Odense
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 1,189
- 1,585
Share uzi huoMatumizi mabaya ya simu.Ndiyo maana Bujibuji Simba Nyamaume ameleta uzi wa kuwaasa watu tutumie simu kupost vitu kwa tahadhari.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Share uzi huoMatumizi mabaya ya simu.Ndiyo maana Bujibuji Simba Nyamaume ameleta uzi wa kuwaasa watu tutumie simu kupost vitu kwa tahadhari.
Haya mambo bhana yanaboa sana....... umeona sasa, utajitahidi usiweke mambo yako mtandaoni, mbususu unayoila ikakukaangaNashukuru mwana-Maria👍
😂😂😂😂Makongoro Nyerere angemalizia kwa kusherehesha..."mbususu oyeee"...!Haya mambo bhana yanaboa sana....... umeona sasa, utajitahidi usiweke mambo yako mtandaoni, mbususu unayoila ikakukaanga
Ni muda kidogo kama mwezi wa 6 mwishoni hiviOya kumbe huyu dogo kapigwa risasi...? Sijaiskia hii alipgwa lini mzee namkubaLi dana huyu mwamba
Warundi wenyewe wamejaa huko katumba wilaya ya nsimbo tuliwapa uraiaBurundi
Whole Scandinavian nenda kule.Nchi ipi Ni salama kuishi jamani ama saudia
kwani alikua WANTED na akina nani ?Pia watu wanashuku kwamba girl wake atakuwa kapost location makusudi....kwa sababu siku zilizopiza jamaa alimbadilishia demu wake password ya account ya insta...
So who knows maybe alipost location kimakusudi...na pia pnb aliponea kuuwawa juzi juzi tu
Australia, Switzerland ,Austria , Luxembourg,new Zealand na Bahrain vipi hizo nchi mkuuWhole Scandinavian nenda kule.
Hapana dadaKwa kaka zake au wapi?
Wakuu Kuna Taarifa Kwamba rapper anaitwae P AND B ROCK ame pigwa chuma muda Sio mrefu Huko Carifornia.
Taarifa Zaidi zitawajia.
View attachment 2355405
aaah dah sio poa kbsa ndo Hii ngoma katoa baada ya kupigwa ...?Ni muda kidogo kama mwezi wa 6 mwishoni hivi
Hiyo itakuwa ni cover tu imewekwa kwenye clipaaah dah sio poa kbsa ndo Hii ngoma katoa baada ya kupigwa ...?
n ngoma yke kbsa oficial kumbe nmeend kuichk kweny acc yak y you tube ina week mbili tuHiyo itakuwa ni cover tu imewekwa kwenye clip
Mbona chakula hiki ni disgusting?View attachment 2355483
Post ya demu wake.
Kuku na waffles ndo unasema disgusting??..Mbona chakula hiki ni disgusting?
Nimeiona pia.so sad kwanza kuna video yake kalala chini baada ya kupigwa risasi so sadi yani...mtu anamrecord baadala ya kumsaidia
Rip pnb rock🕊️