Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Good! Turudi kwenye hiyo Lunar Calendar. Je, Kwaresma inakuwa wakati gani kupitia Lunar Calendar?
Duh

Is this supposed to be an interrogation or what?
 
Vijana wa kiislam wa kibongo huwa hawataki kabisa kupanua ufahamu zaidi kuhusu dini yao waliyoikuta inaabudiwa na wazazi wao, hawataki kuwaza nje ya box, wanadhani mambo ndivyo yalivyo kwa jinsi walivyohubiriwa. Hawataki kufanya akili zao kuwa huru kuwaza na kutafuta ukweli wa mambo ya dini ndio maana husombwa na itikadi kali na chuki za kidini pasipo kuujua ukweli na ajenda zilizojificha ndani ya dini yao. Let them set free
Itikadi Kali ni wale walipotoka na kuyapa mgongo mafundisho sahihi kwa ufahamu sahihi
 
Mbona kama wewe ndio upo high mwenzako katoa hoja zake umeshindwa kujibu hoja unatoa maneno ya kejeli

Wewe mwenye akili nyingi tusaidie kujua inakuwaje Kwaresma na Ramadhani ziangukie mwezi mmoja?
Kuna hoja gani hapo?..jina fatima alilopewa binti wa mtume,ni jina la kiarabu lililokuwepo kabla mtume hajazaliwa,kama kuna eneo linaitwa fatima huko ureno,haishangazi,sababu waarabu waliitawala hispania na ureno kwa miaka zaidi ya 800,hispania kuna mji unaitwa cordoba (kiarabu qurdubaa),huko nyuma walidai uislam ulianzishwa na Jesuit ya wakatoliki, jesuit ulianzishwa miaka 900 baada ya kifo cha muhammad
 
Kwamba islam was created by Catholic?
that is how islam is created by them, halafu kijana mbongo wa madongokuinama mchambawima, temeke mikoroshini choo paspoti saizi ugali dona bamia anashupaza shingo hawataki kuambiwa ukweli kuwa wanapumbazwa akili
 
Kuna hoja gani hapo?..jina fatima alilopewa binti wa mtume,ni jina la kiarabu lililokuwepo kabla mtume hajazaliwa,kama kuna eneo linaitwa fatima huko ureno,haishangazi,sababu waarabu waliitawala hispania na ureno kwa miaka zaidi ya 800,hispania kuna mji unaitwa cordoba (kiarabu qurdubaa),huko nyuma walidai uislam ulianzishwa na Jesuit ya wakatoliki, jesuit ulianzishwa miaka 900 baada ya kifo cha muhammad
Jesuit ni jina tu lakini walikuwepo hata kabla ya Yesu. Wakati Yesu anahubiri Yudea ilikiwa chini ya utawala wa Rumi.

Nchini Ureno kitongoji kinacho itwa Fatima kilipewa jina hilo specifically kwa heshima ya Fatima Bint Muhammad
 
Sio hatutaki , kikubwa na kheri iliyopo katika Uislamu kwamba tumehimizwa kusoma na sio kupokea vitu Kikondoo ndio maana Alhamdulillah dini imehifadhiwa na tuna Imani thabiti juu ya dini yetu .

Yote sio kwa sababu tumezaliwa nayo , hapana bali tumetenga muda wetu kusoma mafundisho sahihi ya dini yetu kwa ufahamu sahihi na Muislamu yeyote atakayefuata njia ya Elimu hata babaishwa na propaganda zozote , wasiwasi na hizo so called contradictions.

Wanaopotea na kuyumbishwa ni wale waliokubali kuwa Waislamu tu Kisha wakaridhia bila kujishughulisha katika suala ya kutafuta elimu sahihi ya dini yao .
Bro hapa unaongea kwa sababu kichwa ama akili yako iliwahi kubikiriwa na huo uislamu , tayAri uko addicted, akili huwa ina tabia kukuonyesha kile unachokiamini. Yaani ungejua akili zetu zinavyofanya kazi Wala usingeongea hayo uongeayo.
Why mpaka unajibadilisha jina let say from Masanja unaitwa Abdullah ama Daniel. So majina yetu nayo hayafai mbele ya Mwenyeezi Mungu. Hapa utajibu ku defend why mpaka unabadilisha jina,nguo,chakula yaani tamaduni zote ukicheki tunafanana na wazungu ama waarabu. Yaani hapa tumeshanajisiwa na dini zao Wala huwezi ongea
 
Mwezi wa kiisilamu Una siku 28 mpaka 29, mwezi wa kawaida siku 30 mpaka 31, roughly kila mwaka Ramadhan inapungua siku 10, mwaka huu imeanza tarehe 1 march, mwakani Itakua around tarehe 20 Feb, mwaka unaofuatia 10 Feb, baada ya miaka 15 Itakua mwisho wa mwaka etc.

, MTU anaejua waisilamu kwa hata miaka 5 tu anajua Ramadhani ina shift kila mwaka.
Unatumia Mifano ya kumuelewesha profesa sidhani kama hawa mambulula yataambua chochote.
 
Jesuit ni jina tu lakini walikuwepo hata kabla ya Yesu. Wakati Yesu anahubiri Yudea ilikiwa chini ya utawala wa Rumi.

Nchini Ureno kitongoji kinacho itwa Fatima kilipewa jina hilo specifically kwa heshima ya Fatima Bint Muhammad
Kama kilipewa heshima hiyo hicho kitongoji haishangazi, waislam walitawala hapo pamoja na hispania muda mrefu
 
Kwa mahesabu ya siku, wiki, mwezi na mwaka inawezakana ikaja kutokea siku moja kuna iddi na pasaka hapohapo au zikakaribiana siku
 
Bro hapa unaongea kwa sababu kichwa ama akili yako iliwahi kubikiriwa na huo uislamu , tayAri uko addicted, akili huwa ina tabia kukuonyesha kile unachokiamini. Yaani ungejua akili zetu zinavyofanya kazi Wala usingeongea hayo uongeayo.
Why mpaka unajibadilisha jina let say from Masanja unaitwa Abdullah ama Daniel. So majina yetu nayo hayafai mbele ya Mwenyeezi Mungu. Hapa utajibu ku defend why mpaka unabadilisha jina,nguo,chakula yaani tamaduni zote ukicheki tunafanana na wazungu ama waarabu. Yaani hapa tumeshanajisiwa na dini zao Wala huwezi ongea
Wasukuma na wamakonde wanabadili majina wapendavyo,kubadili jina ni utashi wa mtu
 
Hizo ni Nadharia tu.

Mwaka 2030 utakuwa na ramadhani mbili

Kila Ramadhani huchukua siku 10 hadi 11, kwani miezi ya Hijri ni siku chache kuliko kalenda ya kawaida, ambayo ina maana kwamba kila mwaka Ramadhani inakaribia Januari.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa Nyota Khalid al-Zaqaq, tofauti ya siku za hesabu hizo mbili ina maana kwamba kila baada ya miaka thelathini tunafunga mara mbili kwa mwaka. Mara ya mwisho hii ilifanyika mnamo 1997.

Unapotazama kalenda ya Saudi Arabia 2030 unaona kwamba Ramadhani ya kwanza itaanza Januari 6, huku Eid ikiangukia tarehe 5 Februari. Ramadhani ya pili inaangukia tarehe 26 Disemba mwaka huo huo.

Cc: BBC swahili
 
Back
Top Bottom