Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kabisa, dondoo ni nyingi kweli kweliUnajua huu uzi inafaa kusoma comments zote za Hechy Essy ukiwa na note book. Fundi akifanya kazi unaangalia na desa lako linasemaje
vip kuusu UPVC windowKuna baadhi ya profile za aluminium mifereji yake (njia za vioo) ipo mbali mbali, hii inaongeza upenyo (gap) kati ya kioo kimoja na kioo kingine hata kama vioo vyote vitakuwa vimefungwa.
Mijusi, Mbu na wadudu wengine huingia ndani kupitia huo uwazi. Kwa hivyo ukienda kununua madirisha au fundi akija site kupima madirisha inabidi uangalie sample zote za profile na uchague ambazo mifereji yake imekaribiana ili kupunguza huo uwazi wa kioo na kioo au kioo na wavu wa Mbu
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Structure na mechanism ya utengenezaji ni ile ile tu, tofauti ipo kwenye malighafi zilizotumika kutengenezea hizo profile. Na pia upande wa bei, madirisha UPVC ni gharama zaidi kuliko madirisha ya Aluminiumvip
vip kuusu UPVC window
Haki mimi nitashinda site na mafundi mguu wangu mguu wake 😂Nimepita mahali nimekuta mafundi wamelaza nondo moja moja tu kwenye mkanda (beam). Sasa wanaweza wakawa wana nia nzuri ya kubana matumizi lakini je boss anafahamu kwamba imetumika nondo moja moja?!!
Au boss ndio kapigiwa hesabu ya nondo nne nne then kwenye usukaji wa nondo kafungiwa nondo moja moja, kwa kuwa yeye hayupo, mimi sijui.
Kuna ule mfumo wa watu (maboss) kuwa wanalipia pesa hard ware then wanakuwa wanamuagiza fundi akachukue material dukani wakidhani kwamba wamewakomoa mafundi kuiba.
Kwenye suala la pesa, hata maadui wanaweza wakaungana kuipambania hiyo pesa ili wakipata wagawane, baada ya mgao uadui unaendelea kama kawaida.
Risiti sio ishu, unaweza ukaandikiwa risiti ya mifuko 20 ya cement kumbe umeuziwa mifuko 15, kinachofanyika na hawa wauzaji nikikielezea hapa itakuwa ni mbinu hata kwa wengine ambao hawana hiyo tabia wakajifunza. Kiufupi ni kwamba usiziamini risiti unazopewa ukajua kilichoandikwa pale ni kweli 100%
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Na ndio inavyotakiwa hawa mafundi wetu wanaangalia kumaliza kazi na sio kufanya kazi iwe ya kiwango cha juuHaki mimi nitashinda site na mafundi mguu wangu mguu wake 😂
tena mm fundi akintajia bei sipunguzi ata mia ila atafata maelekezo yangu mpaka achoke. siwezi vumilia upuuzi kwenye ujenzi wa nyumbaNa ndio inavyotakiwa hawa mafundi wetu wanaangalia kumaliza kazi na sio kufanya kazi iwe ya kiwango cha juu
Pole sana mwanawane. Unachosema ni kweli wee akisema bei yake usipinge ila sasa nikuwa nae benet mpaka mjengo wakamilika.tena mm fundi akintajia bei sipunguzi ata mia ila atafata maelekezo yangu mpaka achoke. siwezi vumilia upuuzi kwenye ujenzi wa nyumba
kilichonikuta nyumba ya kwanza sitakaa nirudie nyumba miaka 6 ni nyufa kila siku unaziba mpaka gharama za kuziba zishafikia gharama za room mbili fill finished
Ukishinda site kinachofata ni kukukomoa, mahali ambapo panahitajika mifuko mitatu ya cement, wenyewe watachanganya mifuko mitano. Lengo lao hasa ni kukutia hasara zaidi baada ya wewe kuamua kuwabana kupita kiasiHaki mimi nitashinda site na mafundi mguu wangu mguu wake [emoji23]
Mimi nina kinote book changu nimejaza comments zote za Hechy Essy ..hizi nondo zake najiona kabisa na mimi ni nusu Injinia, nikiwa tayar nitamtafuta aniandalie ramani na ushauri wa ziadaUnajua huu uzi inafaa kusoma comments zote za Hechy Essy ukiwa na note book. Fundi akifanya kazi unaangalia na desa lako linasemaje
Labda kama hujui ratios zinavyoendaUkishinda site kinachofata ni kukukomoa, mahali ambapo panahitajika mifuko mitatu ya cement, wenyewe watachanganya mifuko mitano. Lengo lao hasa ni kukutia hasara zaidi baada ya wewe kuamua kuwabana kupita kiasi