Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Ishu ya tupac kama ni kweli apelekewe moto tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka hiki ulichokielezea hapa ndio ukweli wenyewe, hizi kesi za unyanyasaji wa ngono/ubakaji na hasa ambazo muhusika anaibuka kushtaki baada ya miaka kibao mara chache sana zinakuwaga Zina ukweli.Wale watu waovu huenda naye wanamshughulikia kama R. Kelly na Bill Cosb. USA wanapenda sana kushitakiana kwa kesi za ngono. Ukute jitu lilitongozwa likakubali lenyewe miaka imeenda limepigika ki maisha linataka lipatiwe mpunga liendeshe maisha yake. Wale watu waovu nao ukianza kuwakatalia kufanya kazi zao wanazotaka uwafanyie wanakukomoa kwa kesi za ajabuajabu
Usimjue P Diddy au Puff Daddy....Bad boy Records.Wewe upo mbele maana walio nyuma wote wanamjua
Kuna mama alikuwa mke wa mpangaji mwenzangu,aliponizoea akawa anakuja tunaangalia video usiku.Siku Moja miliweka Blue tukawa tumachek alipoanza kujikunyata nikala kimasihala.Ingekuwa US kumbe angewesa kulianzisha.Duh! Hii sheria ikija tz wazee wengi wataishia jela kwa mambo hayo waliowafanyia wanawake huko nyuma ujanani. Unashangaa bibi fulani anafungua mashitaka kuwa ulimnyanyasa kingono alipoingia kwenye geto lako kutazama picha za magazeti uliyobandika getoni enzi akiwa msichana na ushahidi anao
1991 kamera ziko ikulu tu,jama masihala haya.Google Watergate scandal uone mambo yaliyompata rais Nixon early 1970shahahahah ushahidi atautoa wapi na zama zile camera zilikuwa Ikulu tu [emoji1787]
You mean Usher Raymond naye alimgekul?Katika pita pita zangu huko nimekutana na taarifa kuwa kuna binti mwingine kamfungulia mashitaka kuwa alimfanyia unyanyasaji wa kingono mwaka 1991 huku akirekodi hilo tukio.
Kama ni kweli hili nililitegemea, ukimlipa mmoja atakuja mwingine na mwingine.
Kuna tetesi pia alimwambukiza STDs usher kwasababu alikuwa akimnyanyasa kingono wakati akiishi naye usher akiwa minor.
Kiutani utani yanaweza kuja kumkuta ya Rkelly
Ni ndugu,wakati Puff Daddy anamtafuna JLO P Diddy alimpiga chabo.Puffy Daddy alichukia sana yaaniNaomba kuuliza mbona P diddy na puff daddy wanafanana sana? Ni ndugu au mapacha?
Yes ndizo habari zilizokuwepo na sasa zinazidi kusambaa. Maana mama yake alimkabidhi kwa didy akiwa na miaka 16 akawa anaishi naye kama mentor ila baadaye alimchukua na kusema kama kuna kosa alilowahi kulifanya maishan basi ni hloYou mean Usher Raymond naye alimgekul?
Nimeambiwa Sabaya Ole mwana wa Lengai alimkula BillNandy jotelini Arusha.Tasnia ya mziki ina mambo mengi ndugu yangu hata hapa bongo kina nandy zuchu sijui maua wakiamua kuongea watu watakimbiana.
Uigizaji sidhani kama ni kivile
Hehehaha kwake walikuwa wanfuata Nini? Mpaka wanalala!Didy naona mambo yanamzamia juzi kati Fabolous anasema jamaa ukienda kwake ukalala asbh unashangaa jamaa yupo nyuma yako,
Pole kwake
Anaandaa party anaita watuHehehaha kwake walikuwa wanfuata Nini? Mpaka wanalala!
Akiwalisha na kuwalewesha ana waGekul.Basi Diddy hafai kabisaAnaandaa party anaita watu
Umezaliwa mwaka gani?Mimi hujihuliza, Hivi Diddy ni Rapper mashuhuri pia?
Mbona habari zinasema alivamia hoteli alikofikia bahati nzuri bidada akawa hayupo nasikia akamaindi sana wahudumuNimeambiwa Sabaya Ole mwana wa Lengai alimkula BillNandy jotelini Arusha.
Ni mapacha na baba yao Ni Puff Combs..[emoji23][emoji23]Naomba kuuliza mbona P diddy na puff daddy wanafanana sana? Ni ndugu au mapacha?
Nasikia waliamua kuuongopea umma ili kumlindia utu bidada.Jamaa wanadai General Sabaya alimtafuna NandipahMbona habari zinasema alivamia hoteli alikofikia bahati nzuri bidada akawa hayupo nasikia akamaindi sana wahudumu
Inawezekana kijana madaraka yalikuwa yamemlevyaNasikia waliamua kuuongopea umma ili kumlindia utu bidada.Jamaa wanadai General Sabaya alimtafuna Nandipah
Jamaa alikuwa anatisha.Alikuwa HOMA ya jiji si mchezoInawezekana kijana madaraka yalikuwa yamemlevya
USA wana mambo ya ajabu sana, bongo mpaka mtu afikie uzee atakuwa amekula wanawake wasiohesabika na wengine kusahaulika. Sasa ukute ulimla demu huko ujanani ukasahau, ukubwani anakuibukia kuwa ulimla vibaya anataka umlipe fidia kwa kumdhalilisha, wabongo wangekoma na ngono za kizembe zembe kwa kuhofia sheria hiyo endapo mwanamke uliyemsasambua ataamua kufungua mashitaka ya kudhalilishwaKuna mama alikuwa mke wa mpangaji mwenzangu,aliponizoea akawa anakuja tunaangalia video usiku.Siku Moja miliweka Blue tukawa tumachek alipoanza kujikunyata nikala kimasihala.Ingekuwa US kumbe angewesa kulianzisha.