Ramadhani Brothers waibuka washindi shindano la America's Got Talent Fantasy League, wanyakua Tsh milioni 637

Africa tumelala sana. Mashindano yanaitwa America's Got Talent halafu anayeshinda anatokea Bagamoyo.
 
Daaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hongera nyingi kwao, maisha ndio haya sasa
 
Hongera zao, waendelee kujituma

Ila pamoja na yote hilo fungu la usd250000 Ni dogo san kwa watu wawil wakigawan hamn ktu
Duh!...million 320 ni ndogo ?...🙄🙄🙄
 
Wakirejea watalakiwa na jamaa zangu wa Lumumba, kisha watapewa hadhi za kisiasa ili kuua vipaji vyao...

Nchi tamu na ngumu hii
 
Walipambana wenyewe media zilikua kimya sasa ndio kila mmoja anapost bongo kwa unafiki ni namba1
 
Hongera zao, waendelee kujituma

Ila pamoja na yote hilo fungu la usd250000 Ni dogo san kwa watu wawil wakigawan hamn ktu
Si haba mkuu. Ila pia wanakocha na mentor ambao wanawalipa.
 
Waje wapigwe na wadada wa mujini...kama Idriss Sultani Ile milion 600 zake...
 
Hongera zao, waendelee kujituma

Ila pamoja na yote hilo fungu la usd250000 Ni dogo san kwa watu wawil wakigawan hamn ktu
😆 😂 😆 😂 this is JF......
Yawezekana umezungukwa na wafanyabiashara waliofanikiwa kwa sekta ya madini.

Milioni 300 ni hela nyingi sana kwa 3rd world country
100 unapata nyumba na usafiri
100 unatupia UTT upate 1M kila mwezi ya kujisogeza
100 unaigawa mara 3 au mbili na kufanya biashara ambayo ushaifanyia tafiti kitambo.
Kama biashara sio swala basi unaitia UTT na kujifunza investments huku ukiendelea kupambana na gigs za kipaji chako na kutanua wigo.

HIYO HELA SIO NDOGO KWA MAISHA YA 3RD WORLD COUNTRY POPOTE DUNIANI TUACHE KUDANGANYANA HUMU NDANI
 
Hongera sana kwa hawa jamaa
Kenya watasema ni wakenya
 

Hii imekaa vizuri sana. Hongera zao sana.
Ila nashauri jina wafikirie kubadilisha, at least waitwe Kilimanjaro au Tanzanite brothers.
 
Safi kabisa wameitangaza nchi kuliko hata royal tour

Kwa kiasi fulani wanaitangaza. Ila wangebadili jina na kuwa Tanzanite au Serengeti au Kilimanjaro Brothers ingekuwa safi kabisa.
 
Kwa kiasi fulani wanaitangaza. Ila wangebadili jina na kuwa Tanzanite au Serengeti au Kilimanjaro Brothers ingekuwa safi kabisa.
Haya ndio matatizo ya kuvizia watu wakishafanikiwa. Mngekuwa mmewaibua mngewapanga mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…