ndoto ya kimweri
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 413
- 979
Achana na huyo bwege akiibiwa billion akapewa million basi anarukaruka kama chizi huku akisifu zidumu fikra za mwenyekiti 🤣🤣🤣Fund raising ndo chanzo kikuu cha mapato ya vyama vya siasa dunia nzima.
Tatizo akili zenu zimeshadumazwa na hao CCM wanaotumiq kodi zenu na mali zao kwa faida zao.
Yule tapeli mangi alituchelewesha sana. Mkisonga mbele hatua 10, anawarudisha nyuma hatua 7. Shenzi sana yule.Hiki Chama ama kweli kimenivutia.
Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.
Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.
Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.
Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.
Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.
Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.
kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.
Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.
Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.
Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)
Mungu akazidi kuwabariki
Lord Denning
Dubai
Hakika.Fund raising ndo chanzo kikuu cha mapato ya vyama vya siasa dunia nzima.
Mbona mm ni mtanzania na sipo kwenye huo umoja wenu? Acha uzwazwa bro, jisemee mwenyewe!Dunia inabadilika....
Trump ametufundisha kuwa hataki wajomba nje ya nchi yake....nasi Tanzania hatuna wajomba nje ya nchi yetu.....
Demokrasia ni zao la mitazamo ya siasa ya watu husika.... Tanzania tuna mitazamo yetu...
US wameshavurugwa na sera zao mpya....EU na Brussels marafiki wa Tundu Lissu nao "hamkani hali si shwari na 25% tarrifs"....
Chadema wakae kwa kutulia....huko nje wajomba wamebadilika.....
Tundu Lissu asimtegemee tena ROBERT AMSTERDAM....wafadhili wanapunguza mpunga kwake.....
Uchaguzi upo na hiyo "no reform no elections" haikisi MALENGO yetu kama taifa huru lenye sovereignty ya kujivunia......
#Uchaguzi upo!
#Watanzania kwa umoja wetu hatuyumbishwi na makuwadi wa mabeberu!
Ahahahahaha! Eti nitakupa Dola mia tano. Ahahahahaha!Nitafitie mkutano wa CCM live uliofikisha hata viewers 1000 nakupa dola Mia 5
Ukute ana mke. Na wakwe
Kule mbogamboga kazi kumtembeza kale kababu kanakotembea na pampaz hakuna anachoongea akaeleweka ilimradi posho imeingia tuHiki Chama ama kweli kimenivutia.
Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.
Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.
Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.
Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.
Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.
Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.
kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.
Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.
Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.
Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)
Mungu akazidi kuwabariki
Lord Denning
Dubai
Yule aliyesema kama kutuchapa mtuchape hapahapa kagoma kutoka ajadiliweKama umezoea kuwasikiliza kina Doto Magari na Mwijaku kwenye mikutano yenu ya mbogamboga utamwelewaje Lissu?
Endelea kuwafuatilia wajinga wenzako!
Kama kuna mtu hajamwelewa basi wewe ni slow learner au una utindioila si sawa kusema kila mtanzania amemuelewa.
Voda 0744 44-69-69 itatoa jina chadema HQHakika.
Leteni pia hiyo namba huku Jf ili na sisi tulio mbali na mtandao wa twitter tukichangie hiki chama chetu kilichobeba matumaini makubwa ya watanzania cha chadema.
Mna utoto sana!!Mwambie aendelee kulala usingizi wa pono. Hii movement inaenda kuwapa elimu kabambe hadi watumishi wa vyombo vya dola ambao ndo nguzo yenu. Wakiamka hawa tu ndo kwisha habari yenu.
Yes,Hiki Chama ama kweli kimenivutia.
Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.
Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.
Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.
Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.
Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.
Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.
kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.
Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.
Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.
Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)
Mungu akazidi kuwabariki
Lord Denning
Dubai
Mkuu upo na soda yako nitalipa boss wangu ,Hiki Chama ama kweli kimenivutia.
Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.
Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.
Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.
Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.
Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.
Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.
kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.
Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.
Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.
Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)
Mungu akazidi kuwabariki
Lord Denning
Dubai
Mungu akawe juu yako mkuuHiki Chama ama kweli kimenivutia.
Hiki chama kweli kimeshakuwa na sasa kinaonesha ni chama kinastahili kuwaongoza Watanzania.
Walianza kwa kuwaonyesha Watanzania namna gani Uchaguzi huru na haki unapaswa kuwa kupitia uchaguzi wao wa Viongozi. Sasa Watanzania wote tunajua namna uchaguzi huru na haki unapaswa kuendeshwa.
Sasa wanawaonesha Watanzania namna gani siasa za nchi zinapaswa kuendeshwa.
Tangu Lissu amechaguliwa kushika uongozi wa Chama hatuoni tena siasa za kijinga. Tunaona siasa zilizoenda shule, siasa zinazoendana na Wakati.
Nimevutiwa sana na organizesheni na hotuba ya Mwenyekiti Lissu leo. Lissu ametoa hotuba murua ambayo kila mtanzania amemwelewa. Amechambua vizuri wanamaanisha nini wanaposema bila reforms hakuna uchaguzi na kusema kweli ameelezea vizuri na kueleweka vizuri sana namna mfumo wetu wa uchaguzi na katiba unavyotumiwa vibaya na chama cha mapinduzi.
Nimwevutiwa sana pia na namna walivyoanzisha mjadala kwa kuwaita wataalam kuchambua hotuba ya Mwenyekiti wao. Mjadala umehusisha wabobezi kweli ambao wanachambua vizuri kweli na kueleweka vizuri.
kusema. Kweli hivi ndo namna Chama cha Siasa Makini knapaswa kufanya siasa zake. Hivi ndo namna Chama kinachopaswa kushika dola kinapaswa kujiendesha.
Hongereni sana Chadema. Sasa mmekuwa na kupevuka na kustahili kupewa nchi na dola.
Naiona Tanzania njema na nzuri sana chini ya Chadema.
Kwa namna hii hotuba ya Mwenyekiti ilivyokuwa well organised leo alafu ukilinganisha na CCM wanavyolundika wasanii wasio la akili na machawa kwenye mikutano yao ndipo una amini tunaongozwa na wajinga Tanzania(CCM)
Mungu akazidi kuwabariki
Lord Denning
Dubai
Tuko wengi ninyi ni wachache brodha!Mbona mm ni mtanzania na sipo kwenye huo umoja wenu? Acha uzwazwa bro, jisemee mwenyewe!
Nchi na taifa si chumba cha kulala Tundu Lissu....Tutaendelea kuwaelimisha Hawa madogo wanaofikiria nchi ni kama SACCOS.
Mhuni mam....yako !You could be sick!!
Mna akili za kitoto sana chini ya huyo mhuni Samia sasa analala usingizi wa pono 😂
Anadhani dola ni mito ya kulalia kitandani kwake......Dola siyo Kama sambusa za mama asumani
Hujitambui wewe....Ukute ana mke. Na wakwe
Kibaraka anakwenda kuanguka.....wahisani wa Ubelgiji na Ujerumani wanawazia "25% tax tariffs ya Trump"....Yes,
kwakweli kwenye suala la kuombaomba kuchangiwa pocket money na pesa za kuendesha chama,
script iliandaliwa vizuri ila kibaraka alizunguka sana kueleza pumba tupu kabla ya kuomba kuchangiwa pesa
Voda M-PesaHakika.
Leteni pia hiyo namba huku Jf ili na sisi tulio mbali na mtandao wa twitter tukichangie hiki chama chetu kilichobeba matumaini makubwa ya watanzania cha chadema.