Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
- Thread starter
-
- #61
Watu weusi wangekuwa wamestarabika mtu mweupe asinge ingia ata kidogo kwenye ishu za talentsState sio Poa si Rafiki kwa black mjuaji na mjanja mjanja.
Wanataka Sheep kimya na utii sheria zao.
Asilimia kubwa wanalelewa na mzazi mmojaUsisahau kuna umaskini mwingi USA ndio maana wanajiingiza sana kwenye drugs business na nyingine Haram, poverty, ghettos, malezi ya mzazi mmoja na mengine mengi
Umaskini upo.....ila uhalifu unalipa zaidi huko hasa kuuza drugs na sio wote ni masikini.Usisahau kuna umaskini mwingi USA ndio maana wanajiingiza sana kwenye drugs business na nyingine Haram, poverty, ghettos, malezi ya mzazi mmoja na mengine mengi
Ata movie za black waga sinaonesha lifestyle yaoPolice wa kule wana watreat vibaya sana blacks, ila lifestyle yao na rekodi zao za uhalifu zinachangia hilo.....
Kuna kipindi Obama akiwa Rais alikiri magereza mengi US yamejaa blacks...japo alisema ni tatizo la kijamii zaidi.
Really uharifu ndo unahela sana usaUmaskini upo.....ila uhalifu unalipa zaidi huko hasa kuuza drugs na sio wote ni masikini.
Ni kweli ila magenge mengi ya kiharifu nyuma Kuna Afande pia Sema ndio vile wanapaushiana rangi matukio Yao.Police wa kule wana watreat vibaya sana blacks, ila lifestyle yao na rekodi zao za uhalifu zinachangia hilo.....
Kuna kipindi Obama akiwa Rais alikiri magereza mengi US yamejaa blacks...japo alisema ni tatizo la kijamii zaidi.
KweliNi kweli ila magenge mengi ya kiharifu nyuma Kuna Afande pia Sema ndio vile wanapaushiana rangi matukio Yao.
Yaani ma-afande wana uhusiano na magenge ya kihalifu ?Ni kweli ila magenge mengi ya kiharifu nyuma Kuna Afande pia Sema ndio vile wanapaushiana rangi matukio Yao.
Akupigwa risasi auTupac mtoe hapo
Tena vijana wapuuzi wanasogea mpaka uzunguni nowadays.... sijui nani anawapa kibali shabash! Wapo mpaka Masaki, mbezi na mikocheni waguruguru hawa. Huku ndo napataga fursa ya kuzungumza nao na kupima level zao za utaahiraMm waga ni mgumu sana kuzoeana na kujichanganya na watu ngoja ntajaribu kuwasogelea
Alipigwa ila hakufa yupo hai nitaendelea kuamini hiyo milele japo huo nwaka anapigwa risasi nilikuwa kijana na qkili zangu tena shabiki wake nambaari oneAkupigwa risasi au
Watu wamesibitisha alikufaAlipigwa ila hakufa yupo hai nitaendelea kyamini hiyo molele japo huo nwaka anapigwa risasi nilikuwa kijana na qkili zangu tena shabiki wake nambaari one
Unaiga na kushabikia kuvaa kwao KATA-K, kujichora miili kama machizi na kuvuta mabangi!?!Alipigwa ila hakufa yupo hai nitaendelea kuamini hiyo milele japo huo nwaka anapigwa risasi nilikuwa kijana na qkili zangu tena shabiki wake nambaari one
Hatari sana ignorance ndo chazo kikubwa cha matokeo mengi ata waliosoma nao hamna kituTena vijana wapuuzi wanasogea mpaka uzunguni nowadays.... sijui nani anawapa kibali shabash! Wapo mpaka Masaki, mbezi na mikocheni waguruguru hawa. Huku ndo napataga fursa ya kuzungumza nao na kupima level zao za utaahira
Kama kawaida Kuna matukio yanafanywa kwa higher intelligence na script za kijeshi kabisa hadi watu wanabaki mdomo wazi. Subiri wapishaNe kimaslahi utaskia Mkubwa kaua MkubwaYaani ma-afande wana uhusiano na magenge ya kihalifu ?
Gangs zimewahalibia sana ndo life lao hiloAsilimia kubwa ya rappers waliomo kweny list ni wamekufa wakiwa wadogo sana yaani ila sababu kubwa ni gangs
Hatari sanaKama kawaida Kuna matukio yanafanywa kwa higher intelligence na script za kijeshi kabisa hadi watu wanabaki mdomo wazi. Subiri wapishaNe kimaslahi utaskia Mkubwa kaua Mkubwa
Aisee Pop smoke angekuwa moto mzee Dior.Mzee wa Wait...Hold...Make laugh....Slow down.Nilidownload mixtape yake Woo 2 wiki inayo fuata home robber waka mkill.Ila maisha ya ulaya watu wanaanza kushika hela umri mdogo ila bongo dah watu wamesoma lakin ugumu wa life uko pale pale bac tu..Hao ndio wana sponsor mauaji kwa sababu za kibiashara.
Mtu kama pop smoke wakati anatoka tu ndio kauliwa. Ule msauti wake na style yake kama angeishi ishi muda mrefu lebo za washindani wa lebo yake zingepata shida sana sokon.