Rashford kwishaa. Wazungu ni watu wabaya sana

Rashford kwishaa. Wazungu ni watu wabaya sana

Yani inasikitisha. Sasa hivi imethibitika baada ya Rashford kulewa Huko Belfast north Ireland alikuwa na girlfriend wake mfaransa aksmfukuza kwenye chumba hotelini kwa kumtupia nguo zake zote nje na vitu vyake.

Huyo binti alilia sana nakwenda reception.

Inasemeka alikuwa anamgombeza Rashford kwa kucheat na binti mwengine kwenye club kwa kukiss mbele yake huyo binti alimmaind Rashford kwa kumkosea heshima na rashford kumuambia unajua mimi ni nani?
Sasa vyombo vya habar vimekomaa.
Ohoo! Asubirie kesi ya udharirishaji na kudaiwa fidia
 
Inaonekana Mikumbwtio Kumi ana wa stress/bull sana vijana wake. Majority hawana furaha haswa alio wakuta kama classmate wangu Harry Maguire Shemndolwa.
 
Excuse za kipumbavu. Weusi mna madeko sana. Yaani watu wasiandike sababu wewe ni mweusi? Ufanye upumbavu wakuache sababu ni mweusi? Hamjiamini na walalamishi sana. Kwani mliombwa kwenda kucheza au kuishi huko? Rudini basi afrika. Akina Etoo, Drogba, Roger Milla, Michael Jordan hawa ni rangi gani? Wana utajiri kiasi gani? Acheni kujiregeza kazeni makalio mbwah nyie.

Chizi Maarifa kumbe kuna muda dishi linashika uchizi unapotea.
 
Kwani Trashford kaanza lini kushuka kiwango? Matter of fact hajawahi kuwa above average, it was all hype for one season.

Mtu afanye ujinga afu watu wamtetee?

Wewe ukiacha kwenda kubeba box (no pun intended) kwa starehe zako, unataka boss wako akuchekee tu?
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Rashford overrated player hamna sticker mule
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Mimi nasubiri wadenish watakavyomfanya Maghayo siku wakimkamata na hashish😎 Mzukah!
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Acha upumbavu kwa hiyo Mane kumpiga Sane unaona sio kosa?
 
Ila huo ni utoto sana
Unalewa tequilas mpaka saa 9 ya usiku
Kuna mengine tunajitakia tu
Kama kaonewa sawa ila paparazzi wa huku wanasaka habari za moto na ukweli ili wauze magazeti sio sisi mwandishi wa habari kakaa ofisini anasubiri aambiwe Bus limeacha njia huku 😄
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Bora tuendelee kuonewa na kunyanyaswa hadi tutakapoanza kujitambua na kujithamini...

Tuna kila kitu, tuanze kujenga kwetu. hayo yote yatatufuata kama ambavyo wanamfuata mwarabu sasa
 
Kuna mwamba mmoja huwa anapost mapesa Mengi na magari ya kifahari ni floyd mayweather aisee wanamlia rada tu siku akiingia Kati ...kitaelewaka ni kumfilisi tu
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Tahadhari, ukiwa na wazungu achana na uswahili wa kudanganya danganya bora useme ukweli wako uombe radhi kwani wakigundua umedanganya umekwisha.
 
Mzuka wanajamvi.

Hawa wazungu hasa wana habari wanawamaliza sana jamii ya kiafrika hasa kwenye michezo.

Wasipokuundia mizengwe ya ubakaji basi watasubiri tu utende kosa flani na kukuathiri kisaikolojia hadi ushindwe kufanikiwa kwenye michezo.

Sasa hivi Marcus Rashford (mpemba) mshambuliaji hatari wa Manchester United anaandamwa sana kisa alilewa sana na kusingizia kuumwa kukosa kwenda mazoezini.

Yani watamuandama huyu dogo hadi atashuka zaidi kwenye soka.

Tumeona jinsi walivyomuandama Lewis Hamilton kwenye formula one hadi jamaa sasa hivi msindikizaji.

Tumeona kwa Naomi Osaka kwenye tennis.

Tumeona sasa hivi kwa Kyle Walker beki wa Man City.

Tunaona kwa Jonathan Majors muigizaji maarufu Hollywood.

Tuliona kwa Michael Jackson

Tuliona kwa Mario Baloteli.

Tuliona kwa Benjamin Mendy.

Tunaona kwa Jadon Sancho.

Tuliona kwa will smith.

Tuliona kwa Sadio Mane Bayaan.

Tumeona kwa Romelu Lukaku.

Tumeona waziwazi walivyomnyima Etoo balloon dor.

Tunaona kwa Meghan markle mke wa Prince Harry.

Tuliona kwa kina dada venus na serena Williams.

Ila Mungu bado anatupigania mannigers

Walijaribu sana kuwaangusha kina Husain Bolt, Michael Jordan, Shark wakashindwa. Walimsingiziaga Kobe kabaka.

Wamejaribu sana kwa lebron James wapiii.

Rashford tunakuombe yote haya utapita tu.
Rashford hana uhusiano na Pemba ana asili ya Carribean America huko.
 
Inasemekana alikuwa anamgombeza Rashford kwa kucheat na binti mwengine kwenye club kwa kukiss mbele yake huyo binti alimmaind Rashford kwa kumkosea heshima na rashford kumuambia unajua mimi ni nani?
Sasa vyombo vya habar vimekomaa.
Source Inasemekana.
 
Excuse za kipumbavu. Weusi mna madeko sana. Yaani watu wasiandike sababu wewe ni mweusi? Ufanye upumbavu wakuache sababu ni mweusi? Hamjiamini na walalamishi sana. Kwani mliombwa kwenda kucheza au kuishi huko? Rudini basi afrika. Akina Etoo, Drogba, Roger Milla, Michael Jordan hawa ni rangi gani? Wana utajiri kiasi gani? Acheni kujiregeza kazeni makalio mbwah nyie.
Mbona Manara mweupe lakini ni bingwa wa kudeka.
 
Back
Top Bottom