Range Rover 2022

Range Rover 2022

Sio maneno, its a fact, kuna ule msemo wa top gear kuwa, if you want yo go ofload with luxiury pick the Range Rover, if you want yo come back pick the land cruiser, its an old say with meaning

Ingia youtube search sehem yoyote kuhusu least unreliable cars
Ata hii link ni waingereza ila bado wanaponda magari yao


Dada yangu ana RR sport 2012 ililipuka engine akiwa mwendo wa kawaida tu, na matatizo mengine kibao anapata, japo analipenda

Rafiki yangu ana VX LC200 gearbox imekufa mara mbili bila kujua sababu, does it mean hizi lc200 ni mbovu? Hayo maneno youtube ni kama yako tu, ingekuwa hayo maneno ni fact kwa kila gari hamna mtu angenunua hizo gari. Mtu na akili zake atoe $165,000 kununua gari bovu,seriosly?!!!
 
Yaani matajiri wahangaike na kitu kibovu waache kitu kizuri.
Mo
Manji
Shiva
Mengis...hawa na matajiri wengine tusiowajua kila model ikitoka wanachukua mpya na hawauzi hadi itoke model ingine
Super stars and rich all over the world got a RR. Hawa wote hawana akili wanahangaika na kitu kibovu!
Magari kama haya matajiri wanayatumia kama status symbol tu. Hawajali suala la reliability. Angalia hata online (siyo YouTube peke yake). Magari haya hayako reliable lakini bado yanauzika, ni kwa sababu kwa nnje ni mazuri na pia ni status symbol kwamba mtu naye ana mpunga. Na matajiri hawa ni wale wa kiwango cha kati na chini. Maana matajiri wale wa ukweli utawakuta na Rolls, bentley etc!
 
Magari kama haya matajiri wanayatumia kama status symbol tu. Hawajali suala la reliability. Angalia hata online (siyo YouTube peke yake). Magari haya hayako reliable lakini bado yanauzika, ni kwa sababu kwa nnje ni mazuri na pia ni status symbol kwamba mtu naye ana mpunga. Na matajiri hawa ni wale wa kiwango cha kati na chini. Maana matajiri wale wa ukweli utawakuta na Rolls, bentley etc!
Ha ha ha.
 
Sio maneno, its a fact, kuna ule msemo wa top gear kuwa, if you want yo go ofload with luxiury pick the Range Rover, if you want yo come back pick the land cruiser, its an old say with meaning

Ingia youtube search sehem yoyote kuhusu least unreliable cars
Ata hii link ni waingereza ila bado wanaponda magari yao


Dada yangu ana RR sport 2012 ililipuka engine akiwa mwendo wa kawaida tu, na matatizo mengine kibao anapata, japo analipenda
Hakuna fact huko bhana tusingeendesha magari mimi mwaka 2001 nilileta Honda balade ilikua Auto wanunuzi walikua na hoja kama zako kuwa hizi gari Auto zinasumbua mno na kipindi hicho auto zilikua za kutafuta ni kama sasa hivi RR za kutafuta wachimba chumvi tutaongea lolote nilimwachia ndugu yangu mpaka kesho anaitumia nilipoondoka wakata wauziwe baada ya kuona chuma kipo tuu...hizo ni gari Mzee acha mambo yako
 
Yaani matajiri wahangaike na kitu kibovu waache kitu kizuri.
Mo
Manji
Shiva
Mengis...hawa na matajiri wengine tusiowajua kila model ikitoka wanachukua mpya na hawauzi hadi itoke model ingine
Super stars and rich all over the world got a RR. Hawa wote hawana akili wanahangaika na kitu kibovu!
Mkuu umemaliza hapo uliposema " hawana akili ".. tayari hapo ushajua wasio na akili
 
Watakua wamekudanganya na wewe unataka kudanganya watumiaji wa hizo gari mimi nina ford toka kitambo nina Ford Bantam ya 2006 nilinunua 2010 mpaka leo ipo inapiga kazi na haina magonjwa ya hovyo hovyo na hii ingine Ford wildtruck ina nguvu sana popote naenda tena bara bara mbovu kweli na natoboa gari yeyote za mzungu nunua miaka ya karibuni ili ufurahie gari sio mwaka 2021 unanunua gari ya 2000 hapo vitu vingi utahitaji kubadilisha na kubaki JF ukiuliza na kulalamika wakati mwingine anayo kama hiyo anatembea tuu..sasa hivi nimeona Toyota GDR 6 nyingi Auto pick up ni gari nzuri ila ukikaririshwa utaambiwa sio gari ya kazi kama unataka ngoma ya kazi vuta greda tena CAT...
Ford Ranger pick up wild Truck ni class moja na Toyota Hilux lakini mziki wa Hilux kwenye kazi huwezi kufananisha na Ford Ranger na ndio maana hata resale value ya Hilux inakua juu zaidi. Chukua hii Land Cruiser ya mwaka let’s say 2000 alafu weka na na RR ya same year angalia bei zake.!
 
Kweli mkuu. Ununue likiwa jipya utembelee kidogo then uuze la sivyo utapata magonjwa ya moyo hasa kama hela yako ni ya mawazo
Usema kweli sikubaliani na hoja zenu. Maana yake wazalisha wa gari za ulaya hawana akili kuliko sie watumiaji huku Tanzania ? kiasi kwamba miaka yote watengeneza gari mbaya ? Shida huku hela hakuna watu wanapata pa kujifichia hapo
 
Usema kweli sikubaliani na hoja zenu. Maana yake wazalisha wa gari za ulaya hawana akili kuliko sie watumiaji huku Tanzania ? kiasi kwamba miaka yote watengeneza gari mbaya ? Shida huku hela hakuna watu wanapata pa kujifichia hapo
Hata Ulaya wenyewe wanajua hii mambo.
“ A used S-class might be a $900 car when you buy it, but it's still a $100000 car when it needs a repair.”
 
Magari kama haya matajiri wanayatumia kama status symbol tu. Hawajali suala la reliability. Angalia hata online (siyo YouTube peke yake). Magari haya hayako reliable lakini bado yanauzika, ni kwa sababu kwa nnje ni mazuri na pia ni status symbol kwamba mtu naye ana mpunga. Na matajiri hawa ni wale wa kiwango cha kati na chini. Maana matajiri wale wa ukweli utawakuta na Rolls, bentley etc!
EU na North America kwa matajiri wa kufa mtu hawauzi hiyo LC300 ambayo mnaona ni reliable.

Pia mnasahau kwamba hizo LC300 ni very expensive kuliko baadhi ya decent german cars.

Na bado hao matajiri hawazinunui. Kwanini?
 
Ford Ranger pick up wild Truck ni class moja na Toyota Hilux lakini mziki wa Hilux kwenye kazi huwezi kufananisha na Ford Ranger na ndio maana hata resale value ya Hilux inakua juu zaidi. Chukua hii Land Cruiser ya mwaka let’s say 2000 alafu weka na na RR ya same year angalia bei zake.!
Kazi zipi hizo gari zinafanya kazi sawa bhana hakuna mnyonge hapo...
 
EU na North America kwa matajiri wa kufa mtu hawauzi hiyo LC300 ambayo mnaona ni reliable.

Pia mnasahau kwamba hizo LC300 ni very expensive kuliko baadhi ya decent german cars.

Na bado hao matajiri hawazinunui. Kwanini?
Wana lexus. Land cruiser ilishindwa kucompete na Germany na US Made luxury SUVs, mauzo yakaya finyu wameacha kuuza hili toleo jipya.
 
Hakuna fact huko bhana tusingeendesha magari mimi mwaka 2001 nilileta Honda balade ilikua Auto wanunuzi walikua na hoja kama zako kuwa hizi gari Auto zinasumbua mno na kipindi hicho auto zilikua za kutafuta ni kama sasa hivi RR za kutafuta wachimba chumvi tutaongea lolote nilimwachia ndugu yangu mpaka kesho anaitumia nilipoondoka wakata wauziwe baada ya kuona chuma kipo tuu...hizo ni gari Mzee acha mambo yako
Sasa Honda si ni best in reliability, hyo na lexus
Hao wanaongwa na fact kuringana na mashirika ya bima zenye warranty
 
Rafiki yangu ana VX LC200 gearbox imekufa mara mbili bila kujua sababu, does it mean hizi lc200 ni mbovu? Hayo maneno youtube ni kama yako tu, ingekuwa hayo maneno ni fact kwa kila gari hamna mtu angenunua hizo gari. Mtu na akili zake atoe $165,000 kununua gari bovu,seriosly?!!!
It all depends with the number of complains
 
Back
Top Bottom