Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
[emoji617]HUKMU YA MWENYE KUOTA MCHANA WA RAMADHANI
حكم من احتلم في نهار صيامه لمعالي الشيخ صالح الفوزان حفظه الله ورعاه
[emoji441]Muulizaji anauliza: ni ipi hukmu ya mwenye kuota mchana wa ramadhani (na yakamteremka manii) je huhesabiwa yeye kusihi kwa funga yake au haihesabiwi?
[emoji2424]Jawabu kutoka kwa Al-allaamah swaaleh Al-fawzan (Allah amhifadhi)
Mwenye kuota mchana wa ramadhani basi hakika yake ni lazima aoge pindi akiota na manii yakateremka, na kuhusu funga yake ni sahihi kwani hakika ya kuota sio kwa khiyari yake na sio kwa makusudio yake, basi jambo hilo haliathiri funga yake, funga yake itakuwa ni sahihi hakuna madhara juu yake, lakini jambo la wajibu kwa muislam pindi akiota na manii yakateremka basi wajibu juu yake aoge kogo la janaba. Naam."
[emoji442]Sikiliza kwa faida clip ina sekunde 37 tu, ingia katika channel ya YouTube kuskiliza hii kisha subscriber channel yetu ili kupata faida za shekh fawzan kila zikitoka
••┈•✿•┈•••••°••○••°••••┈•✿•┈••
[emoji3578] Abou huda'a Al-jaziiriyyi حفظه الله
[emoji455]FAWA'AID SHEKH FAUZAN حفظه الله[emoji2391]
FAWA'AID SHEKH FAUZAN
حكم من احتلم في نهار صيامه لمعالي الشيخ صالح الفوزان حفظه الله ورعاه
[emoji441]Muulizaji anauliza: ni ipi hukmu ya mwenye kuota mchana wa ramadhani (na yakamteremka manii) je huhesabiwa yeye kusihi kwa funga yake au haihesabiwi?
[emoji2424]Jawabu kutoka kwa Al-allaamah swaaleh Al-fawzan (Allah amhifadhi)
Mwenye kuota mchana wa ramadhani basi hakika yake ni lazima aoge pindi akiota na manii yakateremka, na kuhusu funga yake ni sahihi kwani hakika ya kuota sio kwa khiyari yake na sio kwa makusudio yake, basi jambo hilo haliathiri funga yake, funga yake itakuwa ni sahihi hakuna madhara juu yake, lakini jambo la wajibu kwa muislam pindi akiota na manii yakateremka basi wajibu juu yake aoge kogo la janaba. Naam."
[emoji442]Sikiliza kwa faida clip ina sekunde 37 tu, ingia katika channel ya YouTube kuskiliza hii kisha subscriber channel yetu ili kupata faida za shekh fawzan kila zikitoka
••┈•✿•┈•••••°••○••°••••┈•✿•┈••
[emoji3578] Abou huda'a Al-jaziiriyyi حفظه الله
[emoji455]FAWA'AID SHEKH FAUZAN حفظه الله[emoji2391]
FAWA'AID SHEKH FAUZAN