Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

shida ipo lakini kwenye sehemu zao ni majanga eti wabunge wae mawaziri, pia wananchi hatuna nguvu ya kumwajibisha mbunge tulio mchagua na hakuna ukomo wa kugombea wala elimu.
 
Katiba inayopendekezwa Safiiiiiiii...wote tuache majungu tuipokee tuisome then tuipe kura ya ndio

Hapana ingawa baadhi ya sura ni nzuri lakini kwenye sura za kisiasa hapana hapana hapana. kuendelea kuwa na wabunge mizigo imetosha.
 
Jamaa walitaka matumizi ya pombe aina ya "gongo" yaruhusiwe na katiba, sasa imeshindikana ndo maana wanaingia mitaani kuipinga, kisa GONGO HAIJARUHUSIWA NA KATIBA kama babu yao alivyowahaidi!
 
Wananchi wenzangu tuweni makini na wanasiasa. Tusidanganyike kuwa eti wako kwa ajili ya maslahi ya nchi na wananchi wake. Lets be care
 
Jamaa walitaka matumizi ya pombe aina ya "gongo" yaruhusiwe na katiba, sasa imeshindikana ndo maana wanaingia mitaani kuipinga, kisa GONGO HAIJARUHUSIWA NA KATIBA kama babu yao alivyowahaidi!

Ukiwa huna hoja kaa kimya acha kuachangia ujinga wako humu ndani tena heshimu sana hili jukwaa.
 
Tusemeni ukweli tukiwekewa rasimu iliopelekwa bungeni na MZEE warioba na ile iliopendekezwa nawana BMK IPI tutaipigia kura??
 
Tofauti kubwa iko katika Muungano na muundo wa serikali na katika kuwawajibisha viongozi. Kama ni msomi mzuri hukurupuki kushabikia wanaoipinga ila utapinga kwa kuchambua kwa makini tofauti kuu na vinavyopunguza ubora. Kuna maswala ambayo katiba inayopendekezwa imefanya vizuri. Tusiwe kama CCM na CHADEMA ambao wanakurupuka kulinda maslahi yao bila kujali yanayopendekezwa!
 
Tofauti kubwa iko katika Muungano na muundo wa serikali na katika kuwawajibisha viongozi. Kama ni msomi mzuri hukurupuki kushabikia wanaoipinga ila utapinga kwa kuchambua kwa makini tofauti kuu na vinavyopunguza ubora. Kuna maswala ambayo katiba inayopendekezwa imefanya vizuri. Yusiwe kama CVM na CHADEMA ambao wanakurupuka kulinda maslahi yao bila kujali yanayopendekezwa!

Sisi tunauelewa kuliko unavyofikilia wewe! Katiba mpya ni ile yenye maoni ya wananchi na kwa hali ilivyo kwa sasa serikali tatu, mbunge kutokuwa waziri, mbunge kuwa na ukomo, na wananchi kuwawajibisha viongozi ndicho tunachokitaka.
 
Sisi tunauelewa kuliko unavyofikilia wewe! Katiba mpya ni ile yenye maoni ya wananchi na kwa hali ilivyo kwa sasa serikali tatu, mbunge kutokuwa waziri, mbunge kuwa na ukomo, na wananchi kuwawajibisha viongozi ndicho tunachokitaka.

Hapa uko wazi zaidi na unaeleweka... hizi ndio hoja zako... ila uneona wengine wanavyosema? Usisahau waliodsi na kuanzisha mchakato huu sio wananchi... tulikuja kushirikishwa tu na hsya ndio matokeo...
 
Hapa uko wazi zaidi na unaeleweka... hizi ndio hoja zako... ila uneona wengine wanavyosema? Usisahau waliodsi na kuanzisha mchakato huu sio wananchi... tulikuja kushirikishwa tu na hsya ndio matokeo...

Ebu nikumbushe wengine wanasemaje Profesa; naamini katika mchanganyiko wa mawazo mbalimbali.
 
Mawazo yoye no mazuri, lkn tutafakalini sana,tatizo hapa no mfumo ulipo madarakani, people r so selfish bwana. Viongozi wetu baadhi wanaish maisha ya kukufuru wakati tulowapigia kura hats mlo mmoja ni shida. Guys tutafakali sana
 
Back
Top Bottom