Ramani: Ukraine wamefaulu kurejesha ardhi zaidi ya nusu ya iliyokuwa imenyakuliwa na Warusi

Ramani: Ukraine wamefaulu kurejesha ardhi zaidi ya nusu ya iliyokuwa imenyakuliwa na Warusi

Putin kajiongeza mapema na kuna washauri wamempa ushauri aachane na vita hii ambayo haitaisha kwasababu Nia ya western countries ni kurefusha vita ili Russia afilisike kiuchumi.
Nampongeza Putin Kwa kuanza kuondoa majeshi yake nyuma tunajua plan yake ya kuiteka Ukraine Kwa njia ya invasion imeshindikana Acha akajipange na plan B tuone itakuaje
Wakati Russia anajipanga, Ndio USA anatengeneza watu maabara wengi na kuwajaza Ukraine. Ngoma inogile mpaka afilisike yaani
 
Mnamchukulia poa Zelensky, ni myahudi yule, anaback up ya wayahudi wenzie duniani ambao wanashikilia finances za dunia, wana influence kwa congress ya Marekani na White house!.

Kama Wayahudi watamuacha Myahudi mwenzao apigwe, itatrigger antisemitism dunia nzima kwa conspiracy kuwa Myahadi akitawala nchi za "wasio wayahudi" anawauza. Sasa ili kuondoa hiyo lazima wamsaidie myahudi mwenzao kushinda vita
Mbona hata warussia waliomzunguka Putin ni jews hao hao chief au hujui
 
Mashenzi tu yule! Ukraine inaenda kuwa one of the powerful countries in the world in terms of military. Kwao hii ni lesson learnt hawatalala kamwe wanajua wamepakana na jirani wa aina gani.
Usisahau NATO na mume wa urusi (US) watajiwekea kamandi zao ardhi ya Ukraine

Putin chooni atakua anaenda maranyingi kuliko kabla kuvamia ukraine
 
Inamaana wote mliochangia huko juu ni vilaza kiasi hicho mpaka mmeamini Ukraine kakomboa zaidi ya Nusu?Hata 10% tu haijafika,rudini kwenye sqkm,mnajazwa Ujinga nanyi mnakubali!
 
Ndio zaidi ya 50%?Ukisikia akili za hapa na pale basi ndio hizi!

Hebu tukumbushiane hii operesheni ilikua inahusu nini, maana Urusi ardhi yote hiyo inamtokea Putin puani ilhali ameingia hasara kiasi cha inventory ya kijeshi ya mataifa kama matano Africa....

FZAxM9aXoAYi2jp
 
Hebu tukumbushiane hii operesheni ilikua inahusu nini, maana Urusi ardhi yote hiyo inamtokea Putin puani ilhali ameingia hasara kiasi cha inventory ya kijeshi ya mataifa kama matano Africa....

FZAxM9aXoAYi2jp
Sijahangaika,Mimi Niko kwenye zaidi ya 50%!Umeitoa wapi?
Naona umejua umekamatika ndio maana unakwepa!
 
Wala usihangaike, ila Putin unayemuabudu anahangaika kuwaeleza Warusi jinsi amepoteza zana zote hizo na mpaka sasa amepoteza zaidi ya 50% ya ardhi aliyokua amenyakua...ha ha ha takbir
Ndio nataka kujua hiyo 50%,umeitoa wapi?Mbona simple tu!
 
Tafuta mtu akuelimishe namna ya kusoma ramani....bwana takbirr Akbar
🤣🤣🤣🤣,we kweli kilaza!Nilitaka uje hapo hapo!Kumbe analysis Yako umefanya kutokana na hako ka ramani nusu ulikokaweka🤣🤣🤣!
Screenshot_20220916-072125.jpg
 
Usisahau NATO na mume wa urusi (US) watajiwekea kamandi zao ardhi ya Ukraine

Putin chooni atakua anaenda maranyingi kuliko kabla kuvamia ukraine
... kinachofurahisha wakati Urusi always inatajwa personality (Putin) kana kwamba bila yeye hakuna Urusi; Marekani linatajwa taifa rather than personalities. You can see the difference.
 
Yani jamaa wamezidi kwa propaganda.hata asilimia 10 haijafika wanakwambia zaidi ya nusu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].


Kweli nyie ni mazuzu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],we kweli kilaza!Nilitaka uje hapo hapo!Kumbe analysis Yako umefanya kutokana na hako ka ramani nusu ulikokaweka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!View attachment 2358317
 
Mtu kachukua zaidi ya sqkm 100,000+,unakomboa sqkm 8000+ halafu unasema ni zaidi ya Nusu?Huko shuleni mlienda kusomea Ujinga?
Unasahau kwamba moja na moja inamake mbili,kidogo kidogo watazichukua hizo 92,000sqkm zilizobaki.Tunachoshangaa ni huyo Supa pawa kushindwa kuhold hizo sqkm alizokuwa amezinyakua.Ukrain kwa sasa wanajiamini zaidi na watazirudisha zote.Ni swala la muda tu.Tujipe hadi mwisho wa October utaona matokeo yake.
 
Kharkiv ni mala ya ngapi inakombolewa?.kama waliweza kurudi tena wanashindwaje kurudi?.Na hata ivyo kuna sehemu URUSI anazidi kusonga mbele kwa iyo bado kazi ipo
Unasahau kwamba moja na moja inamake mbili,kidogo kidogo watazichukua hizo 92,000sqkm zilizobaki.Tunachoshangaa ni huyo Supa pawa kushindwa kuhold hizo sqkm alizokuwa amezinyakua.Ukrain kwa sasa wanajiamini zaidi na watazirudisha zote.Ni swala la muda tu.Tujipe hadi mwisho wa October utaona matokeo yake.
 
Back
Top Bottom