Bro unahangaika sana kutafuta umaarufu, na kwa bahati mbaya nyuzi zako zinakosa attention kwa wasomaji. Unaanzisha nyuzi kila lisaa na bado watu hawakuzingatii, lengo lako hasa ni kutafuta umaarufu
Najua umekuja na humu baada ya kuona humu kuna views nyingi, sasa mimi sio mtu wa ligi...we kwa akili ya kawaida, kati ya plaster na hiyo mortar inayounga tofali ni kipi kinamfunika mwenzake?
Na kama ratio ya mortar ya kujengea tofali inatakiwa iwe kali kuzidi ratio ya plaster, hiyo plaster unapiga ya kazi gani? Yani ni sawa na kumuweka Paka ili amlinde Simba
View attachment 2950235