Godwin Mole
Member
- Jan 15, 2014
- 10
- 3
Ni shidaaa!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka nyie ni maProf.wa Kiswahili.bila shaka ulikuwa unamaanisha nakala tepe.
Bila shaka nyie ni maProf.wa Kiswahili.
Nilipata B,..Soma vizuri wanavyokosoana kuhusu ''Soft Copy'' utajua namaaninsha nini...Prof.unatakiwa uwe beyond others' thinking capacity otherwise utapoteza hicho cheo.Kwani Kiswahili ulipata ngapi mdogo wangu? Wastani wa Ufaulu wa Kiswahili Tanzania unaufahamu pamoja na kuwa Kiswahili ni lugha (sio kabila) tena inayotumiwa zaidi katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara? Je ulimaanisha nini ulipowataja wahusika kuwa " maProf.wa Kiswahili"? Na ina uhusiano gani na mjadala wa Katiba hii? Tutakupima kwa majibu yako!
Nilipata B,..Soma vizuri wanavyokosoana kuhusu ''Soft Copy'' utajua namaaninsha nini...Prof.unatakiwa uwe beyond others' thinking capacity otherwise utapoteza hicho cheo.