Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Serekali tatu maana yake kifo cha muungano.
[1] Serekali ya Tanganyika itakuwa na nguvu kuliko serekali ya shirikisho.
[2] Serekali ya Zanzibar haina uwezo wa kuchangia gharama za serekali ya shirikisho.
[3] Serekali ya Tanganyika itachangia uendeshaji wa serekali ya shirikisho lakini pia itapendakuona serekali ya Zanzibar inachangia nini ?.
[4] Namwona Yetzin akiibukia ndani ya serekali ya Tanganyika na kuuvunjilia mbali shikisho la kinyonyaji.
(a) Zanzibar lazima walipe gharama za ulinzi na usalama sio kufurahia saluti za wanajeshi.
(b) Zanzibar lazima ichangie gharama za wabunge wake wanaiwakisha katika bunge la muungano.
(c) Rais wa Zanzibar akija Tanganyika atahesabika kama mkuu wa mkoa wa Pwani.
(d) Wazanzibar waliojazana Tanganyika watahesabiwa kama wageni ikiwa suala la uraia kila nchi itaamua itakavyo.Tayari Zanzibar wana uraia wa Tanzania na uraia wa Zanzibar,Tanganyika itabidi ianzishe uraia wa Tanganyika ha ha ha tukutane na Zanzibar EAC.
(E) Gharama na marupurupu ya viongozi wa Zanzibar kuanzia Rais na makamu wake wawili zitabebwa na wazanzibar wenyewe.Zanzibar italazimika kulipa bill za umeme kadri inavyotumia kususua TANESCO pia kumechangiwa na Zanzibar kutolipa bill.
(e)
[1] Serekali ya Tanganyika itakuwa na nguvu kuliko serekali ya shirikisho.
[2] Serekali ya Zanzibar haina uwezo wa kuchangia gharama za serekali ya shirikisho.
[3] Serekali ya Tanganyika itachangia uendeshaji wa serekali ya shirikisho lakini pia itapendakuona serekali ya Zanzibar inachangia nini ?.
[4] Namwona Yetzin akiibukia ndani ya serekali ya Tanganyika na kuuvunjilia mbali shikisho la kinyonyaji.
(a) Zanzibar lazima walipe gharama za ulinzi na usalama sio kufurahia saluti za wanajeshi.
(b) Zanzibar lazima ichangie gharama za wabunge wake wanaiwakisha katika bunge la muungano.
(c) Rais wa Zanzibar akija Tanganyika atahesabika kama mkuu wa mkoa wa Pwani.
(d) Wazanzibar waliojazana Tanganyika watahesabiwa kama wageni ikiwa suala la uraia kila nchi itaamua itakavyo.Tayari Zanzibar wana uraia wa Tanzania na uraia wa Zanzibar,Tanganyika itabidi ianzishe uraia wa Tanganyika ha ha ha tukutane na Zanzibar EAC.
(E) Gharama na marupurupu ya viongozi wa Zanzibar kuanzia Rais na makamu wake wawili zitabebwa na wazanzibar wenyewe.Zanzibar italazimika kulipa bill za umeme kadri inavyotumia kususua TANESCO pia kumechangiwa na Zanzibar kutolipa bill.
(e)