mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
2018.Wewe ndio walewale. Gari ikiwa ya 2018 unajua huwa zinatoka kiwandani na kuingia sokoni mwezi gani na mwaka gani!? Naomba jibu....nenda kafanye research urudi na jibu sahihi hapa. Otherwise kaa kimya kuficha aibu ya ukoo wenu.
Kuna watu tulienda huko kusoma miaka ya nyuma sana na tulipomaliza elimu yetu na mengineyo tukarudi nyumbani kuliendeleza kusukuma gurudumu la Maendeleo. Sijui umemaanisha nini "sizitaki mbichi hizi"!?sizitaki mbichi. Kwenda Ulaya , Marekani ni Utumwani, sisi ni wazalenda tunakaa kwetu kmanzichana.
No wonder umejiita "mjingamimi"!2018.
Ulirudi au muda wa kukaa huko ulikwisha. mimi nilikwenda , nilitaka kukaa wakasema urudi kwenu muda wa masomo umeisha. Kuna permanent students anyway!Kuna watu tulienda huko kusoma miaka ya nyuma sana na tulipomaliza elimu yetu na mengineyo tukarudi nyumbani kuliendeleza kusukuma gurudumu la Maendeleo. Sijui umemaanisha nini "sizitaki mbichi hizi"!?
We jamaa boya sana wewe....kwa hiyo uzalendo kwako ni kulitetea lile jiziii la chato zee la frustrations....alafu ulivyo jinga kwa kuwa wewe una experience ya kuuza tigo bhac unamshauri kila mtu auze tigo unataja kabisa na bei ambazo wanaokufumuaga hayo marinda wanakulipaKisa siasa. Mnaharisha tu maneno bila hata kutafakari. Njooo tu Ulaya Uwe shoga. Mana kama umeshindwa kulima hata nyanya sasa kusubiri Mzungu Au Mbowe akwambie. Then Njoo Uwe shoga. Wanaume kumi kwa Siku Euro 50-100 nusu saa .utapata 1000 to 2000. si Ndo maisha mliyotayari kuyaishi kisa siasa za kuchafuana. Watu kama nyinyi ndo mko maofisini mnasabotage miradi ya Maendeleo kisa Siasa. Mnatumikia wakina Mbowe mnaabudu wakina Lissu. Ukiulizwa nini wamefanya Huna jibu zaidi ya kuwa wambeya na wasaliti kwa maslahi ya Nchi. Niambie Mzungu gani alikuja hapa radioni kuponda Nchi yake. Mkituliza Tigo zenu kama hamvuti mabangi mtajua Nchi na uzalendo ni Muhimu sana kuliko siasa. Nyie ndo wale wanaume kwenye shida ndogo atatuma watoto wake wa shule ya msingi wakauze walete Hela. PUMBAVU sana. Sina neno La ziada.
i once said somewhere and im gon repeat for your shithead to catch stupidity is not a crimeShithole slave mentality ..
Nilirudi nyumbani kwa sababu nilipoondoka huku sikuiba deki wala kufukuzwa. Nilienda kusoma na kuongeza maarifa ili yaje kunisaidia maishani. Na yamenisaidia maishani mpaka sasa. So huko huwa naenda mara kwa mara kikazi au kimatembezi tu. Kipindi hicho tunaenda huko kulikuwa hakuna sekeseke la kurudishwa bongo, tena cha ajabu wakati huo mashirika na makampuni walikuwa wanapita vyuoni ku recruit wanafunzi kwa nafasi za ajira punde wanapomaliza masomo...na kukupatia nyaraka za kuishi ndani ya nchi yao kihalali.Ulirudi au muda wa kukaa huko ulikwisha. mimi nilikwenda , nilitaka kukaa wakasema urudi kwenu muda wa masomo umeisha. Kuna permanent students anyway!
Shithole at your level best!i once said somewhere and im gon repeat for your shithead to catch stupidity is not a crime
nadhani kazi unayoifanya kuna hundreds ambao wanaweza kuifanya wako mitaani, hivyo ungelijikalia tu. Si kweli kuwa ulikuja kusaidia nchi yako. Ungelikuwa Daktari Bingwa wa Nerves / ubongo surgery etc (mfano) nitakuelewa maana hapa ni kama hakuna.Nilirudi nyumbani kwa sababu nilipoondoka huku sikuiba deki wala kufukuzwa. Nilienda kusoma na kuongeza maarifa ili yaje kunisaidia maishani. Na yamenisaidia maishani mpaka sasa. So huko huwa naenda mara kwa mara kikazi au kimatembezi tu. Kipindi hicho tunaenda huko kulikuwa hakuna sekeseke la kurudishwa bongo, tena cha ajabu wakati huo mashirika na makampuni walikuwa wanapita vyuoni ku recruit wanafunzi kwa nafasi za ajira punde wanapomaliza masomo...na kukupatia nyaraka za kuishi ndani ya nchi yao kihalali.
Kuna wenzangu (watz) wachache niliosoma nao walibaki huko na kuchukua uraia kabisa.
2018 mitaani zimejaa lini? Mbona una woga sana kujikubali na hali yako?Utabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
Bora kutawaliwa na mwingereza aliyetuachia viwanda lkn vyote vimekufa kuliko kutawaliwa na assholes ccm ambao kazi yao kuharibu nchi na kufanya ufisadiKwa ulivomsifia mwingereza Upo tayari arudi kukutawala
Me too[emoji7][emoji17]I love range Rover
No wonder your still an imbecille without any job with the only relief in attacking others through social networks!..Shithole at your level best!
Hapo nikipiga hesaba zangu..hi bado ghali nimeona Ni pauni za Bibi 268,000. Ila haijatofautiana Sana Na renji 2017 ambayo Hadi 86,000 pauni za Bibi.
Nadhani kwa madafu iyo Hadi Kodi lazima ifike karibu billion.
Tungekuwa on the same page angalauMmmh mngeongelea hata pikipiki au baiskeri hapo tungekuwa wote.
Wewe unajua mimi nafanya kazi kwenye fani gani? Au unanijua? Acha upuuzi uchwara mkuu. Eti Mzee wa kanisa! Ptuuuuuuuu...nadhani kazi unayoifanya kuna hundreds ambao wanaweza kuifanya wako mitaani, hivyo ungelijikalia tu. Si kweli kuwa ulikuja kusaidia nchi yako. Ungelikuwa Daktari Bingwa wa Nerves / ubongo surgery etc (mfano) nitakuelewa maana hapa ni kama hakuna.
Siku njema nakwenda kanisani misa ya jioni. Mimi ni mzee wa kanisa.