Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

Kweli mwanawane inabidi kuwa specific.
 
Kwenye kiwanja changu kulikuwa na kichuguu cha siafu nimefanikiwa kumaliza kujenga msingi

Naombeni msaada wenu nifanye nini ili wasije kunisumbua baadaye
 
Nikuibie tu siri mpenzi msomaji, kuna punguzo kubwa la bei za ramani msimu huu wa sikukuu na mwaka mpya, wahi sasa kabla muda wa offer haujaisha ujipatie ramani kwa bei ya punguzo
Mzeya ukishachora ramani na building permit wamtafutia mteja?
 
Ata hizi nyumba zetu za kawaida kwenye kona tuweke nguzo ya zege?
 
Hasa mbongo akiwepo around 🤣🤣🤣
 
Ndio, uwezekano upo inategemea na namna ya ujenzi lakini na bei pamoja na aina za material yaliyotumika maana boma pekee material cost inarange kwenye 7milion to 8M..mfano wengine mkanda wa chini hawaweki kwa hivyo kuna saving anakuwa amefanya
Huu mkanda wa chini ni lazima ukizi gatia say mie nafyatua tofali 25 kwa mfumo mmoja wa cement?
 
Duh mbona hela nyingi hivyo jamani tutaje ga kweli...mbona mnatukatisha tamaa mwisho tukazime hela kwa mbususu
 
Kwamba kitanda kitakia kwichikwichi wakati mama yeyoo anampa baba tamuuu🤣🤣🤣🤣
 
Hili bangalow sii hatari...vyumba vinne then kuna library na public toilet 2...loh hapa gbarama sii inafika million 200
 
Kwani level haitafutwi tangu kozi ya kwanza ya maingi mzeya?
Alafu hii level, kweli mzungu hajaja nankifaa cha kidigital cha kupima **** matofali yapo level?
Maana kama mie mzabzab na akili zangu za kichwa zha panzi nimeweza waza hilo jambo basi mzungu atakuwa ameshalifanyia kazi kitambooo
 
Nasisitiza Tena, "hata kitanda kikiwa kibovu kunakuwa hakuna shida yoyote".

Sio mko kwenye shughuli zenu za "kubovusha" kitanda Watoto au family members wengine wanawasikia.
Watoto wanasimia mama yao anavyo shenyentwa 🤣🤣🤣🤣
 
Hapa sasa mukide👍
 
So this means kwa kiwanza flat msingi nadni ya siku moja kwishney?
 
Hapo kwenye cement na maji mean kwa mfano umetu.ia mfuko mmoja wa cement ambao ni 50kg kwenye zege, itabidi nitumie litre 25 za maji?
 
Eeh mbona huyu fundi ananiambia mlango complete frame na top niandae million 1 mbao mkongo.
 
Eeh mbona huyu fundi ananiambia mlango complete frame na top niandae million 1 mbao mkongo.
Itakuwa umeangukia kwa dalali au labda anakuchekecha kwanza ili ukilia ukilia udondokee pale pale kwenye bei anayotaka yeye. 1M ni too expensive hata kama ni mbao ya mninga.

Tafuta wauzaji wengine ili ufanye comparison ya bei zao
 
Paka amlinde simba tena 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…