Rangi yake Sadio Mane ndiyo iliyomkosesha Ballondoir

Rangi yake Sadio Mane ndiyo iliyomkosesha Ballondoir

Mzazi unafuatilia mpira kweli?

Kwahiyo Mane ana takwimu za kumpiku Messi au Ronaldo?

Kuna mwafrika alishachukua hii tuzo. So ikitokea una performance nzuri kwa kipindi hicho hua haina kupingwa.
Takwimu zipi zaidi ya kuziwezesha klabu zao na timu zao za taifa kuchukua makombe makubwa?

Kwa hyo unataka kuniambia messi kapewa ballon or dor sababu kaiwezesha barcelona kuchukua la liga?

Vipi kuhusu mane ambaye amechukua champion league na kuiwezesha timu yake ya taifa kufika fainal mataifa?
 
Kwahii scandal hii tuzo haina mvuto tena nisawa nailetuzo aliechukua messi 2010 ndio imejirudia tena saiz na ndio maana FIFA wakajitoa na wakaanda zao.
 
Takwimu zipi zaidi ya kuziwezesha klabu zao na timu zao za taifa kuchukua makombe makubwa?

Kwa hyo unataka kuniambia messi kapewa ballon or dor sababu kaiwezesha barcelona kuchukua la liga?

Vipi kuhusu mane ambaye amechukua champion league na kuiwezesha timu yake ya taifa kufika fainal mataifa?
Mzee kunawatu hawawezi kukubali ukweli, wao wameweka mahaba tu mbele nasio wafuatiliaji wa vitu kabisa 😂😂😂 huwezi lazimisha punda kunywa maji unatopteza muda tu achana nao.
 
Takwimu zipi zaidi ya kuziwezesha klabu zao na timu zao za taifa kuchukua makombe makubwa?

Kwa hyo unataka kuniambia messi kapewa ballon or dor sababu kaiwezesha barcelona kuchukua la liga?

Vipi kuhusu mane ambaye amechukua champion league na kuiwezesha timu yake ya taifa kufika fainal mataifa?
Hahaha dah wewe sasa unataka ubishi. Ni mara ngapi umesikia mchezaji kachukua tuzo ya Ulaya halafu hajachukua Ballon d'or?

Takwimu zilizompa tuzo ya Ulaya uliziona? Mane anazigusa?
 
Mane kaiwezesha klabu yake ya Liverpool kuchukua klabu bingwa ulaya na kuifikisha timu yake ya taifa fainali ya mataifa ya afrika.

Vipi niongeze na nyingine.
kaiwezesha? kwahiyo kacheza peke yake? wachezaji wote wa Liverpool wameiwezesha team kuchukua hilo kombe

ila tukija individual performance hakuna aliyemfikia Messi msimu uliopita
 
Mane alistahiki kuwa mchezaji bora wa mwaka huu, Ila ameporwa.

Lakini musitake kutia mambo ya Ubaguzi wa rangi kwenye hili jambo, wazungu wangapi wameshaporwa tunzo na kupewa Messi na Ronaldo ndani ya miaka 10 hii?

NI siasa na biashara tu hakuna jengine.
 
mtizamo wa messi waafrica tunaulazimisha kua ndo sheri ya ulimwengu mzima, hebu tuacheni kujidhalilisha ajili ya mitizamo ya watu
 
Huyo Mane hajafikia record hata alizoweka Harry Kane...


Kama unabisha weka hapa tuone...
Hizo takwimu za harry Kane za mwaka gani? Ebu ziweke hapa kiongozi... Mane na Kane... Ujinga mzigo...

Ngoja Mane aende zake Barcelona... Kane ana kwenda Madrid...
 
kaiwezesha? kwahiyo kacheza peke yake? wachezaji wote wa Liverpool wameiwezesha team kuchukua hilo kombe

ila tukija individual performance hakuna aliyemfikia Messi msimu uliopita
Kipindi kile messi na ronaldo wanapewa ballon or dor kisa wamechukua klabu bingwa walikuwa na ivo vigezo unavyovisema hpa?

Muachege kutetea vitu vya kijinga!
 
kaiwezesha? kwahiyo kacheza peke yake? wachezaji wote wa Liverpool wameiwezesha team kuchukua hilo kombe

ila tukija individual performance hakuna aliyemfikia Messi msimu uliopita
Kwa hyo unataka kuniambia messi alikuwa anachukua Mpira kwa kipa anaenda kufunga pekee yake si ndyo?
 
Mwenyewe imeniuma sana na kibaya zaidi wapiga kutoka Afrika wametuangusha kabisa wamemnyima kura ?
 
Labda alistahili namba 2 ama namba 3 lakini si namba 1 sbb takwimu hazimbebi kumfikisha namba moja lakini messi anasema kua "namchagua mane sababu ni mchezaji ninaempenda" kwahiyo utaona kua mapenzi ndio yaliyomfanya messi ampigie kura sadio mane na si kua labda mane alistahili namba 1 SI KWELI SABABU TAKWIMU ZINAMUANGUSHA
 
Kwa hyo unataka kuniambia messi alikuwa anachukua Mpira kwa kipa anaenda kufunga pekee yake si ndyo?
hapana hakuchukua mpira kwa kipa

ila

kilichomtofautisha Mane na Messix ni individual statistics zao
 
Kipindi kile messi na ronaldo wanapewa ballon or dor kisa wamechukua klabu bingwa walikuwa na ivo vigezo unavyovisema hpa?

Muachege kutetea vitu vya kijinga!
Kuchukua ubingwa ilikuwa added advantage kwenye individual statistics zao
 
Idadi ya wajinga wa Africa inaongezeka kupitia watu kama nyie! Yaani wewe unabishana na Messi ambaye kwa kinywa chake mwenyewe amekiri kwamba Sadio Mane ndiyo angepaswa kuwa mchezaji bora?
Binafsi namkubali sana Mane, recently he's my favorite player. Nakubaliana na mleta uzi kuwa rangi yake ndiyo sababu kubwa ya kuikosa hiyo tuzo ya mchezaji bora!

Sasa unataka kulazimisha maneno ya messi ndo yawe mawazo ya watu wote?

Sasa mjinga hapo ni nani kati ya anayeheshimu mawazo yake kwa mane sio bora kuchukua tuzo hiyo na wewe unayeshadadia maneno ya messi?

Ingekuwa bora kama ungeleta takwimu za watu wote hapa halafu ukatuambia kwa kadhinda kwa sababu hii

Kuchua UCL si kigezo cha moja kwa moja kupewa tuzo

Inawezekana kabisa messi akawa mbele yaki kitakwimu

Tunarudi kwenye hoja tupe statistics za messi vs mane
 
Back
Top Bottom