Hata kama una insurance, mambo mengine ni ya kuweka tahadhari yasikukuteKwani huna Insurance?
Yaani sasa hivi nikiokota begi lina mil 32 dah sijui Mungu nitamshukuru vip maana duh!
Kubadilisha vitu vyote vilivyoorodheshwa hapo hata Toyota vx itafikisha gharama hiyo
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Nataka za kuokota, pale gari linalotoka mgodini watakapo jichanganya wakapoteza begi lao niliokote mimiNinaweza kukupa tu
Hilo hata barabarani ukiwa nyuma yake, hakikisha lipo angalau mita 50 mbali na wewe.....Tatizo siyo kulipata mazee...tatizo ni kulimudu ....kwa hiyo hata ukiliokota kimbia mbali sana
Nataka za kuokota, pale gari linalotoka mgodini watakapo jichanganya wakapoteza begi lao niliokote mimi
Labda kama huyo mtu ni mshamba na haelewi nini maana ya InsuranceHata kama una insurance, mambo mengine ni ya kuweka tahadhari yasikukute
Mzozo wa kumvunjia side mirror mtu wa range rover , uko na passo , hadi mfikie muafaka wa kuonyeahana cover notes sio kipole pole , , Unaeza hata ukala shaba .
WamekupigaUkiangalia hapo kwenye picha inaonyesha kabisa sehemu ilipogonga na kuharibika.
Hivyo kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matengenezo.
Kisha ukiangalia kwenye Total.
Hii gari imegharimu shilingi za Kenya 1,614,720
Ukiangalia exchange rate ya shilling ya Kenya Ni sawa na sh. 20.37 ya Tanzania.
Hivyo ukiibadili katika Tsh. Unapata takribani 32,891,846.40
Yaani shilingi million 32, laki 8, tisini na moja elfu na Mia nane arobaini na sita na Senti arobaini TU za kitanzania[emoji4]View attachment 2052951View attachment 2052952View attachment 2052956
Unamaanisha kwamba fuel pump, radiator or replacement of any part, insurer atawajibika?Yes wanagharamia.
Unamaanisha kwamba fuel pump, radiator or replacement of any part, insurer atawajibika?
NB: hiyo replacement haijatokana na ajali
Michongo ya watu wa bima.Jamaa waongo hao kwa hizo bei tusingekua tunanunua magari na kurekebisha hizo bei zimewekwa za mchongo hapo...
Hiyo hapo kununua na kutengeneza hapo umepigwa sana labda milioni kumi za kitanzania.. ni rand 60,000 ya kaburu unarekebisha vizuri tu..Michongo ya watu wa bima.
Tokyo garage ni wahuni kupita kiasi, garage imekaa kipigajiUtaskia hichi kibovu mara hichi wale jamaa noma sana ni wahuni sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119]
Sahii kabisa chiefUkiwa na gari ya gharama endesha kwa ustaharabu na umakini mkubwa, kama bia kunywa Heineken na kama whisky kunywa jamii ya Black Lebel mk.
Hatari mnoWamekupiga
Milion 32 ......una nunua boda boda 28 ambazo zitakuingizia kipato kiku wa zaid
Alisikika motivational speaker mmoja akisema....
[emoji23][emoji23] nmekumbuka jamaa yangu mmoja aligongesha Range lover ya shemeji yake hesabu ya ku fanya repair and maintenance ilibidi auze gari zake mbili Subaru Forester na IST