MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,550
- 12,239
COOLIO..Kuna rapper mmoja mkongwe maaruf tu jina nmemsahau alozingumzia swala la kuuana alisema huwezi mkuta yeye na akataja marapa wengine malenged wamevaa vaaa marolex,maice ya thaman sana toka enzi hzo na hata sasa kwani yanasababisha usalama kuwa mdogo kwao na hasahasa wakiwa street kama wanavyofanya hawa rapper wa sasa show off nyingi.
baadhi ya hayo maneno yapo kweny ngoma ya gangsta in paradise