Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Sana.Trap yake cyo mchezo.Ulikuwa unamkubali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana.Trap yake cyo mchezo.Ulikuwa unamkubali?
Ni kweli mkuu....Kuna situation ukibabanishwa na police/mkono wa dola inabidi tu utoe taarifa kunusuru uhai wako....hapo unageuka snitch au 'informer' kwa kulazimishwa.Once are snitch always are snitch..
Ukigundulika na gang umekufa.Ni kweli mkuu....Kuna situation ukibabanishwa na police/mkono wa dola inabidi tu utoe taarifa kunusuru uhai wako....hapo unageuka snitch au 'informer' kwa kulazimishwa.
Na soulja boy unamuelewa mzee wa mabuga crack thatSana.Trap yake cyo mchezo.
Hatari sana hapo hamna namnaNi kweli mkuu....Kuna situation ukibabanishwa na police/mkono wa dola inabidi tu utoe taarifa kunusuru uhai wako....hapo unageuka snitch au 'informer' kwa kulazimishwa.
Yap!...unachagua uangukie kwenye mikono ya sheria au gang justice.... hatari sanaUkigundulika na gang umekufa.
Wana kushootUkigundulika na gang umekufa.
Hatari sanaYap!...unachagua uangukie kwenye mikono ya sheria au gang justice.... hatari sana
Uwez toboa..Mwaka huu cjui rapper gan atakula chuma.Yap!...unachagua uangukie kwenye mikono ya sheria au gang justice.... hatari sana
Na jamii ya kule ni kama vile imeshakubali hayo maisha kwa vijana wao.Uwez toboa..Mwaka huu cjui rapper gan atakula chuma.
Sio kitu cha kuwaza icho.Wana kushoot
Gun niza kucheba..Wana kushoot
KweliNa jamii ya kule ni kama vile imeshakubali hayo maisha kwa vijana wao.
Kama pipiGun niza kucheba..
Hatarihako ka lil snupe ilikuaje kapgwa risasi katka umri mdogo kiasi hicho? Kias hata mpiga risasi alishindwa kabisa kukavumilia na kuchukulia tu kwamb kamemkosea sababu ya akili za kitoto!!? Dah
Black people hawaangaliagi ni mwendo wa mtutuhako ka lil snupe ilikuaje kapgwa risasi katka umri mdogo kiasi hicho? Kias hata mpiga risasi alishindwa kabisa kukavumilia na kuchukulia tu kwamb kamemkosea sababu ya akili za kitoto!!? Dah
Half a mil na Soulja Slim walikuwa na potential ya ku blow upWakuu hii ndo list ya wasanii wa hiphop waliokufa kwa kupigwa risasi
[emoji419]Scott la rock 1987,age 25
[emoji419]Paul c 1989,age 24
[emoji419]Danny de boy 1990,age 22
[emoji419]Charizma 1993,age 20
[emoji419]Stretch 1995,age 27
[emoji419]Seagram 1996,age 26
[emoji419]Tupac Shakur 1996 ,age25
[emoji419]Yaki gadafi 1996,age19
[emoji419]B.I.G 1997 ,age 24
[emoji419]Fat pat 1998 ,age27
[emoji419]Big l 1999, age24
[emoji419]Freaky tah 1999 ,age27
[emoji419]DJ uncle al 2001 age32
[emoji419]Jam master jay 2002, age37
[emoji419]Sabotage 2003 ,age29
[emoji419]Camouflage 2003 ,age21
[emoji419]Half a mill 2003 ,age 30
[emoji419]Soulja slim 2003 ,age 26
[emoji419]Mac dre 2004 ,age 34
[emoji419]Blade icewood 2005 ,age 28
[emoji419]Proof 2006, age 32
[emoji419]Big hawk 2006,age 36
[emoji419]Vl mike 2008 ,age 32
[emoji419]Dolla 2009,age 21
[emoji419]Magnolia shortly 2010 ,age 28
[emoji419]Lil snupe 2013,age 18
[emoji419]Doe B 2013 ,age 22
[emoji419]XXX tentacion 2018 ,age 20
[emoji419]Nipsey hussle 2019,age 33
[emoji419]Pop smoke 2020 ,age 20
[emoji419]Takeoff 2022, age 28
[emoji419]AKA 2023 ,age 35
View attachment 2535694
Gunna ni innocent na mpole pale YSL. Thug mistari ya hii track ilitumika mahakamani mwanasheria analaumiwa kutumia entertainment moments kwenye uhalisia"mwendesha mashtaka wa Atlanta wa sasa ni mkali hakawii kufyatua RICO"
yes kwa sasa Young thug na label yake ya YSL wanaface Rico charges walikamatwa member wote wa label wakawa wanaachiwa kwa Plea Deals unakiri kwamba YSL ni genge la uhalifu na sio label basi unaachiwa kungoja maamuzi mengine ya kesi.Gunna yeye alikiri wazi mahakamani kuwa Ysl ni gang
Wengi wameachiwa kabaki Young Thug ambaye kesi imemkalia vibaya majaji hadi wanasoma references ya verse zake ambazo anahamasisha uhuni na kumwambia Jeff hii ndio tabia yako na hadi unaipromote..