Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #681
Kama eneo lako lina mchanga, anza kwanza kuchimba na kujenga makaro ya choo ili upate mchanga wa kujengea
Kama utachimba shimo la futi 6 upana, futi 8 urefu na kina cha futi 12 utapata mchanga wenye ujazo wa cubic meter 15 sawa na gari kubwa moja la 15m³ ambao unatosha kujengea tofali za msingi
Na pia mchanga utakaokuwa umechimba kwenye msingi utaweza kupata zaidi ya cubic meter 30 kwa nyumba yenye line meter ya 100m+ sawa na trip mbili za gari kubwa (huu utajengea boma)
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Kama utachimba shimo la futi 6 upana, futi 8 urefu na kina cha futi 12 utapata mchanga wenye ujazo wa cubic meter 15 sawa na gari kubwa moja la 15m³ ambao unatosha kujengea tofali za msingi
Na pia mchanga utakaokuwa umechimba kwenye msingi utaweza kupata zaidi ya cubic meter 30 kwa nyumba yenye line meter ya 100m+ sawa na trip mbili za gari kubwa (huu utajengea boma)
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane