Ramadhani ile haipo

Ramadhan ndio nini labda? 🚮. Fungeni kimpango wenu. Nyie na dini yenu hamna ukubwa kuliko wengine. Zingatieni mipaka yenu, msijikute mnataka kupangia watu maisha. Kwanza mtume wenu muongo muongo, alioa kitoto cha miaka 6, anachanganya Mariam mama yake Yesu na Mariam mama yake Musa, haijashuhudia lolote lakini kaleta story za uongo uongo na kuchota watu. Yupo zake Medina kaoza anamsubiri Yesu Mungu, mfalme wa wafalme siku ya mwisho kama wengine. Ramadhan hamna la maana zaidi ya kubadili muda wakula. Kwanza ni excuse ya kula vizuri. Wanafiki tu. Hambadiliki chochote.
 
Nyoka fox ni mdudu gani huyo anayekuchachafya hata ukanifananisha naye ?? au alikutia bakora kwa kula mchana ?😛😛
🤣🤣Mm nipigwe na mla urojo? Ntakua Sina mikono na ntakua nimesahau judo na Kung Fu nlizojifunza kutoka kwa sheikh wangu maridadi kutoka masjid madina
 
Hehe na wanafurahia kusikia ulaya wana slim wengi,,,,.....miaka inayokuja muislam atakua hana tofauti na mkristo, mvinyo kwa wingi na mbuzi katoliki halali
 
Suni imebadilika
 

Eti Ulishaolewa na padri ?? Papa ameruhusu kuolewa


View: https://www.youtube.com/watch?v=B-noZKkmqIo&pp=ygUZcG9wZSBhbGxvd3MgZ2F5IG1hcnJpYWdlZQ%3D%3D
 
Hehe na wanafurahia kusikia ulaya wana slim wengi,,,,.....miaka inayokuja muislam atakua hana tofauti na mkristo, mvinyo kwa wingi na mbuzi katoliki halali

ndivyo inavyosema injili ya Naby keita ??
 
Enzi zenu hakukuwa na Smartphone ndo maana mliweza hayo yote Sasa hivi ni ngumu
 
Ya mtakatifu mudi,,,,tunajionea kitaa acha mfungo uishe tuanze kupiga wote misele kwenye monde na mbuzi katoliki

mahubiri ya mchungaji wako Gwajima hayo au yule dada Zumaridi ?
 
Sikukuu muhimu na kubwa kuliko zote kwa christians ni Christmas mkuu
 
Nabii wangu mzimu kwani umeletwa na jahazi na hao ngozi za kitimoto?

Wacha kujipakazia , Nabii wako Tito yupo anakuambia unywe kama hivyo ulivyosema baadaye ulitoe sadaka boga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…