Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mie nashindwa kuelewa umuhimu wa Rasimu maana imeshindwa kuelekea kwenye lengo la serikali moja na sasa kutaka kuongeza serikali hii si haki kwa watanzania. Lazima tutambue vipaumbele vya taifa letu ni vyema rasimu ingejikita zaidi kuhusu maswala ya kilimo na kuangalia ni jinsi gani watanzania tutanugaika na rasilimali za taifa kwa kuwapa kipaumbele wazawa. Naomba kuuliza hivyi ni chuo gani kinafundisha experience maana siku hizi kila kazi wanataka experience hii ni kujitengenezea mianya ya rushwa na kuruhusu nafasi za wazawa kuchukuliwa na wazaa alafu mnatudanganya big result now. sikubaliani na hili ili tuendelee ni lazima uchumi wa taifa letu ushikiliwe na wazawa na si wageni maana hawajui uchungu wa watanzania vijana tuamke tukomboe taifa letu.
 
Mambo muhimu kwa taifa letu kwanza ni kukuataa viongozi wategemezi maana hao wanauza nchi nataka nikuambie wewe myanzania Tanzania kwa sasa si huru tena maana tunatawaliwa na ndio maana budget yetu inategemee wageni vijana wasomi wapo ajira hazipatikani maana wawekezaji wanakuja na watu wao nakusingizia watanzania hawawezi nini umuhimu wa kuwa na vyuo vyingi visivyo toa fursa ya kuajiriwa sielewi wanasiasa wa taifa hili yaani wameshikilia sana swala la serikali tatu na mbili ktk rasimu mpaka wanasahau kero za wananchi. Mie nataka serikali moja kama haiwezekani basi haina haja ya kuwa tunaburuzwa hasa watanganyika tulio wengi wajumbe wa kuteuliwa zanzibar na bara nusu nusu sensa wako milioni moja na nusu si haki kabisa lazima tubadilike viongozi tuthamini kilimo, uvuvi, ufugaji na kuhusu maswala ya madini na gesi watanzania bora uwekezaji huu uachwe kwanza maana vijana wanamaliza maswala ya madini hawapati nafasi kwenye sekta hizo inaumiza kuona wageni ndio wengi kwenye sekta hizo na hata ulipaji wa mishahara inaonea sana wazawa tunaipeleka wapi tanzania.
 
Mambo muhimu kwa taifa letu kwanza ni kukuataa viongozi wategemezi maana hao wanauza nchi nataka nikuambie wewe myanzania Tanzania kwa sasa si huru tena maana tunatawaliwa na ndio maana budget yetu inategemee wageni vijana wasomi wapo ajira hazipatikani maana wawekezaji wanakuja na watu wao nakusingizia watanzania hawawezi nini umuhimu wa kuwa na vyuo vyingi visivyo toa fursa ya kuajiriwa sielewi wanasiasa wa taifa hili yaani wameshikilia sana swala la serikali tatu na mbili ktk rasimu mpaka wanasahau kero za wananchi. Mie nataka serikali moja kama haiwezekani basi haina haja ya kuwa tunaburuzwa hasa watanganyika tulio wengi wajumbe wa kuteuliwa zanzibar na bara nusu nusu sensa wako milioni moja na nusu si haki kabisa lazima tubadilike viongozi tuthamini kilimo, uvuvi, ufugaji na kuhusu maswala ya madini na gesi watanzania bora uwekezaji huu uachwe kwanza maana vijana wanamaliza maswala ya madini hawapati nafasi kwenye sekta hizo inaumiza kuona wageni ndio wengi kwenye sekta hizo na hata ulipaji wa mishahara inaonea sana wazawa tunaipeleka wapi tanzania.

Unataka serikali moja, nadhani nakubaliana na wanachi wengi upande wa Tanganyika wanataka hivyo; hata hivyo wananchi wengi upande wa Zanzibar wameshaufundishwa kutokutaka serikali moja na huwezi kuwalazimisha waikubali serikali moja. Je jibu lake liwe nini? Kwa vile huwezi kuwalazimisha Zanzibar serikali moja, na vile vile hutakiwa watangayika waburuzwe wakiwa wanaamuliwa mambo yao na wabunge wa Zanzibar walioko kwenye bunge hilo linaloitwa la Muungano lakini pia linasimamia mambo ya Tanganyika pia, toa maoni ya wazi kusaidia kutatua mgongano huo. Huwezi kujadili mambo mengine ya katiba bila kwanza kufafanua muundo wa serikali kwani serikali ndiyo inayotakiwa kusimamia katiba hiyo.
 
The good thing about this game is, mwishowe itakuwa waliodhaniwa ni WASOMI NA WACHUMI WAKUBWA WA NCHI HII kwamba si lolote wala si chochote. Mshauri wao anaweza kuwakana kwa vile tayari lengo limeshatimia. Kuwamaliza kwa kutumia madhaifu yao ya kupenda kusifiwa. Usipoweza kusoma upepo na mwelekeo wake hali yako ni mbaya sana. Utaishia kutukana kutishia na hata kuua ukidhani kweli utaaminika tena. Toka mwanzo wa masuala haya ya Katiba Mpya kulikuwako na washauri ambao hawakuwa na nia njema na nchi hii, Shukuru Mola kwa waliotambua mapema na kubadili mwelekeo haraka. Ndio maana hata kulikuwa na ufadhili mwingi wa kutupumbaza tusiwaelewe. Pole yao waliobaki na misimamo ya mwanzo, lakini hongera kwa waliosimama kidete kusimamia maslahi ya nchi yetu kwa ujumla wake. Wananchi tupo nyuma yenu.
 
Serikali 1 ndo mpango jamani kama 1 imeshindwa kutimiza matakwa ya wana nchi mbili ndo zitaweza ni maoni tu
 
Katiba mpya LAZIMA siku Mona itakuja patikana!!!! Lakini tayari itakuwa imetugharimu vibaya sana!!!!... ila naendelea kumuomba MUNGU atunusuru kwA ubaya wowote!!!!.... MUNGU ibariki Tanzania.
 
Mchakato wa serikali tatu unamaana kubwa kwa tuliofikiria kama wengine na sio kuongeza gharama tunachohitaji ni Accountability & Transparence of Good Governance na sio uendeshaji wa gharama maana uendeshaji wa serikali yoyote ule una gharama kubwa na si kidogo lakini kama wanaoendesha hawajui nini maana ya uwajibikaji na uwazi wa serikali adilifu ni tatizo kubwa sana tena zaidi ya sana..nawasilisha maoni yangu wakuu..
 
Hahahah nacheka sanaaaa ninapoona magari ya maji ya kuwasha kila kona arusha na askar polis walovaa kama wanaenda darfur kwan ninakumbuka Nelson mandela alivokua akipambana na majeshi ya makubur na hali hii inanionyesha kwa Tanzania itakombolewa na kuwa na democracia ya kweli mda c mrefu.
 
Wanadhani kuwa still Tanzanians ni walewale wa mwaka 1947 kuwapeleka wanavyo taka,uonevu ukizidi alternative means ya kusaka haki inabid ipatikane,hatuombei mabaya Tz yetu lakini viongozi wanatakiwa wawe makini sana,kuna haki nyingine yan tunadhurumiwa hivi hivi. Yan hata bila kuficha sijui hawaoni haya duuuu
Haya walioba huyo anarudi mtaani wasipo mtoa mkuku na yeye sijui,,,,,Eeeeh Mungu itazame Tz
 
Back
Top Bottom