Asante, kwa kweli inabidi tupate mwongozo maana naona huyu mwenzetu amevuliwa nguo tangu jana wanamdiscuss mpaka privancy zakeDada umeongea point sana
Watu humu hawaaminiki bora hao kina max wangesimamia hilo swala na pesa ikapelekwa
Acha kabisaaHivi mtu kama huna hela au unaionea ubahili hela yako si ukae kimya mbona mnatia aibu jamani
Wao wameamua kupitisha mchango kwa huyu marehemu warumi na wewe hujakatazwa kupitisha mchango kwa wengine,mbona simple tu jomba?Mbona kwenye misiba ya member wengine wanaofariki huwa hampitishi michango hapa?
Mnaangalia Majina!?
[emoji3][emoji3][emoji3]Nimetuma 50,000/= kimakosa badala ya 5,000/= tafadhali nirudishie 45,000/=
onyesha smsNimetuma 50,000/= kimakosa badala ya 5,000/= tafadhali nirudishie 45,000/=
Hii comment imenisikitisha Sana........japo wengi tunakuwa na matatizo yanayosababisha kukosa hekima,busara na umakini ila sio kujipa tiba kwa njia hiiPigianeni cm kutaka mchango kwa wasiojulikana si haki nyie mnao juana itaneni chemba,
Au mtuambie marehem hana ndugu alikua anaitegemea JF
Mkuu, ukiona kiatu hakikutoshi ebu usilazimishe kukivaa.MNH kila siku pale kuna misiba..tutajua yupi ni yupi?wanaojuana wachangishane..
Mbaya zaidi hao wanao lalamika ni wanaume eti...ππππ umaskini wa akili Ni mbaya mno, yani buku buku watoe wengine halafu waumie wengine, tah tah tah, nyie ndo huwa mnatia aibu kwenye misosi ya shughuli
Imeenda hiyo boi..Nimetuma 50,000/= kimakosa badala ya 5,000/= tafadhali nirudishie 45,000/=
Asante
Simu ilikuwa inatumika Dear
Ooh na mimi nilimuomba kijana wangu anitumie huko, ametumia crdb bank, na hajapata mrejesho; number yake ya simu mwisho ni #935. Kama haijafika naomba uniambie
Ni kiasi gani?
Nimepokea CRDB kadhaa