Pre GE2025 Rasmi: CHADEMA imepevuka kustahili kupewa dola

Pre GE2025 Rasmi: CHADEMA imepevuka kustahili kupewa dola

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Mbowe amesusa shughuli zote za chama. Wafadhili na wadhamini watoa hela wamesusa kuchangia pesa za kuendesha chama wakisema hawamuamini Lissu na genge lake. Kaitisha vikao na vikao watu wamesusa ndio maana mpaka leo hajaongea chochote kwa wanachama wake. Leo eti wapewe dola.

Bado tunaukumbuka wosia wa Baba wa Taifa aliposema nanukuu, "I can't let my country go to the dogs"! Mwisho wa kunukuu.
 
Mbowe amesusa shughuli zote za chama. Wafadhili na wadhamini watoa hela wamesusa kuchangia pesa za kuendesha chama wakisema hawamuamini Lissu na genge lake. Kaitisha vikao na vikao watu wamesusa ndio maana mpaka leo hajaongea chochote kwa wanachama wake. Leo eti wapewe dola.

Bado tunaukumbuka wosia wa Baba wa Taifa aliposema nanukuu, "I can't let my country go to the dogs"! Mwisho wa kunukuu.
Ha ha ha ha Tundu Lissu kabaki kajikunyata....

Nimependa NUKUU yako !

#JMT kwanza kabla ya roho na nafsi zetu!
 
Mbowe amesusa shughuli zote za chama. Wafadhili na wadhamini watoa hela wamesusa kuchangia pesa za kuendesha chama wakisema hawamuamini Lissu na genge lake. Kaitisha vikao na vikao watu wamesusa ndio maana mpaka leo hajaongea chochote kwa wanachama wake. Leo eti wapewe dola.

Bado tunaukumbuka wosia wa Baba wa Taifa aliposema nanukuu, "I can't let my country go to the dogs"! Mwisho wa kunukuu.
Hata huoni aibu!

Viewers tu wa Mkutano wa Lissu kwenye media zilizorusha live zilikuwa si chini ya watu 3000 kila mtandao.

Fuatilia mikutano wa CCM unaorushwa live ukizidi viewers 150 njoo nikupe hela chizi wewe.
 
Stephen Masatu Wassira
Anawaza Na Dollar Yake Watapenyaje
Tanzania Wajinga Wanaelimishwa
 
Hata huoni aibu!

Viewers tu wa Mkutano wa Lissu kwenye media zilizorusha live zilikuwa si chini ya watu 3000 kila mtandao.

Fuatilia mikutano wa CCM unaorushwa live ukizidi viewers 150 njoo nikupe hela chizi wewe.
Ahahahahaha! Viewers 30000 na kuja hapa unaloloma? Ahahahahaha!!!
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Kweli kabisa. Utadhani ni chama tawala jinsi kilivyo na watu wenye akili.
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Changiani ...hii kazi ni kubwa inahitaji wote tushikane..mguu kwa mguu, mkono kwa mkono..
 
Kwenu kufa ndio kupevuka? Umemsikiliza mwenyekiti wako hotuba imejaa vioja badala ya hoja.
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
You could be sick!!

Mna akili za kitoto sana chini ya huyo mhuni Samia sasa analala usingizi wa pono 😂
 
You could be sick!!

Mna akili za kitoto sana chini ya huyo mhuni Samia sasa analala usingizi wa pono 😂
Mwambie aendelee kulala usingizi wa pono. Hii movement inaenda kuwapa elimu kabambe hadi watumishi wa vyombo vya dola ambao ndo nguzo yenu. Wakiamka hawa tu ndo kwisha habari yenu.
 
Lissu anataka michango yenu tu, hizo nyingine ni porojo. Changia kaka kikoba chenu.
Fund raising ndo chanzo kikuu cha mapato ya vyama vya siasa dunia nzima.

Tatizo akili zenu zimeshadumazwa na hao CCM wanaotumiq kodi zenu na mali zao kwa faida zao.
 
Hiki Chama ama kweli kimenivutia.

Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.

Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.

Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.

Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.

Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.

Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.


kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.


Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.

Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.

Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)


Mungu akazidi kuwabariki

Lord Denning
Dubai
Dola siyo Kama sambusa za mama asumani
 
Kuna watanzania na mtanzania ......hivyo wewe kama mtanzania unaweza ongozwa na chadema...sisi kama watanzania hatuwezi ongozwa na chadema sio uchaguzi wa mwenyekiti huu!
Watanzania vichwa maji kama wewe Wazee wa ndioooo hamuwezi waelewa CDM
 
Back
Top Bottom