RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

Nadhani ajitolee mtu hapa JF aanzishe thread ya mapendekezo ya marekebisho, kila mtu aweke maoni yake humo ili watu wa tume iwe rahisi kuyapata...
 
hii rasimu 50% iko safi 50% ni upuuzi,rais amebaki kuwa kama mfalme,warioba ana matatizo kichwani,na pia nanusa harufu ya kuendelea kuwa na rais dhaifu madarakani hadi 2017 kutokana na makosa ya makusudi katika hii rasimu,and by that time zitto na january watakuwa 40 years old,hesabu za ------ zitakuwa zimetimia.
 
hii rasimu 50% iko safi 50% ni upuuzi,rais amebaki kuwa kama mfalme,warioba ana matatizo kichwani,na pia nanusa harufu ya kuendelea kuwa na rais dhaifu madarakani hadi 2017 kutokana na makosa ya makusudi katika hii rasimu,and by that time zitto na january watakuwa 40 years old,hesabu za ------ zitakuwa zimetimia.
Mmmmh! Watu mna maono..! Hii inaweza kuwa kweli.
 
Hivi kwa nini watanzania huwa hatutaki kujifunza kwa wenzetu waliofanikiwa? WABUNGE WAWILI KILA JIMBO,MWANAMKE NA MWANAUME...! huu ni upumbavu wa hali ya juu. hapa naona wanataka katiba ihalalishe viti maalumu kwa njia nyingine. kwani kinachoongoza watu ni kuwa na jinsia ya kike au ya kiume au ni uwezo wa mtu?
 
kutakuwa na baraza la wawakilishi la tanganyika na zanzibar na viongozi wakuu watajulikana kama Gavana wa tanganyika.
 
Hii mambo ya men and women representatives hayafai. Mtu mmoja anatosha
 
Serikali tatu is a diversion, but this is a common thread with intellectuals, from Nyalali and now Warioba. This is scarcely new. While I hardly see any utility in the idea, I grant it will remove the awkwardness of our unique union. Sadly, I am not disposed to say the same about our poverty. In fact, you have argued correctly that the added burden of extra bureaucrats will not be negligible.

I do not expect the revival of the use of Tanganyika, a defunct state. That would be confusing and even more awkward than the two government union we have now. To which purgatory did this Tanganyika hybernate for all these years? Did it resurrect like Lazarus?

That said, Tanzania bara is a misnomer if not an outright contradiction, for in Tanzania you have Zanzibar, hence Tan-Zan, which we lived with for sometime while searching for a proper name.

I am not liking either Tanzania Bara or Tanganyika (sentimentalities aside) for this set of Tanzania complement Zanzibar.

I am not sure I like the idea anyway. The bulk of our problems lie with Zanzibaris who want full autonomy (an euphemism for breaking the union), not Tanzanians who want a third government.

In giving Tanzanians a third government, Warioba and team, like a geek programmer sailing high in the tech cloud, provided a technical solution that does not address a nagging pain.

I want to see if they have addressed the nagging pains.

We hasten to add that "Tanzania Bara" is not synonymous with Tanganyika. Indeed, Tanzania Bara is the same geographical region as Tanganyika Bara. It is the non coastal part of Tanzania. The opposite of "bara" is not island. It is coastal.
 
We hasten to add that "Tanzania Bara" is not synonymous with Tanganyika. Indeed, Tanzania Bara is the same geographical region as Tanganyika Bara. It is the non coastal part of Tanzania. The opposite of "bara" is not island. It is coastal.

Wewe unataka wakivunja muungano - watavunja, it is a matter of time- wachukue Tanga, Bagamoyo, Dar na Ukanda na maili 16 za pwani kwa sababu si "Tanzania bara" kihistoria .

Ndo yaleyale aliyochelea Nyerere.

Mara tu watu wa ukanda huu wa pwani nao waseme sie si wa bara wala wa visiwani, tunataka serikali yetu na sie!
 
Hawa wakuu wa mikoa na wilaya wasiwepo,na jaji angechaguliwa na wananchi nasio raisi,na wabunge wa kuteuliwa wasiwepo,Rais ashitakiwe ata akiwa madalakani.
 
Wakuu wa mikoa na wilaya wasiwepo,Jaji achaguliwe na Wananchi,Rais ashitakiwe ata akiwa madarakani,Wabunge wa kuteuliwa wasiwepo,Mawazili wachaguliwe nasio kuteuliwa.
 
Wadau nisaidieni hapa!

Kwa mujibu wa rasimu ya katiba mpya kuna Waandamizi wa serikali yetu ambao watatakiwa kuchaguliwa nje ya vyama vya siasa.

Kinachonitatiza ni kuwa sijawahi kukutana na mtu asiyekuwa na Political affiliation ya upande fulani kulingana na vyama vya siasa vilivyopo sasa nchini.

Kwa mfano Wanajeshi, Polisi au watu wa fani ya sheria na Mahakama wamejionyesha mara kadha kuwa na mvuto na vyama fulani vya siasa.

Je uteuzi wa nafasi hizi utafanyikaje ili kuwapata watu ambao kiitikadi ni 'nyutro' kabisa?
 
Wapo watu wengi tu ambao hawana affiliation na chama kimojawapo cha siasa. Inawezekana wakawa na vitu kadhaa ambavyo wanakubaliana na chama fulani lakini kukawa na vitu vingi tu ambayo hawavikubali katika chama husika. Wengi wetu tunapenda demokrasia na tunataka kuona mabadiliko (read: maendeleo), bila kujali sana yanaletwa na chama gani.

Wengine unaweza kuona wanafanya mambo fulani kwa ajili ya kulinda au kupata maslahi fulani ama binafsi. Na ndio hapa unapata wanaCDM waliomo CCM na pia wanaCCM waliomo CDM (kwa mfano tu!)
 
hapo mkuu inategemeana ila sidhani lakini TUKUMBUKE KINGUNGE NI MPAGANI NA HANA DINI YOYOTE,LABDA WATU KAMA HAO WANAWEZA KUEPO HAPA NCHINI.
 
Wapo watu wengi tu ambao hawana affiliation na chama kimojawapo cha siasa. Inawezekana wakawa na vitu kadhaa ambavyo wanakubaliana na chama fulani lakini kukawa na vitu vingi tu ambayo hawavikubali katika chama husika. Wengi wetu tunapenda demokrasia na tunataka kuona mabadiliko (read: maendeleo), bila kujali sana yanaletwa na chama gani.

Wengine unaweza kuona wanafanya mambo fulani kwa ajili ya kulinda au kupata maslahi fulani ama binafsi. Na ndio hapa unapata wanaCDM waliomo CCM na pia wanaCCM waliomo CDM (kwa mfano tu!)

Hii rasimu mbona tunaifurahia sana? Ngoma nzuri ni KATIBA ya TANGANYIKA a.k.a TANZANIA BARA. Hii ya MUUNGANO kama zitakuwepo serikali tatu haina tija sana. Tusubiri ya Tanganyika
 
Back
Top Bottom