Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Hoja za Alberto Rivera kuhusu Uhusiano Kati ya Ukatoliki na Uislamu zina fikirisha sana.

Alberto Rivera ambae alikuwa jasusi wa Vatican anasema Dini ya kiislamu ilianzishwa na Holy Sea ( Vatican).

Anasema Bi Khadija mke wa kwanza wa Prophet Muhammad ( Peace be upon him) alikuwa ni mtawa wa kikatoliki na shushushu wa Vatican ambae alipewa task na Vatican ya kusaidia kupatikana kwa kijana makini, smart, mwenye maadili mema wa kiarabu ili wamtumie kueneza Uislamu ambapo Bi Khadija alizipata sifa hizo kwa prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


Alberto Rivera aliprove hoja yake kwa kutumia mifano mingi sana kama vile ufanano wa baadhi ya mambo kwenye ukatoliki na Uislamu kama vile : Architectures, idol worshiping etc.

( Hapo kwenye idol worshiping: Wakatoliki wanasujudia sanamu la Bikira Maria na kutumia vitu kama rosary waislamu wanabusu jiwe la kwenye Kaaba na kutumia vitu kama Tasbihi.

....

Kwanini Ramadhani na Kwaresma zinagongana miaka yote?.

Isije kuwa tunafuata kalenda ya miungu ya Rumi bila kujua kama tunafanya hivyo?



Haya bana


# Fateema is the name of the most favourite daughter of Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


In Catholic Fateema is a holy name attributed to a holy place in Portugal which is known as Fateema. ( Fatima) The place was named after Fateema, the favourite daughter of Prophet Muhammad Peace Be Upon Him.

Bikira Maria mama wa Yesu aliwatokea Lucia, Francis na Yasinta ( watoto wa Fatima Katika eneo liitwalo Fatima huko Portugal)

# Our Lady of Fatima Catholic Choir.


# In the Catholic Church, Maryam the mother of Jesus is venerated. In the Holy Quoran there is a complete chapter attributed to Maryam the mother of Jesus ( Suratul Maryam) . Mama wa Prophet Muhammad aliitwa Amina lakini hajapewa sura kwenye Qur'aan ila mama wa Yesu kapewa.


# Waislamu wanavaa Kanzu wakatoliki wanavaa Kanzu ( mapadri)


# wanawake wa kiislamu wanavaa baibui wanawake wa katoliki wanavaa baibui (masista)


# Mbona kama tunachezewa akili?
Siyo kweli kuwa zinagongana kila mwaka fuatilia vizuri kuna miaka zinapishana mbali sana

1741858744536.png
 
Sio hatutaki , kikubwa na kheri iliyopo katika Uislamu kwamba tumehimizwa kusoma na sio kupokea vitu Kikondoo ndio maana Alhamdulillah dini imehifadhiwa na tuna Imani thabiti juu ya dini yetu .

Yote sio kwa sababu tumezaliwa nayo , hapana bali tumetenga muda wetu kusoma mafundisho sahihi ya dini yetu kwa ufahamu sahihi na Muislamu yeyote atakayefuata njia ya Elimu hata babaishwa na propaganda zozote , wasiwasi na hizo so called contradictions.

Wanaopotea na kuyumbishwa ni wale waliokubali kuwa Waislamu tu Kisha wakaridhia bila kujishughulisha katika suala ya kutafuta elimu sahihi ya dini yao .
Wakristo Ndo inatakiwa wausome ukristo na kila atakaejaribu kufanya hivyo hawezi kubaki mkristo.
 
Kufuata Mambo ya Dini ni Utoto. Wacha utoto mkuu.

Nilikuwa muislamu kuliko wewe.
Ulikuwa Muislamu bogas , mimi mwenyewe nilikuwa Muislamu bogas lakini Alhamdulillah nimefanikiwa kupunguza kiwango changu Cha ujinga At least nimejua vitu basic sana katika dini na misingi ambayo nikishikilia ni ngumu kupote In Shaa Allaah.

Kabla ya kuwa hivi nilishawahi kujiuliza maswali kibao kuhusu Mungu na uwepo wake , Kuna kipindi nipo darasa la sita nilikaa nikafikira hili swala deeply peke yangu mpaka nikahisi kuchanganyikiwa , nikijiuliza mambo kibao kama uwepo wa shida Duniani , maujai , dhiki nk na kuhusu Shetani nikawa siku zinavyoenda narudia rudia ...

Nikaja swala la dini nikaanza kujiuliza Nina uhakika gani kama nipo upande sahihi ? Je , vipi ikiwa Wakristo ninaowaona wamepoteza wapo katika haki ? Je, ningezaliwa katika familia isiyo ya Kiislamu ningekuwa Muislamu?

Nijajiunga Jf nikakuta controversial idea and thoughts nyingi kuhusu Mungu na dini hapo ndipo ikabidi nitenge muda wangu kuchunguza hili swala deeply kielimu na kiakili ndipo nikajiridhisha Uislamu ni dini ya haki kabisa pasipo na shaka yeyote.

Sikumaliza hapo ndani ya Uislamu nikakuta bado kuna makundi na itikadi nyingi sana na kila upande unadai wao wako sahihi zaidi nalo linichanganya sana , napo nikatenga muda wangu kusoma na kufuatilia karibia kote kwa haki mpaka nilipobainikiwa njia sahihi ni ipi katika Uislamu.

Mimi katika maisha yangu sijachangua niwe bogas lazima kila kitu kinachonihusu hata kidogo nakifuatilia deeply kujua uhalali na usahihi kielimu , sasa wewe huenda ulikuwa Muislamu ila Muislamu oya oya wa kupelekeshwa na kufuata mikumbo.
 
that is how islam is created by them, halafu kijana mbongo wa madongokuinama mchambawima, temeke mikoroshini choo paspoti saizi ugali dona bamia anashupaza shingo hawataki kuambiwa ukweli kuwa wanapumbazwa akili
Wakaweka na Aya Za kuwakata vichwa vyao sio?Kama Ni hivyo ndio maana Wakristo wote duniani hawatumii Akili.
 
Bro hapa unaongea kwa sababu kichwa ama akili yako iliwahi kubikiriwa na huo uislamu , tayAri uko addicted, akili huwa ina tabia kukuonyesha kile unachokiamini. Yaani ungejua akili zetu zinavyofanya kazi Wala usingeongea hayo uongeayo.
Why mpaka unajibadilisha jina let say from Masanja unaitwa Abdullah ama Daniel. So majina yetu nayo hayafai mbele ya Mwenyeezi Mungu. Hapa utajibu ku defend why mpaka unabadilisha jina,nguo,chakula yaani tamaduni zote ukicheki tunafanana na wazungu ama waarabu. Yaani hapa tumeshanajisiwa na dini zao Wala huwezi ongea
Nasisitiza Uislamu unahitajia Elimu Waislamu wengi hatuna Elimu kuhusu mafundisho sahihi ya dini yetu ndio maana watu wanakuwa na itikadi na mambo mengi ambayo hayapo na kuyafanya kuwa uislamu au ambayo sio lazima kuyafanya ya lazima.

Suala la kukosa elimu limeacha athari mabaya sana , hata Mimi enzi za Ubogas nilikuwa naona Osama bin Laden anapambania uislamu ni shujaa , Al Shabab wanatetea dini kiasi ambacho hata ingetokea mtu kunipa connection huenda ningekuwa Somalia huku nikujua napigania dini , yote hayo ni kukosa mafundisho sahihi ya dini.

Tukirudi katika hoja yako hakuna Sheria ya Kiislamu inayoshurutisha mtu kuwa na jina la Kiarabu au kubadili jina lake bali tumeamrishwa tuwape watoto wetu majina yaliokuwa mazuri , na hata mavazi na chakula pia tumeambiwa tuchagua halali na vizuri. Hayo mengine ni watu binafsi wanavyopendela ila hawakushurutishwa katika dini na wanaoshurutisha tunarudi kwenye "Core problem" ambayo ni kukosa elimu ya mafundisho sahihi ya dini kwa ufahamu ulio sahihi.
 
Wakristo Ndo inatakiwa wausome ukristo na kila atakaejaribu kufanya hivyo hawezi kubaki mkristo.
Sio kusoma tu , hata anayejaribu kufikiri sawasawa haiwezi kubaki kuwa Mgalatia ndio maana wengi wao wanaongoza kuwa atheists hata humu jukwaani ukipiga hesabu Atheists wengi asili yao ni Ugalatia sababu haiendani na fitra ya mwanadamu pamoja na kadhia nyinginezo.
 
Ulikuwa Muislamu bogas , mimi mwenyewe nilikuwa Muislamu bogas lakini Alhamdulillah nimefanikiwa kupunguza kiwango changu Cha ujinga At least nimejua vitu basic sana katika dini na misingi ambayo nikishikilia ni ngumu kupote In Shaa Allaah.

Kabla ya kuwa hivi nilishawahi kujiuliza maswali kibao kuhusu Mungu na uwepo wake , Kuna kipindi nipo darasa la sita nilikaa nikafikira hili swala deeply peke yangu mpaka nikahisi kuchanganyikiwa , nikijiuliza mambo kibao kama uwepo wa shida Duniani , maujai , dhiki nk na kuhusu Shetani nikawa siku zinavyoenda narudia rudia ...

Nikaja swala la dini nikaanza kujiuliza Nina uhakika gani kama nipo upande sahihi ? Je , vipi ikiwa Wakristo ninaowaona wamepoteza wapo katika haki ? Je, ningezaliwa katika familia isiyo ya Kiislamu ningekuwa Muislamu?

Nijajiunga Jf nikakuta controversial idea and thoughts nyingi kuhusu Mungu na dini hapo ndipo ikabidi nitenge muda wangu kuchunguza hili swala deeply kielimu na kiakili ndipo nikajiridhisha Uislamu ni dini ya haki kabisa pasipo na shaka yeyote.

Sikumaliza hapo ndani ya Uislamu nikakuta bado kuna makundi na itikadi nyingi sana na kila upande unadai wao wako sahihi zaidi nalo linichanganya sana , napo nikatenga muda wangu kusoma na kufuatilia karibia kote kwa haki mpaka nilipobainikiwa njia sahihi ni ipi katika Uislamu.

Mimi katika maisha yangu sijachangua niwe bogas lazima kila kitu kinachonihusu hata kidogo nakifuatilia deeply kujua uhalali na usahihi kielimu , sasa wewe huenda ulikuwa Muislamu ila Muislamu oya oya wa kupelekeshwa na kufuata mikumbo.

Swali una amini kuna Jehanamu?
 
Vijana wa kiislam wa kibongo huwa hawataki kabisa kupanua ufahamu zaidi kuhusu dini yao waliyoikuta inaabudiwa na wazazi wao, hawataki kuwaza nje ya box, wanadhani mambo ndivyo yalivyo kwa jinsi walivyohubiriwa. Hawataki kufanya akili zao kuwa huru kuwaza na kutafuta ukweli wa mambo ya dini ndio maana husombwa na itikadi kali na chuki za kidini pasipo kuujua ukweli na ajenda zilizojificha ndani ya dini yao. Let them set free
Wewe taja ukristo wako 😅
 
Nasisitiza Uislamu unahitajia Elimu Waislamu wengi hatuna Elimu kuhusu mafundisho sahihi ya dini yetu ndio maana watu wanakuwa na itikadi na mambo mengi ambayo hayapo na kuyafanya kuwa uislamu au ambayo sio lazima kuyafanya ya lazima.

Suala la kukosa elimu limeacha athari mabaya sana , hata Mimi enzi za Ubogas nilikuwa naona Osama bin Laden anapambania uislamu ni shujaa , Al Shabab wanatetea dini kiasi ambacho hata ingetokea mtu kunipa connection huenda ningekuwa Somalia huku nikujua napigania dini , yote hayo ni kukosa mafundisho sahihi ya dini.

Tukirudi katika hoja yako hakuna Sheria ya Kiislamu inayoshurutisha mtu kuwa na jina la Kiarabu au kubadili jina lake bali tumeamrishwa tuwape watoto wetu majina yaliokuwa mazuri , na hata mavazi na chakula pia tumeambiwa tuchagua halali na vizuri. Hayo mengine ni watu binafsi wanavyopendela ila hawakushurutishwa katika dini na wanaoshurutisha tunarudi kwenye "Core problem" ambayo ni kukosa elimu ya mafundisho sahihi ya dini kwa ufahamu ulio sahihi.
Nakuunga mkono
 
Acha kuandika pumba.
Sababu kuu ya kugongana ni kuwa Kwarezma ipo mwezi uleule kila mwaka na kwa Ramadhani hali ni tofauti sababu ni hii

Katika uislam hakuna mwezi wenye siku 31 wala 28, mwezi katika uislam ni siku 29 na 30 tu mwisho, hivyo mwaka wa kiislam haufiki siku 365.

Kwahiyo mwaka wa kiislam ukiulinganisha na huu mwaka mwingine kila mwaka kuna siku zinapungua na baadae inasababisha miezi ya kiislam kurudi chini , mfano ramadhani ikiwa tarehe 1/3/2025 mwakani ujue itakua ni kwenye tarehe 25/2/26 au tofauti kidogo , hivyo miaka inavyodizidi kwenda kuna siku itakua Ramadhani inaangukia mwezi wa kwanza na Baadae itaangukia mwezi wa 12 na kuanza kushuka tena.
 
Mbona kama wewe ndio upo high mwenzako katoa hoja zake umeshindwa kujibu hoja unatoa maneno ya kejeli

Wewe mwenye akili nyingi tusaidie kujua inakuwaje Kwaresma na Ramadhani ziangukie mwezi mmoja?
Hamna hoja , watu wote mpaka kutoka kujiunga na dini kukua leo useme huyo jamaa wa kusini anajua siri zote .....Hizo stori zipo hata ukitaka kujua aliyeanzisha Ukristo utapata .

Soma uislamu pure ,hayo mengine hayapo labda kma ulimuona Mtume(PBUH) akiwa na tasbihi au kupiga maulid.

.Hakuna kitu kibaya kama kuwa na mtazamo, atheists na hao wakina LIKUD ni kundi jingine linalopingana na wengine ni sawa na dini nyingine 😅😅ni vile wajinga hawajielewi.

Kila siku wanalazimisha watu wa dini wakubali hoja zao ,wakati wamezitoa sehemu ambazo zilikuwepo kabla hawajazaliwa...

Hakuna mwenye hoja kama yumo niko tayari kujibu zote!​
 
Hoja za Alberto Rivera kuhusu Uhusiano Kati ya Ukatoliki na Uislamu zina fikirisha sana.

Alberto Rivera ambae alikuwa jasusi wa Vatican anasema Dini ya kiislamu ilianzishwa na Holy Sea ( Vatican).

Anasema Bi Khadija mke wa kwanza wa Prophet Muhammad ( Peace be upon him) alikuwa ni mtawa wa kikatoliki na shushushu wa Vatican ambae alipewa task na Vatican ya kusaidia kupatikana kwa kijana makini, smart, mwenye maadili mema wa kiarabu ili wamtumie kueneza Uislamu ambapo Bi Khadija alizipata sifa hizo kwa prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


Alberto Rivera aliprove hoja yake kwa kutumia mifano mingi sana kama vile ufanano wa baadhi ya mambo kwenye ukatoliki na Uislamu kama vile : Architectures, idol worshiping etc.

( Hapo kwenye idol worshiping: Wakatoliki wanasujudia sanamu la Bikira Maria na kutumia vitu kama rosary waislamu wanabusu jiwe la kwenye Kaaba na kutumia vitu kama Tasbihi.

....

Kwanini Ramadhani na Kwaresma zinagongana miaka yote?.

Isije kuwa tunafuata kalenda ya miungu ya Rumi bila kujua kama tunafanya hivyo?



Haya bana


# Fateema is the name of the most favourite daughter of Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


In Catholic Fateema is a holy name attributed to a holy place in Portugal which is known as Fateema. ( Fatima) The place was named after Fateema, the favourite daughter of Prophet Muhammad Peace Be Upon Him.

Bikira Maria mama wa Yesu aliwatokea Lucia, Francis na Yasinta ( watoto wa Fatima Katika eneo liitwalo Fatima huko Portugal)

# Our Lady of Fatima Catholic Choir.


# In the Catholic Church, Maryam the mother of Jesus is venerated. In the Holy Quoran there is a complete chapter attributed to Maryam the mother of Jesus ( Suratul Maryam) . Mama wa Prophet Muhammad aliitwa Amina lakini hajapewa sura kwenye Qur'aan ila mama wa Yesu kapewa.


# Waislamu wanavaa Kanzu wakatoliki wanavaa Kanzu ( mapadri)


# wanawake wa kiislamu wanavaa baibui wanawake wa katoliki wanavaa baibui (masista)


# Mbona kama tunachezewa akili?
Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson
 
Acha kuandika pumba.
Sababu kuu ya kugongana ni kuwa Kwarezma ipo mwezi uleule kila mwaka na kwa Ramadhani hali ni tofauti sababu ni hii

Katika uislam hakuna mwezi wenye siku 31 wala 28, mwezi katika uislam ni siku 29 na 30 tu mwisho, hivyo mwaka wa kiislam haufiki siku 365.

Kwahiyo mwaka wa kiislam ukiulinganisha na huu mwaka mwingine kila mwaka kuna siku zinapungua na baadae inasababisha miezi ya kiislam kurudi chini , mfano ramadhani ikiwa tarehe 1/3/2025 mwakani ujue itakua ni kwenye tarehe 25/2/26 au tofauti kidogo , hivyo miaka inavyodizidi kwenda kuna siku itakua Ramadhani inaangukia mwezi wa kwanza na Baadae itaangukia mwezi wa 12 na kuanza kushuka tena.

Kwahiyo hilo suala la kuwa itagongana wala halihitaji mtabiri hata mtoto wa kiislam mwenye miaka 7 anajua kuwa iko siku itagongana na baadae itaachana na miaka ya mbele itakuja kukutana tena
Ninaujua Uislamu kuliko wewe. Nimetoka tu sio kwenye familia na ukoo wa kiislamu bali hadi kabila langu ni wote waislamu.

Anyways kwanini unafunga Ramadhani?
 
Nasisitiza Uislamu unahitajia Elimu Waislamu wengi hatuna Elimu kuhusu mafundisho sahihi ya dini yetu ndio maana watu wanakuwa na itikadi na mambo mengi ambayo hayapo na kuyafanya kuwa uislamu au ambayo sio lazima kuyafanya ya lazima.

Suala la kukosa elimu limeacha athari mabaya sana , hata Mimi enzi za Ubogas nilikuwa naona Osama bin Laden anapambania uislamu ni shujaa , Al Shabab wanatetea dini kiasi ambacho hata ingetokea mtu kunipa connection huenda ningekuwa Somalia huku nikujua napigania dini , yote hayo ni kukosa mafundisho sahihi ya dini.

Tukirudi katika hoja yako hakuna Sheria ya Kiislamu inayoshurutisha mtu kuwa na jina la Kiarabu au kubadili jina lake bali tumeamrishwa tuwape watoto wetu majina yaliokuwa mazuri , na hata mavazi na chakula pia tumeambiwa tuchagua halali na vizuri. Hayo mengine ni watu binafsi wanavyopendela ila hawakushurutishwa katika dini na wanaoshurutisha tunarudi kwenye "Core problem" ambayo ni kukosa elimu ya mafundisho sahihi ya dini kwa ufahamu ulio sahihi.
Nilijua lazima utapindisha kuelekea huko huko. Ila afrika imeshakuwa ya ngozi nguruwe tamaduni.
Dini hizi bana tukirudi huko nyuma 1300 mwaka huo waafrika tulikuwa na tamaduni zetu na tukiishi fresh sema Hawa wasnge wakatuletea tamaduni zao. Imagine Kila watu na taifa lao Wana tamaduni zao kasoro afrika.
Check Japan, India china, ulaya ,waarabu so waafrika tu ndio tumekula Malaya wa kufuata mifumo ya wanaume wengine.
Sie Kama tumeolewa tumekubali kubadili Maisha yetu na kuwafuata bwana zetu.
Hao watu wote nilikuambia Wana chakula mavazi lugha na elimu yao sie tu basi tumeolewa. Afrika inabidi ijikomboe kifikra.yaani hakuna ugonjwa mbaya Kama kukamatwa akili yako yaani ni zaidi ya kirusi .
Jiulizie hao jamaa wanakuibia na huku wanakuambia wizi ni mbaya
 
Hamna hoja , watu wote mpaka kutoka kujiunga na dini kukua leo useme huyo jamaa wa kusini anajua siri zote .....Hizo stori zipo hata ukitaka kujua aliyeanzisha Ukristo utapata .

Soma uislamu pure ,hayo mengine hayapo labda kma ulimuona Mtume(PBUH) akiwa na tasbihi au kupiga maulid.

.Hakuna kitu kibaya kama kuwa na mtazamo, atheists na hao wakina LIKUD ni kundi jingine linalopingana na wengine ni sawa na dini nyingine 😅😅ni vile wajinga hawajielewi.

Kila siku wanalazimisha watu wa dini wakubali hoja zao ,wakati wamezitoa sehemu ambazo zilikuwepo kabla hawajazaliwa...

Hakuna mwenye hoja kama yumo niko tayari kujibu zote!​
Hujasomeka
 
Nilijua lazima utapindisha kuelekea huko huko. Ila afrika imeshakuwa ya ngozi nguruwe tamaduni.
Dini hizi bana tukirudi huko nyuma 1300 mwaka huo waafrika tulikuwa na tamaduni zetu na tukiishi fresh sema Hawa wasnge wakatuletea tamaduni zao. Imagine Kila watu na taifa lao Wana tamaduni zao kasoro afrika.
Check Japan, India china, ulaya ,waarabu so waafrika tu ndio tumekula Malaya wa kufuata mifumo ya wanaume wengine.
Sie Kama tumeolewa tumekubali kubadili Maisha yetu na kuwafuata bwana zetu.
Hao watu wote nilikuambia Wana chakula mavazi lugha na elimu yao sie tu basi tumeolewa. Afrika inabidi ijikomboe kifikra.yaani hakuna ugonjwa mbaya Kama kukamatwa akili yako yaani ni zaidi ya kirusi .
Jiulizie hao jamaa wanakuibia na huku wanakuambia wizi ni mbaya
Fact
 
Back
Top Bottom