jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Juma1967,
1:ndugu mbona hilo swala ni la hiari,kwa watakaopendezwa.kwa aliyepo muhimbili na angependa tufahamiane au kujumuika pamoja anaweza nicheki dm still niko muhimbili,huenda huyo anaweza kufanya hayo utakayo ila si mimi.
2:si kila mtu ni mnywaji wa hayo matapu tapu ndugu yangu,na mwenye busara hukaa kimya au kufikiria aongeacho kulingana na sehemu husika,wengi tupo humu jf tukiamini tunakutana watu wenye upeo,maono na kujielewa.jf siyo fb ndugu yangu
1:ndugu mbona hilo swala ni la hiari,kwa watakaopendezwa.kwa aliyepo muhimbili na angependa tufahamiane au kujumuika pamoja anaweza nicheki dm still niko muhimbili,huenda huyo anaweza kufanya hayo utakayo ila si mimi.
2:si kila mtu ni mnywaji wa hayo matapu tapu ndugu yangu,na mwenye busara hukaa kimya au kufikiria aongeacho kulingana na sehemu husika,wengi tupo humu jf tukiamini tunakutana watu wenye upeo,maono na kujielewa.jf siyo fb ndugu yangu