Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

Katika nyumba, floor haiwezi kuwa na level moja nyumba nzima. Kuna sehemu zingine itabidi kuwe na step za kupanda na kuna sehemu zingine inabidi kuwe na step za kushuka.

Mfano ukiwa unaingia chooni/bafuni, pale mlangoni panatakiwa pawe na step ya kushuka ili maji ya kule yasiweze kutoka nje ya choo kupitia mlangoni.

Mfano mwingine ni pale unapoingia kwenye chumba cha kulala, hapa inabidi pawe na step ya kupanda ili kuzuia maji ya kuridoni yasiweze kuingia vyumbani.

Sasa swali ni je, hizi step zinatakiwa zitengenezwe katika hatua ipi wakati wa kuweka rough floor au wakati wa kubandika tiles?

Kitaalam hizi step zinatakiwa zitengenezwe katika hatua ya rough floor na sio hatua ya tiles, kwa sababu kwanza ratio ya kujengea tiles ni kali (1:3) hivyo utaingia gharama kubwa kutengeneza hizo step kwa kutumia udongo wa tiles badala ya kutumia zege la Rough floor.

Lakini pia ukitumia udongo wa tiles kutengenezea hizo step, uwezekano wa tiles kuja kulia kama ngoma ni mkubwa kutokana na aina ya ubandikaji wa tiles atakaoutumia fundi (hizi aina za ubandikaji wa tiles kesho Mungu akipenda nitazielezea)


Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
 
Wakati mwingine sio lazima sana kuchukua vifaa vyote vya ujenzi vikiwa ktk hali yake ya uzima mfano unapoenda kununua tiles, unanunua box za tiles ambazo ni nzima na ukifika site tiles zingine unazikata ili upate vipande vya kujazia na wakati huo huo pale hardware uliponunulia hizo tiles kuna box za tiles ambazo baadhi ya vipande vimekatika na muuzaji anauza kwa bei ya hasara hivyo kama ungechanganya box nzima na zile zilizokatika ungeokoa kiasi flani cha pesa

Hii pia unaweza ukaapply kwenye gympsum board ktk uwekaji wa dari, tofali n.k kwa lengo la lengo kupunguza gharama

Kabla ya kufanya uamuzi inabidi ufanye mahesabu ili upate makisio kwamba nyumba yako itahitaji vitu vizima vingapi, ili uweze kujua sehemu iliyobaki itahitaji kiasi gani cha material ambazo sio nzima (hapa simaanishi ubovu, namaanisha utimilifu)
We Jamaa Umefikiri mbali sn kiukweli umetoa bonge Moja la wazo. Asante sna Kaka
 
Katika nyumba, floor haiwezi kuwa na level moja nyumba nzima. Kuna sehemu zingine itabidi kuwe na step za kupanda na kuna sehemu zingine inabidi kuwe na step za kushuka.

Mfano ukiwa unaingia chooni/bafuni, pale mlangoni panatakiwa pawe na step ya kushuka ili maji ya kule yasiweze kutoka nje ya choo kupitia mlangoni.

Mfano mwingine ni pale unapoingia kwenye chumba cha kulala, hapa inabidi pawe na step ya kupanda ili kuzuia maji ya kuridoni yasiweze kuingia vyumbani.

Sasa swali ni je, hizi step zinatakiwa zitengenezwe katika hatua ipi wakati wa kuweka rough floor au wakati wa kubandika tiles?

Kitaalam hizi step zinatakiwa zitengenezwe katika hatua ya rough floor na sio hatua ya tiles, kwa sababu kwanza ratio ya kujengea tiles ni kali (1:3) hivyo utaingia gharama kubwa kutengeneza hizo step kwa kutumia udongo wa tiles badala ya kutumia zege la Rough floor.

Lakini pia ukitumia udongo wa tiles kutengenezea hizo step, uwezekano wa tiles kuja kulia kama ngoma ni mkubwa kutokana na aina ya ubandikaji wa tiles atakaoutumia fundi (hizi aina za ubandikaji wa tiles kesho Mungu akipenda nitazielezea)


Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Katika hili zoezi la kuweka step, wapo wanaoweka step za nchi 2, wengine wanaweka nchi 1 na kadhalika , yote ni sawa lakini step nzuri na ambayo itapendeza zaidi ni ile ambayo kina chake kitalingana na upana wa skirting/scatting tiles utakazotumia.

Hii itafanya scatting tiles zako ziweze kuzunguka nyumba nzima bila kupunguzwa upana wake.

Katika zoezi la kumwaga jamvi, utakuwa unacheza na level ya kifusi na sio zege/mawe (unene wa zege la jamvi unabaki kuwa ule ule)
 
Katika nyumba, floor haiwezi kuwa na level moja nyumba nzima. Kuna sehemu zingine itabidi kuwe na step za kupanda na kuna sehemu zingine inabidi kuwe na step za kushuka.

Mfano ukiwa unaingia chooni/bafuni, pale mlangoni panatakiwa pawe na step ya kushuka ili maji ya kule yasiweze kutoka nje ya choo kupitia mlangoni.

Mfano mwingine ni pale unapoingia kwenye chumba cha kulala, hapa inabidi pawe na step ya kupanda ili kuzuia maji ya kuridoni yasiweze kuingia vyumbani.

Sasa swali ni je, hizi step zinatakiwa zitengenezwe katika hatua ipi wakati wa kuweka rough floor au wakati wa kubandika tiles?

Kitaalam hizi step zinatakiwa zitengenezwe katika hatua ya rough floor na sio hatua ya tiles, kwa sababu kwanza ratio ya kujengea tiles ni kali (1:3) hivyo utaingia gharama kubwa kutengeneza hizo step kwa kutumia udongo wa tiles badala ya kutumia zege la Rough floor.

Lakini pia ukitumia udongo wa tiles kutengenezea hizo step, uwezekano wa tiles kuja kulia kama ngoma ni mkubwa kutokana na aina ya ubandikaji wa tiles atakaoutumia fundi (hizi aina za ubandikaji wa tiles kesho Mungu akipenda nitazielezea)


Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
mkuu vile vinyufa vembambaaa sana kweny madirisha kushuka chini hua vinasababishwa na nn hua n vidog sana mpaka uangalie sana ndo vinaonekana
 
Rekebisha hizo vent za huko kwenye paa, hazina kazi yoyote zaidi ya kuozesha ceiling board
Kuna kitu kinaitwa "Passive Rsgulated House Design" those structures zaweza tumika kwa minajili hiyo ili kupata air circulation ya kutosha ndani ya nyumba na pia urembo.
 
mkuu vile vinyufa vembambaaa sana kweny madirisha kushuka chini hua vinasababishwa na nn hua n vidog sana mpaka uangalie sana ndo vinaonekana
Hiyo kutokea ni kawaida japo ikizidi milimita 3 inakuwa ni tatizo zaidi, huwa inatokea pale jengo linaposhuka chini.
Kiasi cha mzigo katika nyumba huwa kinatofautiana sehemu na sehemu, hakiwezi kuwa sawa katika nyumba yote kwa hivyo wakati jengo linatitia, kuna sehemu zitatitia chini zaidi kutokana na ukubwa wa mzigo wa sehemu hiyo na kuna sehemu zingine zitatitia kiasi kidogo (hapo ndipo nyufa zinapotokea kwa sababu ya kuachana kwa kuta, unequal settlement)

Unachotakiwa kufanya ni kuimarisha zaidi msingi ili kupunguza ukubwa wa hilo tatizo. Unaweza ukafunga mkanda wa kati au ukatumia wire mesh sehemu za madirisha wakati wa kupiga plaster
 
Hiyo kutokea ni kawaida japo ikizidi milimita 3 inakuwa ni tatizo zaidi, huwa inatokea pale jengo linaposhuka chini.
Kiasi cha mzigo katika nyumba huwa kinatofautiana sehemu na sehemu, hakiwezi kuwa sawa katika nyumba yote kwa hivyo wakati jengo linatitia, kuna sehemu zitatitia chini zaidi kutokana na ukubwa wa mzigo wa sehemu hiyo na kuna sehemu zingine zitatitia kiasi kidogo (hapo ndipo nyufa zinapotokea kwa sababu ya kuachana kwa kuta, unequal settlement)

Unachotakiwa kufanya ni kuimarisha zaidi msingi ili kupunguza ukubwa wa hilo tatizo. Unaweza ukafunga mkanda wa kati au ukatumia wire mesh sehemu za madirisha wakati wa kupiga plaster
Habari kiongozi nilikuwa nauliza makadilio ya msingi wa nyumba ya vyumba sita kati kati korido msingi tu unaweza ukanigarimu matofali mangap
 
Habari kiongozi nilikuwa nauliza makadilio ya msingi wa nyumba ya vyumba sita kati kati korido msingi tu unaweza ukanigarimu matofali mangap
Inategemea na ukubwa wa vyumba pamoja na kina cha msingi, kama ni vyumba vya ukubwa wa futi 10 kwa 10, kila kozi moja itachukua tofali 130. Hapo sasa utaangalia msingi wako utakuwa na kozi ngapi, ambapo utazidisha na hiyo 130 kupata jumla ya tofali za msingi

Mfano kama utajenga kozi 6, utatumia tofali 780 sawa na 130pcs/course x 6 courses
 
Inategemea na ukubwa wa vyumba pamoja na kina cha msingi, kama ni vyumba vya ukubwa wa futi 10 kwa 10, kila kozi moja itachukua tofali 130. Hapo sasa utaangalia msingi wako utakuwa na kozi ngapi, ambapo utazidisha na hiyo 130 kupata jumla ya tofali za msingi

Mfano kama utajenga kozi 6, utatumia tofali 780 sawa na 130pcs/course x 6 courses
Ok sawa yan tofali 130 kwa mzunguko wa nyumba mzima kwa iyo course moja au tofali 130 kwa mzunguko wa chumba kimoja kwa course moja naomba ufafanuzi kwa hapo na cement naweza tumia mifuko mingap kwa msingi wa vyumba ivyo sita
 
Ok sawa yan tofali 130 kwa mzunguko wa nyumba mzima kwa iyo course moja au tofali 130 kwa mzunguko wa chumba kimoja kwa course moja naomba ufafanuzi kwa hapo na cement naweza tumia mifuko mingap kwa msingi wa vyumba ivyo sita
Tofali 130 kwa nyumba nzima kwa kila mzunguko mmoja
 
Mkuu Hechy Essy naendelea kutoa shukrani kwako kwa elimu unayoendelea kutoa hapa.
Naomba kuuliza kwa uzoefu wako jiko la ukubwa wa 3m × 2.5m au fut 9×8 linatosha? Yaani linaleta maana kwenye nyumba au linakuwa kituko? Hii ni kwa sababu size ya plot ni ndogo.
Pia je vyumba vya ukubwa wa fut 9.5×9.5 ni sawa? Au navyo ni kituko? Naomba jibu kwa uzoefu wako mkuu, huwa unakutana na nyumba zenye ukubwa wa vipimo hivyo?
Natanguliza shukrani.
 
Amin amin, nashukuru ndg kwa maombi yako mazuri. Wiki hizi mbili za mwezi wa kwanza, offer itaendelea mpaka tarehe 15 January maana wengi walikuwa walikuwa na sikukuu, pengine imeshindikana kwao kujigawa kiuchumi. Karibuni sana

Offer ikoje boss?
 
Mkuu Hechy Essy naendelea kutoa shukrani kwako kwa elimu unayoendelea kutoa hapa.
Naomba kuuliza kwa uzoefu wako jiko la ukubwa wa 3m × 2.5m au fut 9×8 linatosha? Yaani linaleta maana kwenye nyumba au linakuwa kituko? Hii ni kwa sababu size ya plot ni ndogo.
Pia je vyumba vya ukubwa wa fut 9.5×9.5 ni sawa? Au navyo ni kituko? Naomba jibu kwa uzoefu wako mkuu, huwa unakutana na nyumba zenye ukubwa wa vipimo hivyo?
Natanguliza shukrani.
Kama store haipo, na kuna uwezekano wa kuongeza ukubwa wa jiko, ukiongeza ikafika angalau futi 10 kwa 10 ambayo ni sawa na mita 3 kwa 3 itakuwa vyema zaidi

Upande wa vyumba, kama itawezekana weka futi 11 kwa 11, ikishindikana kabisa weka futi 10 kwa 10. Ukiweka size ya futi 11 kwa 11, utaweza kuweka hata vitanda viwili vya futi 4 kwa 6 na kati kati ya vitanda pakabaki nafasi ya futi 3 kama njia, nafasi itakayobaki upande wa pili utaweza kuweka meza ndogo ya kusomea au hata kabati la nguo
 
Back
Top Bottom