Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itikadi Kali ni wale walipotoka na kuyapa mgongo mafundisho sahihi kwa ufahamu sahihiVijana wa kiislam wa kibongo huwa hawataki kabisa kupanua ufahamu zaidi kuhusu dini yao waliyoikuta inaabudiwa na wazazi wao, hawataki kuwaza nje ya box, wanadhani mambo ndivyo yalivyo kwa jinsi walivyohubiriwa. Hawataki kufanya akili zao kuwa huru kuwaza na kutafuta ukweli wa mambo ya dini ndio maana husombwa na itikadi kali na chuki za kidini pasipo kuujua ukweli na ajenda zilizojificha ndani ya dini yao. Let them set free
Nope! It's the way to reveal your ignorance!Duh
Is this supposed to be an interrogation or what?
Waambieni waandike tena.Quran iliandikwa na mapadri waliojifungia Vatican enzi hizo kuiandika halafu wakampa mudi aieneze.
This confirms you didn't do any research, and instead ended up with Conspiracy Theories!!Okay
Kuna hoja gani hapo?..jina fatima alilopewa binti wa mtume,ni jina la kiarabu lililokuwepo kabla mtume hajazaliwa,kama kuna eneo linaitwa fatima huko ureno,haishangazi,sababu waarabu waliitawala hispania na ureno kwa miaka zaidi ya 800,hispania kuna mji unaitwa cordoba (kiarabu qurdubaa),huko nyuma walidai uislam ulianzishwa na Jesuit ya wakatoliki, jesuit ulianzishwa miaka 900 baada ya kifo cha muhammadMbona kama wewe ndio upo high mwenzako katoa hoja zake umeshindwa kujibu hoja unatoa maneno ya kejeli
Wewe mwenye akili nyingi tusaidie kujua inakuwaje Kwaresma na Ramadhani ziangukie mwezi mmoja?
Wewe una Amini wewe ni Binadamu?Wewe una amini Adamu na Hawa walikuwepo?
Lunar calendar haizai christmas bali calendar ya jua, calendar ya mwezi ina siku 29-30, wakati ya jua ina siku 30-31,ni obvious calendar ya mwezi itabadilika proportionally na calendar ya juaHiyo Ecclesiastical calendar ni kwa ajili ya maamuma kama wewe Vatican wanafuata Lunar Calendar
Mapadre wakaandika yesu si Mungu wala mwana wa Mungu na anayesema hivyo kakufuru?Quran iliandikwa na mapadri waliojifungia Vatican enzi hizo kuiandika halafu wakampa mudi aieneze.
that is how islam is created by them, halafu kijana mbongo wa madongokuinama mchambawima, temeke mikoroshini choo paspoti saizi ugali dona bamia anashupaza shingo hawataki kuambiwa ukweli kuwa wanapumbazwa akiliKwamba islam was created by Catholic?
Na wewe Andika ya kwako uieneze.Quran iliandikwa na mapadri waliojifungia Vatican enzi hizo kuiandika halafu wakampa mudi aieneze.
Jesuit ni jina tu lakini walikuwepo hata kabla ya Yesu. Wakati Yesu anahubiri Yudea ilikiwa chini ya utawala wa Rumi.Kuna hoja gani hapo?..jina fatima alilopewa binti wa mtume,ni jina la kiarabu lililokuwepo kabla mtume hajazaliwa,kama kuna eneo linaitwa fatima huko ureno,haishangazi,sababu waarabu waliitawala hispania na ureno kwa miaka zaidi ya 800,hispania kuna mji unaitwa cordoba (kiarabu qurdubaa),huko nyuma walidai uislam ulianzishwa na Jesuit ya wakatoliki, jesuit ulianzishwa miaka 900 baada ya kifo cha muhammad
Bro hapa unaongea kwa sababu kichwa ama akili yako iliwahi kubikiriwa na huo uislamu , tayAri uko addicted, akili huwa ina tabia kukuonyesha kile unachokiamini. Yaani ungejua akili zetu zinavyofanya kazi Wala usingeongea hayo uongeayo.Sio hatutaki , kikubwa na kheri iliyopo katika Uislamu kwamba tumehimizwa kusoma na sio kupokea vitu Kikondoo ndio maana Alhamdulillah dini imehifadhiwa na tuna Imani thabiti juu ya dini yetu .
Yote sio kwa sababu tumezaliwa nayo , hapana bali tumetenga muda wetu kusoma mafundisho sahihi ya dini yetu kwa ufahamu sahihi na Muislamu yeyote atakayefuata njia ya Elimu hata babaishwa na propaganda zozote , wasiwasi na hizo so called contradictions.
Wanaopotea na kuyumbishwa ni wale waliokubali kuwa Waislamu tu Kisha wakaridhia bila kujishughulisha katika suala ya kutafuta elimu sahihi ya dini yao .
Unatumia Mifano ya kumuelewesha profesa sidhani kama hawa mambulula yataambua chochote.Mwezi wa kiisilamu Una siku 28 mpaka 29, mwezi wa kawaida siku 30 mpaka 31, roughly kila mwaka Ramadhan inapungua siku 10, mwaka huu imeanza tarehe 1 march, mwakani Itakua around tarehe 20 Feb, mwaka unaofuatia 10 Feb, baada ya miaka 15 Itakua mwisho wa mwaka etc.
, MTU anaejua waisilamu kwa hata miaka 5 tu anajua Ramadhani ina shift kila mwaka.
Kama kilipewa heshima hiyo hicho kitongoji haishangazi, waislam walitawala hapo pamoja na hispania muda mrefuJesuit ni jina tu lakini walikuwepo hata kabla ya Yesu. Wakati Yesu anahubiri Yudea ilikiwa chini ya utawala wa Rumi.
Nchini Ureno kitongoji kinacho itwa Fatima kilipewa jina hilo specifically kwa heshima ya Fatima Bint Muhammad
Wasukuma na wamakonde wanabadili majina wapendavyo,kubadili jina ni utashi wa mtuBro hapa unaongea kwa sababu kichwa ama akili yako iliwahi kubikiriwa na huo uislamu , tayAri uko addicted, akili huwa ina tabia kukuonyesha kile unachokiamini. Yaani ungejua akili zetu zinavyofanya kazi Wala usingeongea hayo uongeayo.
Why mpaka unajibadilisha jina let say from Masanja unaitwa Abdullah ama Daniel. So majina yetu nayo hayafai mbele ya Mwenyeezi Mungu. Hapa utajibu ku defend why mpaka unabadilisha jina,nguo,chakula yaani tamaduni zote ukicheki tunafanana na wazungu ama waarabu. Yaani hapa tumeshanajisiwa na dini zao Wala huwezi ongea