Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Mzee wa kuwapakua mifereji wale wote wanaojipendekeza vipi na wewe unataka akakupakue?Msela ana majina mengi Sean comb,Puff daddy,P Diddy na sasa hivi anajiita Love.
You dig?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa kuwapakua mifereji wale wote wanaojipendekeza vipi na wewe unataka akakupakue?Msela ana majina mengi Sean comb,Puff daddy,P Diddy na sasa hivi anajiita Love.
You dig?.
Akicheza fyongo tu anaenda kukaa nyuma ya Nondo yaan hapo inaswakwa Pesa, Madonna kakubari kulipa nje ya Mahakama baada ya kupewa kesi ya ukwepaji kodi tax evasion, sasa Diddy km anajua ushahidi upo wamalizane nje ya Mahakama yaishe kinyume na hapo akikaza debe linamsubiriaMuda mzuri wa kutafuta haki ni pale wanapoona tayari umepata dough
Wanawake wa kileo hao
Kakiuka makubariano na wale wakubwa wa kule sasa wameamua kumtifua MJ nae alianza na Sony wakasema hautujui wewe wakaanza na za watoto mwisho ndio vileAnaenda kupotezwa km R Kelly.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaan had huruma wallahKakiuka makubariano na wale wakubwa wa kule sasa wameamua kumtifua MJ nae alianza na Sony wakasema hautujui wewe wakaanza na za watoto mwisho ndio vile
Ndio wanapigwa sana paipu usione wanaimba Ila maumivu wanayajua wenyewe kikubwa wanapata fame basi Ila baadae wakichoka watachomoa Sasa hapo kwenye kuchomoa ndio kwenye ntinti wapi V MoneyHapa tz kuna mwanamuziki mmoja ni mama mtu mzima alibadili mtindo wa maudhui ya nyimbo zake kutoka za kidunia kuwa za kidini akashindwa huko akamua arudi nyimbo za kidunia akidai ameshindwa huko. Alidai maprodyusa wanaomba penzi sana huko akaishia kuwashangaa wenzake wa kike wanawezaje kuvumilia hali hiyo? Miziki na filamu mwendo ni malavidavi tu, sema wahanga hawajaamua kusanua uhuni huo imebaki siri yao
Kalia 🖕🏽Mazee kama unatafuta ugomvi basi umekosea njia. tafuta ma gay wenzako
🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽 Die slow mo'fvckerRight back at you and your fag father. How 'bout that Mr. Faggot.
Mjinga kama wewe huwezi kuninasa kwenye ujinga wako tukana unavyoweza ukichoka utakaa kimya.🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽 Die slow mo'fvcker
Ignore Sasa umetumwa au?Mjinga kama wewe huwezi kuninasa kwenye ujinga wako tukana unavyoweza ukichoka utakaa kimya.
Ili iweje wewe tukana unavyoweza ukichoka utakaa kimya.Ignore Sasa umetumwa au?
Kalia tena 🖕🏽 maana naona limekunogeaIli iweje wewe tukana unavyoweza ukichoka utakaa kimya.
Wajinga kama wewe huwa hamniumizi Kichwa.Kalia tena 🖕🏽 maana naona limekunogea
Haya endelea kukalia 🖕🏽Wajinga kama wewe huwa hamnisumbui hamniumizi Kichwa.
Diddy kampuni yake mmiliki na mama yake .Its payback time
Could be so. What are the odds ?Jay z
Mimi hujihuliza, Hivi Diddy ni Rapper mashuhuri pia?kama humjui huyu mwamba tutaanzaje kukufahamisha? Haya kamata hii, ni rapper mashuhuri huko marekani, zamani alijulikana pia kama puffy daddy
Umeanza kumjua lini?Mimi hujihuliza, Hivi Diddy ni Rapper mashuhuri pia?