Range Rover liheshimiwe

Range Rover liheshimiwe

Guys poleni na majukumu

Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range 🤗🤗🤗 my dream car
Hahaha mi nilijua chuma tayari unacho kumbe it's still being a dream car🤣🤷
 
Wee jilo mbona uchafu wa manzese kwa range iv ushapanda range?
Mkuu Escalade unaijua vizuri lakini? Achana na huyo mnyama wa kimarekani kabisa, hiyo range yako tupa kule
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    31.9 KB · Views: 21
  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    40.9 KB · Views: 24
Wee jilo mbona uchafu wa manzese kwa range iv ushapanda range?
Usirudie tena kuiita Cadillac Escalade uchafu wa manzese, kwa wanaojua magari watakudharau saana, ushawahi kumuona mjinga yeyote anapush hii ndinga bongo? Zipo chache sana kama sio mbili ni tatu nilizowahi kuziona juu ya Ardhi yetu ya wadanganyika.
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    30.1 KB · Views: 23
Usirudie tena kuiita Cadillac Escalade uchafu wa manzese, kwa wanaojua magari watakudharau saana, ushawahi kumuona mjinga yeyote anapush hii ndinga bongo? Zipo chache sana kama sio mbili ni tatu nilizowahi kuziona juu ya Ardhi yetu ya wadanganyika.
Sasa magari yenyewe bongo ni machache,tutapata wapi muda wa kuyapenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usirudie tena kuiita Cadillac Escalade uchafu wa manzese, kwa wanaojua magari watakudharau saana, ushawahi kumuona mjinga yeyote anapush hii ndinga bongo? Zipo chache sana kama sio mbili ni tatu nilizowahi kuziona juu ya Ardhi yetu ya wadanganyika.
kaka wanaojua magari watakucheka ww[emoji28] hiyo ni kama subaru marekani na hata ukiangalia cost zake za TRA bongo ni kama mil 180 kwaiy ni gari ya kawaida sana...
 
Guys poleni na majukumu

Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range [emoji847][emoji847][emoji847] my dream car
Kuna muhuni anamiliki hilo dubwana la 2019 tena ni long wheel base, Nimepanda last month ndio alikuwa ametoka kuliwekea plate namba.

Aiseeee.... tuuchukie umasikini kwa nguvu zote.
 
Kuna mtifuano umezuka twitter kule.

Kuna mtu analeta ushabiki anapewa fact lakini helewi,kuna range halafu kuna gari linaitwa LC, hapo tunataja V8 zote mpaka hiyo mpya ya V6 2022.kwanza linauzika,pili sio gharama kulimiliki,na linahimiri mazingira yetu ya juakali na barabara za ahadi za uchaguzi.

Hiyo gari kwa namna ilivyopokelewa mtaani ni ishara njema sana kwamba toyota wameupiga mwingi kuanzia serikalini mpaka kwa mabro wenye kiburi hapa nchini.hilo range watu wana uwezo wa kuyanunua lakini wanayapotezea.
LC200 na 300 siyo gharama kuimiliki na inahimili barabara zetu?

Punguza mambo ya kusimuliwa vujiweni mkuu.
 
Back
Top Bottom