisha neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu, na ni bwana na mt'awa na Nabii kwa watu wema)
Surat Al Imran :39

SHUAIB ALAYHI SSALAM🙁Makafiri Wakasema: Ewe Shua'ibu! NI SWALA ZAKO ndizo zinazo kuamrisha tuyaache waliyo kuwa wakiyaabudu baba zetu, au tuache kufanya tupendavyo katika mali zetu? Ama hakika wewe ni mstahamilivu kweli na mwongofu!)
Surat Hud:87

LUQMAN ALAYHI SSALAM🙁Ewe mwanangu! SIMAMISHA SWALA, na amrisha mema, na kataza maovu, na subiri kwa yanayo kupata. Hayo ni katika mambo ya kuazimiwa)
Surat Luqman:17.

MPAKA NDEGE PIA🙁Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu vinamtakasa vilivyomo katika mbingu na ardhi, na ndege wakikunjua mbawa zao? KILA MMOJA AMESHA JUA SWALA YAKE na namna ya kumtakasa kwake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyajua wayatendayo.)
Surat AnNur:41

YA RABBI!
TUNAKUOMBA UTUJA ALIYE SISI KITULIZO CHA MACHO YETU NDANI YA SWALA.
AMIN.
 
Kesho inshaallah tunaanza kufunga , mwezi ushatangazwa Suudia

IMG-20220401-WA0006.jpg
 
Nawatakia mfungo mwema wa Ramadhan wana Jf ..

Leo baadhi ya waislamu watakuwa katika mfungo na wengine nikewemo na mimi tunasubiria ule wakutangazwa na mamlaka hapa nchini(wa wengi) .Kuhusu swala huyu anafuata na yule wa wapi lisisababishe malumbano cha msingi muhimu hoja zote zimethibiti basi kila mtu afuate nafsi yake inapohisi sawa .

Mimi binafsi nilikuwa mfuasi wa mwezi popote ka miaka mingi ila nihama baada mwaka mmoja team popote tuligawanyika mara mbili kwani siku ya kufunga tulifuata Saudi bahati mbaya au nzuri siku ya kutazamia mwezi kama Iddi itakuwa Kesho yake Saudi hawakutangaza halafu wkt huo huo baadhi ya nchi mwezi ulionekana asubuhi yake wengi wakabaki njia ya panda wengine leo Iddi wengine wanadai sio ,wengine wakafungua na wapo wakiendelea na swaumu

Kutokana na hilo nikagundua Saudi km Saudi mamlaka ni moja hata kama ukionekana Tz wasipotangaza wao hawawezi kutufuata Sisi. Vile vile nikajifunza rai hii imeta idi 3 kuswaliwa kw mara ya kwanza (Saudi,Team Popote,Bakwata)

Nikafikia hitimisho kwa vile hakuna makosa kufuata pande Moja wapo haina ya Rai mbili za wanazuoni kwangu mimi ni bora kufuata yenye kuleta umoja na wengi ili sikukuu furaha ipatikane kwa pamoja majirani ,ndugu ,marafiki nk tule tufurahi kwa pamoja itakuwa poa zaidi kuliko kuwa nyumba nzima au mtaa watu wachache mno

Nb: Allah ni mjuzi zaidi ,mafikirio yangu yanaweza kuwa sahihi au sio sahihi .Nawapenda ndugu zangu hapa Jf kwa ajili ya Allah

#AllahAtuongoeSote
 
Nawatakia mfungo mwema wa Ramadhan wana Jf ..

Leo baadhi ya waislamu watakuwa katika mfungo na wengine nikewemo na mimi tunasubiria ule wakutangazwa na mamlaka hapa nchini(wa wengi) .Kuhusu swala huyu anafuata na yule wa wapi lisisababishe malumbano cha msingi muhimu hoja zote zimethibiti basi kila mtu afuate nafsi yake inapohisi sawa .

Mimi binafsi nilikuwa mfuasi wa mwezi popote ka miaka mingi ila nihama baada mwaka mmoja team popote tuligawanyika mara mbili kwani siku ya kufunga tulifuata Saudi bahati mbaya au nzuri siku ya kutazamia mwezi kama Iddi itakuwa Kesho yake Saudi hawakutangaza halafu wkt huo huo baadhi ya nchi mwezi ulionekana asubuhi yake wengi wakabaki njia ya panda wengine leo Iddi wengine wanadai sio ,wengine wakafungua na wapo wakiendelea na swaumu

Kutokana na hilo nikagundua Saudi km Saudi mamlaka ni moja hata kama ukionekana Tz wasipotangaza wao hawawezi kutufuata Sisi. Vile vile nikajifunza rai hii imeta idi 3 kuswaliwa kw mara ya kwanza (Saudi,Team Popote,Bakwata)

Nikafikia hitimisho kwa vile hakuna makosa kufuata pande Moja wapo haina ya Rai mbili za wanazuoni kwangu mimi ni bora kufuata yenye kuleta umoja na wengi ili sikukuu furaha ipatikane kwa pamoja majirani ,ndugu ,marafiki nk tule tufurahi kwa pamoja itakuwa poa zaidi kuliko kuwa nyumba nzima au mtaa watu wachache mno

Nb: Allah ni mjuzi zaidi ,mafikirio yangu yanaweza kuwa sahihi au sio sahihi .Nawapenda ndugu zangu hapa Jf kwa ajili ya Allah

#AllahAtuongoeSote
Uongo.

Mwaka gani huo...?
 
Uongo.

Mwaka gani huo...?
Ukiachana na Iddi iliyopita ya nyuma yake ,radio Iman usiku hawakutangaza kitu Iddi walitangazwa asubuhi tena kwa kuchelewa tofauti na miaka ya nyuma inavyokuwa wale wa kambi popote wengine wakaamua kuendelea na swaumu baadhi wakafungua nikiwemo na Mimi kesho yake wale ambao wanaofuata Saudi Iddi yao ikawa sambamba na waliongojea Bakwata kukakawa na makundi matatu .
 
Ukiachana na Iddi iliyopita ya nyuma yake ,radio Iman usiku hawakutangaza kitu Iddi walitangazwa asubuhi tena kwa kuchelewa tofauti na miaka ya nyuma inavyokuwa wale wa kambi popote wengine wakaamua kuendelea na swaumu baadhi wakafungua nikiwemo na Mimi kesho yake wale ambao wanaofuata Saudi Iddi yao ikawa sambamba na waliongojea Bakwata kukakawa na makundi matatu .
Wanaofunga kwa popote utakapo onekana hua hawafuati Saudia Arabia kama inavyoaminika na wengi

na hii scenario sii ikumbuki kwakeli... Bila shaka umechanganya mafaili

NB
Uislamu unaenda kwa Dalili na wala hauendi kwa Rai za mamlaka ya Saudia Arabia

Allahu A'alaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawatakia mfungo mwema wa Ramadhan wana Jf ..

Leo baadhi ya waislamu watakuwa katika mfungo na wengine nikewemo na mimi tunasubiria ule wakutangazwa na mamlaka hapa nchini(wa wengi) .Kuhusu swala huyu anafuata na yule wa wapi lisisababishe malumbano cha msingi muhimu hoja zote zimethibiti basi kila mtu afuate nafsi yake inapohisi sawa .

Mimi binafsi nilikuwa mfuasi wa mwezi popote ka miaka mingi ila nihama baada mwaka mmoja team popote tuligawanyika mara mbili kwani siku ya kufunga tulifuata Saudi bahati mbaya au nzuri siku ya kutazamia mwezi kama Iddi itakuwa Kesho yake Saudi hawakutangaza halafu wkt huo huo baadhi ya nchi mwezi ulionekana asubuhi yake wengi wakabaki njia ya panda wengine leo Iddi wengine wanadai sio ,wengine wakafungua na wapo wakiendelea na swaumu

Kutokana na hilo nikagundua Saudi km Saudi mamlaka ni moja hata kama ukionekana Tz wasipotangaza wao hawawezi kutufuata Sisi. Vile vile nikajifunza rai hii imeta idi 3 kuswaliwa kw mara ya kwanza (Saudi,Team Popote,Bakwata)

Nikafikia hitimisho kwa vile hakuna makosa kufuata pande Moja wapo haina ya Rai mbili za wanazuoni kwangu mimi ni bora kufuata yenye kuleta umoja na wengi ili sikukuu furaha ipatikane kwa pamoja majirani ,ndugu ,marafiki nk tule tufurahi kwa pamoja itakuwa poa zaidi kuliko kuwa nyumba nzima au mtaa watu wachache mno

Nb: Allah ni mjuzi zaidi ,mafikirio yangu yanaweza kuwa sahihi au sio sahihi .Nawapenda ndugu zangu hapa Jf kwa ajili ya Allah

#AllahAtuongoeSote
Ahsante sana Brother.

Kuna Rai zaidi ya mbili katika suala la Ikhlaf juu ya Muandamo wa Mwezi wa Ramadhan. Haziko mbili peke yake.

Niishie hapa.

Allah akulipe kheri.

Cc Kisai
 
Ahsante sana Brother.

Kuna Rai zaidi ya mbili katika suala la Ikhlaf juu ya Muandamo wa Mwezi wa Ramadhan. Haziko mbili peke yake.

Niishie hapa.

Allah akulipe kheri.

Cc Kisai
Aamin na wewe pia ,kweli kabisa zipo zaidi ya hizo ila maarufu zaidi kwa watu ni mbili na mgawanyiko huwa baina ya pande mbili so nikageneralise kihivyo.
 
Back
Top Bottom