RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

Haswaaa mkuu yani hapo ndo patakuwa patamu!swali la kizush,hivi Lowassa atagombea uraisi wa wapi iwapo hii ikipita,Tanganyika ama Muungano?na kina sitta je?
Mmmh! Hii haitaki majibu ya haraka haraka. Inahitaji kutulia na kubungua bongo. Lakini Sitta is out of question. Ila wale wengine sasa. Kwani kama ni shirikisho ni lazima wakubalike Bara na Visiwani. Hivi Lowassa alishachangia miskiti na makanisa kule Zenji?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
maadili yetu utawala na uongozi yameorodheshwa. tume inapendekeza
1. maadili ya viongozi, miiko na kiundwe chombo cha kusimamia maadili ya uongozi. secretariate ya maadili ibadilishwe iwe tume ya maadili inayo jitegemea. mia

*viti maalum vimeondolewa, wabunge mwisho kugombea miaka 15 na hakutakua na uchaguzi mdogo. spika na naibu spika wasiwe wabunge wala viongozi wa siasa. mia

*viongozi wa kisiasa na asasi za kiraia hawatakua na sifa ya kuwa katika tume ya uchaguzi. mia

*serikali ya shirikisho, serikali ya tanzania bara na serikali ya tanzania visiwani. mia
wameongeza mzigo wa wabunge wanawake. inamaana hakutakua tena na mchuano kati ya wanaume na wanawake? kwa nini hao wanawake wasiwawekee nafasi za mikoa badala ya jimbo? tutakuwa na wabunge zaidi ya 600, gharama zimepungua? aafu mbona mambo ya rais kuteua bado yapo? kuna utofauti gani na katiba ya sasa? ikitokea rais mwingine kama jk asiyesikiliza ushauri wa tume na kuteua hawara zake tutakuwa tumeepuka nini?
 
Hahaha hahaha hahaha mpaka watu wanauita ubunge wa chupi dah afadhali.
 
Mbwembwe tu, kutokana na hotuba ya Waryoba sijaona mambo ambayo yanawezakututia matumaini Watanzania.
Bila utekelezaji wa yaliyomo ndani ya katiba hata kama tukiipamba namna gani bado itabaki kuwa uchafu tu!
Msingi mzuri wa katiba nzuri ni kuwa na viongozi waadilifu na wenye uchungu na nchi, na wenye hisia za dhati kabisa ya kuleta maendeleo ya kiuchumi,kijamii, na kisiasa! Kuna matokeo mengi tu ya Tume nyingi tu na yaliyobeba ushauri mwingi na bora kwa serikali, lakini vinaozea maktaba za serikali!
:shock:It is just the beginning of wonders...!:shock:

Well said Mkuu,mwenye macho haambiwi tazama!
 
Sijaona yale masharti 10 yako ya Maalim uliyokuwa unapigia chapuo jana!
Wakati tutakapokuwa tunaandaa katiba yetu ya Tanganyika (mind you hii rasimu ni ya Muungano na siyo ya Tanganyika au Zanzibar) tutapiga marufuku wapemba kufanya kazi huku bila kibali maalumu!na sie kidogo tuwe wabaguzi kama nyie once upon a time...
I like that waekeeni vibali lakini zanzibar iwe freee thats all we want brooo. tumechoka kutawaliwa we need freedom nothing us.
 
Na hao waliojaa cdm hamuwaoni mmemuona vicky kamata peke yake?
 
Rasimu hii haijakidhi matakwa ya Watanzania. Ni ukweli usiopingika kuwa mchakato wa kukusanya na kuaandaa rasimu ulibakwa na walio madarakani. Zaidi ya mwaka mzima wanafanya kazi na kulipwa mamilioni ya shillingi harafu wanakuja na rasimu ambayo imewacha watanzania wakijiuliza lipi jipya hapa?
Japo kenya wamepata katiba mpya kwa kumwaga damu, katiba yao ilikidhi matakwa na mahitaji ya kenya kwa miaka 50 ijayo. Tanzania aibu tupu... katiba hii mpya haiwezi kutosegeza hata miaka 2 mbele. Inakuwaje rais apewe nafasi 5 za kuteua wabunge? Haki hii ni ya watanzania kuchagua na lengo ni kuondokana na vyeo hivi vya kuteuliwa. Mambo ya uraia katika nchi nyingi duniani yameandikwa ndani ya katiba kwa kuwa ndiyo sheria mama. Warioba vipi tena? Anasema eti itungwe sheria ya uraia? Hopeless guy and his team. Hatuna katiba mpya maana haiwezi kupita kwenye kura ya maoni, wameacha mianya mingi wakati watanzania walitoa maoni yao. Vipi kuhusu, TAKUKURU, CAG, AG, DPP, raslimali zetu, mambo haya yanatakiwa ya ainishwe kwenye katiba. Katiba isipo yatamka nani atayasimamia?
I'm very dissappointed in Warioba and his team. Wametuaibisha watanzania, kumbe nao wanafikiri kwa tumbo.
 
Imekuwapo tena thread kama hii. Naona zinajirudia. Hata hivyo sitaki bunge la wanaume watupu. There should be an affirmative action to make sure there are females in the house. These females should be strong people who can argue cases without using tears strategy. Women with convincing power like Prof. Anna Tibaijuka et al. Najua huyu ni wa jimbo huna haja ya kunikumbusha.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Rais bado hajaguswa,kuendelea kuwa mfalme
Hapa ndipo na mimi ninaona kama bado kuna matatizo makubwa sana. Tunatakiwa kuwa kamini sana.
Hii rasimu inatakiwa kuchambuliwa kwa undani sana. Kuna siri ya kuendelea kulea siasa za chama kimoja.
 
masikiiiiiiiiiiiiiiiini pindi chana,mary mwanjelwa,vicky kamata,chiku abwao na wengineo
 
Dah afadhari, maana mi nilitoa maoni kuwe na viti maalumu vya wababa.
 
Tanzania bara ndo nini mbona muna kwepa ukweli sasa wale wa visiwani km kule rufiji wao watakuwa wa wapi ? Achane ubabaishaji hapa Serikali 3 zikiwa ni :
Serikali ya shirikisho
Serikali ya Tanganyika
Serikali ya Zanzibar
huo ndio ukweli
 
safi sana.....tunataka wabunge vichwa tuu....
 
Serikali yetu ya Tanganyika wazanzibar basiiii.. Sasa muende kufanya kazi kwenu...wabunge walioko bungeni sasa basi imetosha, sasa mtakuja wachache kwenye bunge la jamhuri ya muungano. Mpeleke mambo yenu kwenu sasa...
 
I like that waekeeni vibali lakini zanzibar iwe freee thats all we want brooo. tumechoka kutawaliwa we need freedom nothing us.
tunatakaa zanzibar huruuu sio kupangiwa njooo zanzibar nakualika majirani zangu wote ni wandengereko i grow up with them idont call them watanganyika najua wao ni wazanzibar kma mimi. tunatakaaa zanzibar yetuuuuuuuu. hatusikii kitu wala hatutishikiii tena we had enough .
 
Rasimu hii haijakidhi matakwa ya Watanzania. Ni ukweli usiopingika kuwa mchakato wa kukusanya na kuaandaa rasimu ulibakwa na walio madarakani. Zaidi ya mwaka mzima wanafanya kazi na kulipwa mamilioni ya shillingi harafu wanakuja na rasimu ambayo imewacha watanzania wakijiuliza lipi jipya hapa?
Japo kenya wamepata katiba mpya kwa kumwaga damu, katiba yao ilikidhi matakwa na mahitaji ya kenya kwa miaka 50 ijayo. Tanzania aibu tupu... katiba hii mpya haiwezi kutosegeza hata miaka 2 mbele. Inakuwaje rais apewe nafasi 5 za kuteua wabunge? Haki hii ni ya watanzania kuchagua na lengo ni kuondokana na vyeo hivi vya kuteuliwa. Mambo ya uraia katika nchi nyingi duniani yameandikwa ndani ya katiba kwa kuwa ndiyo sheria mama. Warioba vipi tena? Anasema eti itungwe sheria ya uraia? Hopeless guy and his team. Hatuna katiba mpya maana haiwezi kupita kwenye kura ya maoni, wameacha mianya mingi wakati watanzania walitoa maoni yao. Vipi kuhusu, TAKUKURU, CAG, AG, DPP, raslimali zetu, mambo haya yanatakiwa ya ainishwe kwenye katiba. Katiba isipo yatamka nani atayasimamia?
I'm very dissappointed in Warioba and his team. Wametuaibisha watanzania, kumbe nao wanafikiri kwa tumbo.

Nilivyomuelewa Jaji Warioba nikuwa,

Mambo yanayohusu Muungano tu ndio ameyapa sauti,

Lakini yale yanayohusu serikali ya Tz bar au Zanzibar ameziachia serikali hizo ziamue zenyewe!
 
Wakuu,
Mchakato wa Kutengeneza Katiba yetu ya Tanganyika unaanaza lini??????
Cant wait to be not a Tanzanian Citezen, Rather, Citizen wa Tanganyika

I cant wait to see my Tanganyika rising from ASHES
 
Back
Top Bottom