Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]amekubali kiaina, kubali kiaina.
amekaaaaa
Mbona kama sio yeye? Nahisi mnataka kumchafua tu. Bado nitakuwa wa mwisho kuamini hii.
Wakuja tulia tu hapo hapo utamjua tu wala ucjaliMbona kama sio yeye? Nahisi mnataka kumchafua tu. Bado nitakuwa wa mwisho kuamini hii.
Huyo wa Uphilipino nasikia anaua kuanzia watumiaji(addicts) mapusha na madrug dealersKuna watu wanaua wauza unga nyie mnawashangaa.
China muuza unga anapigwa risasi ya kichwa hadharani na ma afisa wa polisi kama maonyesho ya kutuma message kwa wengine.
Haya raisi wa ufilipino yeyeana ghost squad kwa ajiri ya kubinya kimya kimya wauzaji wa haya maunga.tunamshangaa pia kwanini anafanya hivi.
Indonesia nao kama china, unapigwa risasi ufe tu.
Kifupi sijaona kama kweli tumeamua kukataa haya madude, serikali au taifa kwa ujumla.
Siyo yeye, nitakuwa wa mwisho kuamini
Jana nimewasikia SHILAWADU wanamkakati wa kumsaidia wameanza na kutoshare ile picha yk wanadai ni kumdhihakikipindi kile baada ya kumfanyia fujo Ray C, nakumbuka na nilimsikia kwa masikio yangu akiwa Clouds FM radio, kipindi cha XXL walikuwa wanamsaidia kumsafisha kwenye jamii kwamba hatumii haya madawa, ikafikia hatua hata wale watangazaji wakawa design kama wana condemn ray c kumfuatilia jamaa na kumzushia haya maneno kwamba anabwia unga hhuku wakijua fika kwamba jamaa ni teja, kwanini hao watu nao wasichukue jukumu la kumsaidia kumsafisha kimwili na kiakili ikiwezekana kiroho kama walivyomsafisha kwamba hatumii madawa?simply nao wako katika kundi hilo hilo na utumiaji wa madawa ya kulevya, hii stage aliyofikia chid tusubirie tuu kufa kwake kwa overdose, au kuuliwa na raia kwa wizi, ama kulawitiwa ili apewe madawa