Rappers waliokufa kwa kupigwa risasi

Rappers waliokufa kwa kupigwa risasi

Jay Z ni mzaliwa wa Brooklyn na hilo limembeba sana kwenye career yake. Ana tofauti kubwa na wahuni wazaliwa wa hasa Atlanta kina Future, Lil Baby, PrayBoi Carti, Young Thug na Young Stoner Life yake ambalo lote ni genge la wahuni. Atlanta imejaa wahuni na ndio inatoa rappers wengi.

Na makundi yanawalinda vilevile pamoja na kwamba yanawaumiza. Maisha yao ya ovyo, wakati YSL wanapanga kumuua YFN Lucci naye alikuwa na genge lake. Wote hawa wako jela mwendesha mashtaka wa Atlanta wa sasa ni mkali hakawii kufyatua RICO charges.

Na uhuni wa kipuuzi ilimradi kuuishi ugangster. YNM Melly kafunguliwa mashtaka kwa kumuua rafiki yake na kumuendesha hadi kwenye mamlaka akidai sijui wamevamiwa. Wakaja tumia nyimbo zake mbili kuconnect dots kilichoimbwa na kilichofanyika. NBA Youngboy yuko kifungo cha nyumbani kwa kosa gani sijui lilikuwa. Last month Tory Lanez niliona mzee wake anafoka mahakamani baada ya mwanae kukutwa na hatia ya kutumia silaha dhidi ya Cardi B.
Wanaforce uhuni

Sio Cardib ni megan thee stallion
 
Nipsey Hussle alisema ukweli kipindi Anamalizia Ngoma take ya mwisho Kabla ya kuuliwa ( Racks in the middle) kuwa bug Fish wanauwa kudabo mauzo mana mtu akiuliwa au kufa mauzo anaenda mbali kuliko kawaida.
Pop Smoke Mzee wa The woo.. Dah Trap ni trap kweli
Kuna wengine wameuliwa kwa chuki tu..
 
Wakuu hii ndo list ya wasanii wa hiphop waliokufa kwa kupigwa risasi
[emoji419]Scott la rock 1987,age 25
[emoji419]Paul c 1989,age 24
[emoji419]Danny de boy 1990,age 22
[emoji419]Charizma 1993,age 20
[emoji419]Stretch 1995,age 27
[emoji419]Seagram 1996,age 26
[emoji419]Tupac Shakur 1996 ,age25
[emoji419]Yaki gadafi 1996,age19

[emoji419]B.I.G 1997 ,age 24
[emoji419]Fat pat 1998 ,age27
[emoji419]Big l 1999, age24
[emoji419]Freaky tah 1999 ,age27
[emoji419]DJ uncle al 2001 age32
[emoji419]Jam master jay 2002, age37
[emoji419]Sabotage 2003 ,age29
[emoji419]Camouflage 2003 ,age21
[emoji419]Half a mill 2003 ,age 30
[emoji419]Soulja slim 2003 ,age 26
[emoji419]Mac dre 2004 ,age 34
[emoji419]Blade icewood 2005 ,age 28
[emoji419]Proof 2006, age 32
[emoji419]Big hawk 2006,age 36
[emoji419]Vl mike 2008 ,age 32
[emoji419]Dolla 2009,age 21
[emoji419]Magnolia shortly 2010 ,age 28
[emoji419]Lil snupe 2013,age 18
[emoji419]Doe B 2013 ,age 22
[emoji419]XXX tentacion 2018 ,age 20
[emoji419]Nipsey hussle 2019,age 33
[emoji419]Pop smoke 2020 ,age 20
[emoji419]Takeoff 2022, age 28
[emoji419]AKA 2023 ,age 35
View attachment 2535694
kipinidi cha miaka ya kuanzia 2005 mwanza ulikuja huu mtindo wa makundi sema tu kulikua hakuna bunduki ila vijana waliuana sana kwa visu makundi kama
Wa2facka
Wakutimba
Akadabradabra
i1{inasomeka ai one}
Mazabe
36chambers
Mapimpiro
Watoto wa wakoma
na mengine mengi zilianza mishe kama hizi hizi uvutaji na uuzaji bangi, pariki na kuberi pamoja na mademu yalikua yanaleta ugomvi na kutemeshana unakuta mtu anakitu ananyang'anywa shukuru mungu aliingia kamanda mroto wakavidhibiti
 
Tatizo ukiwa kwenye gang then ukatusua basi wenzako wote wanataka mgawo wao, ukiwatosa unakuwa target, ndio maana wengi wanauliwa na gang members wenzao, tatizo lingine ni biashara ya madawa, gang zina tabia ya kumiliki mtaa akitokea mwingine kutoka gang nyingine kufanya biashara eneo lao ni kifo tuu, na kwenye gang culture hakuna nafasi ya kufanya makosa na unaweza kuuliwa kwa ajiri ya dola 20 au demu, vijana wengi sana kutoka familia za Kiafrica kama Liberia, Somalia etc ambao wamezaliwa US siku hizi nao wameingia kwenye culture hii ya ovyo, like Minneapolis nasikia vijana wa Kiafrica wanakufa kama kuku na wanauana wenyewe kwa wenyewe
 
Tatizo ukiwa kwenye gang then ukatusua basi wenzako wote wanataka mgawo wao, ukiwatosa unakuwa target, ndio maana wengi wanauliwa na gang members wenzao, tatizo lingine ni biashara ya madawa, gang zina tabia ya kumiliki mtaa akitokea mwingine kutoka gang nyingine kufanya biashara eneo lao ni kifo tuu, na kwenye gang culture hakuna nafasi ya kufanya makosa na unaweza kuuliwa kwa ajiri ya dola 20 au demu, vijana wengi sana kutoka familia za Kiafrica kama Liberia, Somalia etc ambao wamezaliwa US siku hizi nao wameingia kwenye culture hii ya ovyo, like Minneapolis nasikia vijana wa Kiafrica wanakufa kama kuku na wanauana wenyewe kwa wenyewe
kama south africa
 
Sijui kwanini Jef alikuwa na hii ego ya kutaka kuwafurahisha machokoraa wenzake aisee angetakiwa amute tu aendelee kula maisha yake taratibu tu na angeamua kubadilika angeweza,

Pale Atlanta hakuna mtu aliyekuwa mhuni kama Radric Delantic Davis( Gucci Mane) lakini huwezi amini alibadilika totally mpaka watu wakaeneza conspiracy theory ya kwamba jamaa ni Cloned tangu atoke jela maana zile violence zake za kupigana risasi studio akaziacha kabisa na akawa hajihusishi na gangs kabisa

Wasanii wengi wa Atlanta walikuwa kwenye gangs enzi hizo lakini walipokuwa wameacha kabisa tangu enzi za Kina TI,ANDRE 3000,big boi, mpk sasa kizazi cha kina Jef.kifo cha Lil keed hata mimi kiliniuma sana yaani

Gunna kwa sasa anatengwa sana kuanzia kwa wasanii wenzake wa Atlanta mpk na wengine huwezi amini hadi lil baby eti alimuunfollow Gunna instagram kwa sababu hizo na wakati lil baby na Gunna ni moja ya Duo tamu sana iliyowahi kutokea pale Atlanta ukiachana na Rae Sremmurd..

Pia nilishangaa hadi Lil Durk amemuunfollow jamaa wakati inajulikana wazi kwamba jamaa alikuwa anapambania rohi yake ni innocent asingeweza kubeba misalaba isiyomhusu ambayo hata haikuwah kumpa faida hata siku moja..Snitch wa Taifa anajulikana ni hako kajamaa ulikokataja kenye rainbow hairs anajitia mhuni wakati hajawahi hata kukaa jela wala kula shaba hata ya mguu
Sio shabiki wa Gucci Mane ila Kodak Black nae katulia tangu atoe Too Many Years ft PnB Rock alimaanisha alichoimba. Ni kama NBA alivyotoa Heart & Soul alivyotoka jela na Sincerely, Kentrell album. Ila bado yuko chini ya uangalizi wa kisheria
 
Eminem 2001 alishapewa miaka MIWILI ndani kwa kukutwa na Bunduki.
Na kesi ilikuwa alimwe miaka mitano ndani ila ndio vile sifa akapewa mwanasheria wake kwa Kumpa ushauri na majaji wakampunguzia adhabu hadi miaka MIWILI. [emoji23]
Mambo ya kufumaniana night clubs na mtu ambae hamjaachana.
Noma sana
 
Hii ilisababisha mpaka ikaanzishwa kampeni ya protect black art na mimi nilisaini petition ya kupeleka muswada kwamba mahakamani lines za music zisitumike katika michakato ya uendeshaji kesi...

Gunna kweli ni innocent na ktk statement yake ya Plea deal akasema "mimi nilijiunga YSL kwa kuwa na intetion ya kusogeza mbele career yangu kwa kushirikiana na vijana wenzangu nikijua kuwa ni label sikujua kwamba ni gang''

Huyu nae wamemuweka kwenye group la masnitch eti kamsnitch Thug wakati hadi mdogo wake Thug alichukua plea deal na kutoa statement inayofanana na ya Gunna,one day tutasikia jambo baya kwa Gunna pia
Hatari sana haya mambo
 
Mimi ni shabiki mkubwa wa Jeffery ila najua ni mhuni na jambazi. Tatizo lake anataka kuwafurahisha machokoraa wenzie alioishi nao hood. Hata aliowabebelea YSL wengi kawatoa uko na ukitazama producers wake wengi ni Atlanta natives.

Gunna hana hatia kabisa tena mpole vile. Aliyeniuma zaidi ni Lil Keed alikufa ile wiki kina Thugger wanakamatwa na kwenye kesi hakuwepo. Bado lean na percocets zitawamaliza tena kina Future hao.

Snitch alikuwa 6ix9ine, we tangu lini mzaliwa wa New York akawa mhuni. Kalifungwa siku chache kakaropoka yote. Yani ni kama ukutane na Mzalamo wa Kijichi eti anajichanganya na wavuta bangi wa Unga limited utarajie awe kama wao, ukimbinya tu anayataja.
Gunna nina wasiwasi na usalama wake pia
Mzalamo wa kijichi[emoji23]
 
Sijui kwanini Jef alikuwa na hii ego ya kutaka kuwafurahisha machokoraa wenzake aisee angetakiwa amute tu aendelee kula maisha yake taratibu tu na angeamua kubadilika angeweza,

Pale Atlanta hakuna mtu aliyekuwa mhuni kama Radric Delantic Davis( Gucci Mane) lakini huwezi amini alibadilika totally mpaka watu wakaeneza conspiracy theory ya kwamba jamaa ni Cloned tangu atoke jela maana zile violence zake za kupigana risasi studio akaziacha kabisa na akawa hajihusishi na gangs kabisa

Wasanii wengi wa Atlanta walikuwa kwenye gangs enzi hizo lakini walipokuwa wameacha kabisa tangu enzi za Kina TI,ANDRE 3000,big boi, mpk sasa kizazi cha kina Jef.kifo cha Lil keed hata mimi kiliniuma sana yaani

Gunna kwa sasa anatengwa sana kuanzia kwa wasanii wenzake wa Atlanta mpk na wengine huwezi amini hadi lil baby eti alimuunfollow Gunna instagram kwa sababu hizo na wakati lil baby na Gunna ni moja ya Duo tamu sana iliyowahi kutokea pale Atlanta ukiachana na Rae Sremmurd..

Pia nilishangaa hadi Lil Durk amemuunfollow jamaa wakati inajulikana wazi kwamba jamaa alikuwa anapambania rohi yake ni innocent asingeweza kubeba misalaba isiyomhusu ambayo hata haikuwah kumpa faida hata siku moja..Snitch wa Taifa anajulikana ni hako kajamaa ulikokataja kenye rainbow hairs anajitia mhuni wakati hajawahi hata kukaa jela wala kula shaba hata ya mguu
Hatari sana
 
Back
Top Bottom