Rapa Sean 'Diddy' Combs anatuhumiwa kwa ubakaji katika kesi mpya
haya mambo mbona hayamkuti denzel washington, au morgan freeman?

kuna ukweli kuusu wazungu kushughulikia blacks, ila weusi wengi maarufu ni watu wa hovyo honyo, inakuwa simple kushughulikiwa na mifumo
 
Katika pita pita zangu huko nimekutana na taarifa kuwa kuna binti mwingine kamfungulia mashitaka kuwa alimfanyia unyanyasaji wa kingono mwaka 1991 huku akirekodi hilo tukio.
Kama ni kweli hili nililitegemea, ukimlipa mmoja atakuja mwingine na mwingine.
Kuna tetesi pia alimwambukiza STDs usher kwasababu alikuwa akimnyanyasa kingono wakati akiishi naye usher akiwa minor.
Kiutani utani yanaweza kuja kumkuta ya Rkelly
 
50 Cents atakua anachekelea naona.
Kapost anacheka.
Watakuka wengi baada ya kumlipa cassie hata wengine watakuja ama kwa kutaka pesa ama afungwe.
Shida ni kwamba miaka hiyo walikuwa wanafanya mambo ya ajabu ajabu kwa sababu ya umashuhuri na pesa na bahati mbaya US leo unaweza kufungwa hata kwa kosa ulilofanya miaka ya 80.
Hii vita sidhani kama atatoka salama.
 
haya mambo mbona hayamkuti denzel washington, au morgan freeman?

kuna ukweli kuusu wazungu kushughulikia blacks, ila weusi wengi maarufu ni watu wa hovyo honyo, inakuwa simple kushughulikiwa na mifumo
Tasnia ya mziki ina mambo mengi ndugu yangu hata hapa bongo kina nandy zuchu sijui maua wakiamua kuongea watu watakimbiana.

Uigizaji sidhani kama ni kivile
 
haya mambo mbona hayamkuti denzel washington, au morgan freeman?

kuna ukweli kuusu wazungu kushughulikia blacks, ila weusi wengi maarufu ni watu wa hovyo honyo, inakuwa simple kushughulikiwa na mifumo
Ukifuatilia maisha ya black celebrities miaka ya 80 na 90 yalikuwa ya kimbwa mbwa. Sasa yanarudi kuwatafuna na kipindi hicho ama watu walikuwa hawajui haki zao au walikuwa wanaona aibu kusema. Shida US hata kosa la miaka 30 iliyopita hata 50 linaweza kukufunga uzeeni.
Mimi wakati nakua mitaani kulikiwa kuna kitu kinaitwa kula sangi au mande. Madada mengi kipindi hicho wamefanywa hivyo na hawakuwahi kusema. Kitu ambacho sasa hivi ni ngumu kufanya ubaki salama. So zama hizo mambo yalikuwa mengi mengi na watu hawasema hata hapa TZ
 
Wale watu waovu huenda naye wanamshughulikia kama R. Kelly na Bill Cosb. USA wanapenda sana kushitakiana kwa kesi za ngono. Ukute jitu lilitongozwa likakubali lenyewe miaka imeenda limepigika ki maisha linataka lipatiwe mpunga liendeshe maisha yake. Wale watu waovu nao ukianza kuwakatalia kufanya kazi zao wanazotaka uwafanyie wanakukomoa kwa kesi za ajabuajabu
Fuatilia skendo za didy
 
Back
Top Bottom