Rapper 'Take off' wa kundi la maruufu la Hiphop 'Migos' afariki kwa kupigwa risasi

Rapper 'Take off' wa kundi la maruufu la Hiphop 'Migos' afariki kwa kupigwa risasi

Kuna rapper mmoja mkongwe maaruf tu jina nmemsahau alozingumzia swala la kuuana alisema huwezi mkuta yeye na akataja marapa wengine malenged wamevaa vaaa marolex,maice ya thaman sana toka enzi hzo na hata sasa kwani yanasababisha usalama kuwa mdogo kwao na hasahasa wakiwa street kama wanavyofanya hawa rapper wa sasa show off nyingi.
COOLIO..
baadhi ya hayo maneno yapo kweny ngoma ya gangsta in paradise
 
Ni kweli mkuu lakini ukiangalia hata black entertainers wengi tu wanaoa race tofauti na yao hasa whites na hata kutojihusisha directly na siasa za races ili kukubalika na hiyo community, kumbuka blacks ni wachache USA na sio wanunuzi wakuu wa muziki kwa hiyo lazma mtu awe cross over artist ili afanye vizuri zaidi
We hupajui marekani mkuu, wazungu hawanaga mda na wanamuziki wa hip hop, marekani unavyoiona na ukipata nafasi ya kwenda kuishi ni tofauti na unavyoiona

Ni ngumu sana wazungu kukubali wewe kama mtu mweusi unless uwe exceptional, Kuna wazungu kibao hao wakina Jay z na wasanii wa hip hop hata hawawajui na hawana mda nao
 
Black niggas wamejaa roho mbaya na wivu mno kwa wenzao wakitoboa kutoka hood, haijalishi ukiwa kwa gang au lah, kuwindwa kupo palepale.
Ndiyo maana kikawaida ukifanikiwa kwa hood hama mapema kabla hujaanza kuwindwa na mara nyingi wengi wa rappers huhamia ushuani beverly hills, california. Migos walikuwa ni rappers wa kujichanganya kwa hood sana wakifikiri ni kitu kinachowaweka karibu na jamii kumbe kinaqamaliza.
 
We hupajui marekani mkuu, wazungu hawanaga mda na wanamuziki wa hip hop, marekani unavyoiona na ukipata nafasi ya kwenda kuishi ni tofauti na unavyoiona

Ni ngumu sana wazungu kukubali wewe kama mtu mweusi unless uwe exceptional, Kuna wazungu kibao hao wakina Jay z na wasanii wa hip hop hata hawawajui na hawana mda nao

Mkuu zaidi ya series na kifuatilia matukio yao sina kingine nikijuacho 😁😁 siijui Chicago wala brooklyn

Naelewa Racism ni nzito na Blacks ni blacks tu mbele ya white American lakini blacks wanachokihofia ni CANCEL CULTURE ambayo ipo strong sana huko

Leo ukiwa rapper, wanaweza wasiwe na time na muziki wako lakini ukifanya ujinga wanakuundia zengwe la kuua career yako
 
Mkuu zaidi ya series na kifuatilia matukio yao sina kingine nikijuacho [emoji16][emoji16] siijui Chicago wala brooklyn

Naelewa Racism ni nzito na Blacks ni blacks tu mbele ya white American lakini blacks wanachokihofia ni CANCEL CULTURE ambayo ipo strong sana huko

Leo ukiwa rapper, wanaweza wasiwe na time na muziki wako lakini ukifanya ujinga wanakuundia zengwe la kuua career yako
Ukiwa rapper ndo wanakuwinda mno, kiufupi ngozi nyeusi tumejaa wivu mno
 
Mkuu zaidi ya series na kifuatilia matukio yao sina kingine nikijuacho 😁😁 siijui Chicago wala brooklyn

Naelewa Racism ni nzito na Blacks ni blacks tu mbele ya white American lakini blacks wanachokihofia ni CANCEL CULTURE ambayo ipo strong sana huko

Leo ukiwa rapper, wanaweza wasiwe na time na muziki wako lakini ukifanya ujinga wanakuundia zengwe la kuua career yako
Marekani ni nchi nzuri lakin ukifanikiwa kwenda Kuna sense utakua unafeel you're not belong there
 
Sikapendi kale katoto na kufa katachelewa kwakua genge zake zinahusika na mauaji ya rapa wengi mfn.MO3
Na kanaishi km kunguru, kanaishi kwa kujificha muda wote.
Halafu isitoshe hakawezi kufa mapema maana kanalindwa na serikali(FBI & CIA) kutokana na kuwataja members wa Nine Trey Gangstar(NTG)
 
Ripoti mbalimbali zinasema rapper maruufu wa kundi la 'Migos' amefariki kwa kupigwa risasi huko Houston,Marekani.

Bado hakuna taarifa ya kina kuhusu namna tukio lilivyotokea.
View attachment 2403918
Screenshot_20221101-215452.png


R.I.P TAKE OFF

Screenshot_20221101-220028.png


Screenshot_20221101-221050.png


Screenshot_20221101-221649.png
 
Na member mwenzake wa kundi moja, wote wamepigwa Risasi, walikua wakicheza mchezo flani mtaani, kukatokea mabishano, jamaa akachomoa Bunduki.
Quavo hajapiwa wala kudhurika popote
 
Back
Top Bottom