Muhumba wa Mukinyaa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 683
- 1,251
Taarifa inaeleweka ILA hapo kwenye LUGHA ya kufundishia huku MSINGI sio sawa hata kidogo..kuanzia Awali hadi Chuo Kikuu ,lugha ya kufundishia iwe KIINGEREZA..Sisi tunaihitaji Dunia zaidi kuliko yenyewe inavyotuhitaji..Kiingereza ndio KISWAHILI cha dunia
Pili mnawasababishia watoto ugumu wafikapo SEKONDARI
Hebu Mheshimiwa Waziri acheni kutuchezea SHERE Watanzania ..Mbona ninyi watoto wenu wote(Mawaziri, Wabunge et al) wanasoma English Medium..KWANINI?
Hofu ya NINI ikiwa sasa tuna Waalimu wengi wanaojua KIINGEREZA na MIUNDOMBINU IPO
N.B
NINYI ENDELEENI KUCHEZA NA MAISHA YA WATANZANIA, HAKIKA LAANA YA MUNGU ITAWASHUKIA MAANA MNAFANYA KWA MAKUSUDI ILI HALI UKWELI MNAUFAHAMU
Pili mnawasababishia watoto ugumu wafikapo SEKONDARI
Hebu Mheshimiwa Waziri acheni kutuchezea SHERE Watanzania ..Mbona ninyi watoto wenu wote(Mawaziri, Wabunge et al) wanasoma English Medium..KWANINI?
Hofu ya NINI ikiwa sasa tuna Waalimu wengi wanaojua KIINGEREZA na MIUNDOMBINU IPO
N.B
NINYI ENDELEENI KUCHEZA NA MAISHA YA WATANZANIA, HAKIKA LAANA YA MUNGU ITAWASHUKIA MAANA MNAFANYA KWA MAKUSUDI ILI HALI UKWELI MNAUFAHAMU