Je atatoboa bila didy kuona yaliyomo..!WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644
Atashinda hiyo tuzo sababu alishawahi kwenda kuangalia movie kwa P Diddy.WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644
Je atatoboa bila didy kuona yaliyomo..!
KWANINI?Sadly hatopata ata kama anadeserve
Ni vizuri kupambana na hao wakali wa kipopo, win or loose anakuwa amepambana at least. Kuogopa kupambana isn't an option.WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644
Kama bado ushawishi anao which is very possible basi Burna Boy lazima atashinda, huyo ndiyo pika pakua wa mtaalam wa vilainishi.P Didy bado ana ushawishi kwenye hizo tuzo za grammy ?🤣🤣🤣
Kwaya ya Morovian.Mbona wengine hatuujui huo wimbo umeimba na kwaya Gani?
Walimalizana vipi wakati walikimbia na manager wake..mbona walishamalizana
Hao washindani wake uliowataja wamewasilisha nyimbo gani?WCB wametangaza kuwa Diamond amewasilisha wimbo wa Komasava kuwania Tuzo za Grammy mwaka kesho.
Komasava imewasilishwa katika vipengele vya Best Music Video na Best African Music Performance.
Mnadhani atashinda mbele ya Burna Boy, Wizkid na magwiji wengine?
View attachment 3121644
Hakuna kinachoshindikana dunianiAnaweza kupata nomination for the sake of Diversity, inclusion and Equity lakini kushinda HAIWEZEKANI
Hivi OG ina video?Ni ike remix au ule wa awali?