COOLIO..Kuna rapper mmoja mkongwe maaruf tu jina nmemsahau alozingumzia swala la kuuana alisema huwezi mkuta yeye na akataja marapa wengine malenged wamevaa vaaa marolex,maice ya thaman sana toka enzi hzo na hata sasa kwani yanasababisha usalama kuwa mdogo kwao na hasahasa wakiwa street kama wanavyofanya hawa rapper wa sasa show off nyingi.
We hupajui marekani mkuu, wazungu hawanaga mda na wanamuziki wa hip hop, marekani unavyoiona na ukipata nafasi ya kwenda kuishi ni tofauti na unavyoionaNi kweli mkuu lakini ukiangalia hata black entertainers wengi tu wanaoa race tofauti na yao hasa whites na hata kutojihusisha directly na siasa za races ili kukubalika na hiyo community, kumbuka blacks ni wachache USA na sio wanunuzi wakuu wa muziki kwa hiyo lazma mtu awe cross over artist ili afanye vizuri zaidi
Sikapendi kale katoto na kufa katachelewa kwakua genge zake zinahusika na mauaji ya rapa wengi mfn.MO369 wanamwinda mno yule
We hupajui marekani mkuu, wazungu hawanaga mda na wanamuziki wa hip hop, marekani unavyoiona na ukipata nafasi ya kwenda kuishi ni tofauti na unavyoiona
Ni ngumu sana wazungu kukubali wewe kama mtu mweusi unless uwe exceptional, Kuna wazungu kibao hao wakina Jay z na wasanii wa hip hop hata hawawajui na hawana mda nao
Tekashi bado badoAlianza.
METRO THUG
JUICE WRLD
KING VON
NIPSEY HUSSLE
XX TENTACION
POP SMOKE
YRN TAKEOFF
bado
TEKASHI 69
Ukiwa rapper ndo wanakuwinda mno, kiufupi ngozi nyeusi tumejaa wivu mnoMkuu zaidi ya series na kifuatilia matukio yao sina kingine nikijuacho [emoji16][emoji16] siijui Chicago wala brooklyn
Naelewa Racism ni nzito na Blacks ni blacks tu mbele ya white American lakini blacks wanachokihofia ni CANCEL CULTURE ambayo ipo strong sana huko
Leo ukiwa rapper, wanaweza wasiwe na time na muziki wako lakini ukifanya ujinga wanakuundia zengwe la kuua career yako
Marekani ni nchi nzuri lakin ukifanikiwa kwenda Kuna sense utakua unafeel you're not belong thereMkuu zaidi ya series na kifuatilia matukio yao sina kingine nikijuacho 😁😁 siijui Chicago wala brooklyn
Naelewa Racism ni nzito na Blacks ni blacks tu mbele ya white American lakini blacks wanachokihofia ni CANCEL CULTURE ambayo ipo strong sana huko
Leo ukiwa rapper, wanaweza wasiwe na time na muziki wako lakini ukifanya ujinga wanakuundia zengwe la kuua career yako
TuwekeeVideo mnayo au niwaekee?
Sio wivu, wamerakani weusi Wana usela mavi na uhuni uliopitilizaUkiwa rapper ndo wanakuwinda mno, kiufupi ngozi nyeusi tumejaa wivu mno
Na member mwenzake wa kundi moja, wote wamepigwa Risasi, walikua wakicheza mchezo flani mtaani, kukatokea mabishano, jamaa akachomoa Bunduki.Acha masihara Serious kafa?
Shetani hawataki, wahamie kuinba gospel watakuwa salamaKila baada ya mwezi au miezi miwili rapper anapigwa risasi USA.
Daah Quavo ni kama haamini vile daaah ni huzuni kwa kweli
Na kanaishi km kunguru, kanaishi kwa kujificha muda wote.Sikapendi kale katoto na kufa katachelewa kwakua genge zake zinahusika na mauaji ya rapa wengi mfn.MO3
Ripoti mbalimbali zinasema rapper maruufu wa kundi la 'Migos' amefariki kwa kupigwa risasi huko Houston,Marekani.
Bado hakuna taarifa ya kina kuhusu namna tukio lilivyotokea.
View attachment 2403918
Umemsahau pnb rockAlianza.
METRO THUG
JUICE WRLD
KING VON
NIPSEY HUSSLE
XX TENTACION
POP SMOKE
YRN TAKEOFF
bado
TEKASHI 69
Quavo hajapiwa wala kudhurika popoteNa member mwenzake wa kundi moja, wote wamepigwa Risasi, walikua wakicheza mchezo flani mtaani, kukatokea mabishano, jamaa akachomoa Bunduki.
Kifo yani unaona kabisa hawajui wafanye nini kifo kinatisha usiombe ukioneDaah Quavo ni kama haamini vile daaah ni huzuni kwa kweli
Tekash alizingua nini?69 wanamwinda mno yule